The Dancing Boys of Afghanistan: Homosexuality among Taliban Commanders

Hukumuzuku

JF-Expert Member
Aug 29, 2008
6,677
5,029
The Dancing Boys of Afghanistan | FRONTLINE | PBS Video

s-DANCING-BOYS-OF-AFGHANISTAN-large.jpg




Huffington Post Nicholas Graham
First Posted: 04/22/10 03:46 PM Updated: 06/22/10 05:12 AM

PBS's Frontline has posted their latest piece online, and it is both fascinating and horrifying. "The Dancing Boys of Afghanistan" exposes the horrific practice called Bacha Bazi, in which young Afghan boys are sold to warlords and powerful businessmen to be trained as dancers who perform for male audiences in women's clothing and are then used and traded for sex. The practice is sadly making a comeback in that country.
Frontline writes:
Under the guise of doing a documentary on similar practices in Europe, Quraishi gained the confidence of Dastager, a former mujahideen commander and wealthy businessman whose business interests include importing autos from the Far East. With Dastager as his guide, Quraishi takes viewers inside the world of bacha bazi, where prominent men compete to own and use the boys. "I go to every province to have happiness and pleasure with boys," says an Afghan man known as "The German," who acts as a bacha bazi pimp, supplying boys to the men. "Some boys are not good for dancing, and they will be used for other purposes. ... I mean for sodomy and other sexual activities."
 
lol, kaaz kweikwei.

Ami uppozz? atakuja mda si mrefu na trupu lake kusema hii ni Western propaganda. :pound:
 
lol, kaaz kweikwei.

Ami uppozz? atakuja mda si mrefu na trupu lake kusema hii ni Western propaganda. :pound:


Hii mbona imefanana sana na story ya the Kite Runner? There is a character in there they called The German or at least he was half German. He grew up to be a warlord and making small boys dance and do all sad stuff to the poor kids.

Wanaume wengine jamani? Simply not humans.
 
Hii mbona imefanana sana na story ya the Kite Runner? There is a character in there they called The German or at least he was half German. He grew up to be a warlord and making small boys dance and do all sad stuff to the poor kids.

Wanaume wengine jamani? Simply not humans.

Kufanya ngono na vivulana vidogo unaeza kuikuta ktk jamii nyingi za Far East, Middle East na kwingineko ktk ancient times. Kaa nlivoeleza hapo juu, inasababishwa na jamii kudumaa ktk ulimwengu uliopita, na jamii ambazo hazitaki kubadilika.
 
This "homosexuality" thing and exploitation of young boys for sex is so rooted in Islamic culture, values and traditions eversince the ancient times. Completely innocent, pre-pubescent, 9 year-boys are being groomed for a lifetime in homosexuality by powerful, influential devoutly Muslim men who pray to Allah five times a day, some of whom are happily married with same-aged sons as their victims. I have no hesitation at all in asserting that Islam invented homosexuality as a way of life.

Hii sio kitu ya waislamu, wakristu, hindu, jew or wapagani. Ni baadhi tu ya few bad men who follow their animal instinct and nothing else. Alafu vitoto vya watu vikikua vimeathirika kisakolojia jamii inaviita "mtoto si ridhiki". The bad guy is the person who takes others kinyume na maumbile. But hautasikia huyu mtu akisemwa.
 
Kufanya ngono na vivulana vidogo unaeza kuikuta ktk jamii nyingi za Far East, Middle East na kwingineko ktk ancient times. Kaa nlivoeleza hapo juu, inasababishwa na jamii kudumaa ktk ulimwengu uliopita, na jamii ambazo hazitaki kubadilika.

Ni kweli, ulichosema. Umewahi kusikia "Eunuchs" au Hijra (ki-urdu/kihindi)?
Inasikitisha sana. Jamii ya kimataifa haishupalii sana. Ila ingekuwa inatokea Africa, wangekuwa wanaongelea kila siku.

