Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,527
- 19,383
Title ya thread inahusu Magufuli; kwa hiyo hata kama hukusema neno Magufuli, the context is clear. Chanzo kikubwa cha upande huu wa mjadala tunakoelekea ni pale nilipo-question mchangiaji mmoja aliyesema ana weaken institutions na alichota fedha za hazina kujenga Uwanja kijijini kwao Chato bila kibali cha Bunge. Wewe umekuwa unachangia upande huo huo wa kussuport hilo. Ni kwa vile huwa sipendi kutumia majibu ya generalization, ndiyo maana ninapokujibu wewe ninakuaddress wewe tu bila kuhusisha wengine walio upande wako, kwa hiyo ndiyo maana sikusema kuwa "Mnaposema" bali nilisema "Unaposema." Ingawa hujaandika neno kwa neno kama nilivyo paraphrase kwenye conclusion hiyo, context ya michango yako ilikuwa hivyo kuhusu institutions. Upande wa Bunge ulifikia kusema kuwa Spika ni member wa NEC na hata hiyo post niliyoquote hapo inarudia hilo hilo "Inadvertently unatusaidia kuonyesha umuhimu wa taasisi imara, na jinsi gani Bunge letu lime deteriorate kama sikuwa defunct"
Nyuma huko nilikuambia kuwa Bunge lilikuwa hivyo siku zote tangu Uhuru, wewe ukasema hapana ni wakati wa utawala huu tu.
Kama unakana kuwa huo siyo mtazamo wako, na serikali ya sasa haijaweaken Bunge, basi ni vizuri, kwani ina maana kuwa tunakubaliana sasa kuwa ni kweli Bunge lina matatizo makubwa sana kiutendaji, lakini hayasababishwi na Magufuli..
Nyuma huko nilikuambia kuwa Bunge lilikuwa hivyo siku zote tangu Uhuru, wewe ukasema hapana ni wakati wa utawala huu tu.
Kama unakana kuwa huo siyo mtazamo wako, na serikali ya sasa haijaweaken Bunge, basi ni vizuri, kwani ina maana kuwa tunakubaliana sasa kuwa ni kweli Bunge lina matatizo makubwa sana kiutendaji, lakini hayasababishwi na Magufuli..