Baadhi ya maeneo ya South East Asia wanaendelea ku-practice mpaka leo. Vivulana vinang'olewa nyeti na kuvifanya eunuchs. India, mpaka wanataka Eunuchs watambuliwe kama "gender" BBC NEWS | South Asia | Eunuchs 'cut off man's penis'
BBC NEWS | South Asia | India eunuchs turn tax collectors

Katika mambo mazuri ambayo Taliban walifanya kule afghanistan ilikuwa ni pamoja na kupiga marufuku, utamaduni huo. Inaonekana ni vigumu sana kuondoa mambo fulani ya kimila kutoka katika jamii fulani.
 
Jama yangu upo saf kwa matus!ona haya ya Anglicana Uk,Italy,HATA PALE KENYA YULE bishop wa Kiitaliano alipo mkamata mwana katibu muktas.na 25% ya Vijana usa ni watu wa maring vp ni Muslim?kuwa makini wewe.
 
Jama yangu upo saf kwa matus!ona haya ya Anglicana Uk,Italy,HATA PALE KENYA YULE bishop wa Kiitaliano alipo mkamata mwana katibu muktas.na 25% ya Vijana usa ni watu wa maring vp ni Muslim?kuwa makini wewe.
usiende mbali sana-refer hapo zanzibar
 
Najua umekomaa sana ndomana huwa hatujeng utamaduni wa fact and figure, chakueleza ni kwamba homosexual z not monopoly to any reliog kwakua watu wameamua kufanya mambo yao bila kufata vitabu nanikwakua ujinga umewatawala,na yoyote ambaye hafati mafundisho ya mwenyez mungu yani hawana total submision to the will of god ndo wanaitwa Kafir kwahyo hatumwiti mtu kwa dini ya mungu mpaka awe anafata hayo,kwahyo anaefanya huo unyama wa homosexual hatauona ufalme wa mungu kwahyo 2some vitabu niendelee kuwa wakwel na waungwana.
 
Najua umekomaa sana ndomana huwa hatujeng utamaduni wa fact and figure, chakueleza ni kwamba homosexual z not monopoly to any reliog kwakua watu wameamua kufanya mambo yao bila kufata vitabu nanikwakua ujinga umewatawala,na yoyote ambaye hafati mafundisho ya mwenyez mungu yani hawana total submision to the will of god ndo wanaitwa Kafir kwahyo hatumwiti mtu kwa dini ya mungu mpaka awe anafata hayo,kwahyo anaefanya huo unyama wa homosexual hatauona ufalme wa mungu kwahyo 2some vitabu niendelee kuwa wakwel na waungwana.
well said bro
 
Hii ni hatari kwa kweli halafu hii vita wanaiita jihadi kweli?
 
kuna watu wana laana na sio kwamba eti ni watu wa dini...ingawa hata miongoni mwetu tunwaona kuwa ni watu wa dini lakini vitendo vyao ni vya laana tupu,,,hii haimaanishi kuwa eti kwa kuwa ni Afghanistan basi ndio Taliban.....je watanzania wote wanatahiri wanawake ? kwani kuna makabila yanatahiri......je wanaume wote wa TZ wametahiriwa ?? kuna makabila yanatahiri...hii inatokana na mila za desturi za watu.hizi ni mila hazimo kwenye dini............Je tuseme Kanisa katoliki ni la kudhalilisha watoto ? maana kuna padri mmoja wa Hispania katika visiwa vya kanarias (gazeti la mwaka 2007)alisema kuwa eti watoto huwatega mapadri !!!!!!!!!! huwatamanisha na mpaka mapadri hushindwa kushamili na kuwaingilia waototo hao .... sasa watu waseme kuwa kanisa katoliki ndo lenye mtindo huu ?? kwa nini tusihukumu mtu kwa kitendo chake ???
 
maswala ya kujaamiana hayana mahusiano na ukristo wala uislamu,hii ni tabia ya mtu na tamaduni mgando ambazo baadhi ya watu wanaendelea kuzikumbatia,we angalia marekani,kina elton john mpaka wanataka watambulike na jamii kwa ujumla,hii inatisha na siyo ya kuifumbia macho

hata hapa Tz tunashoga letu lipo marekani juzijuzi tu lili ogopa kurudi bongo eti litauwawa heheheheh


ila dunia ndio inakwisha hivyo
 
Nimegundua ki2 kimoja! Watanzania tujenge utamaduni wa kutoa maoni yanayojenga kuliko kuharibu,maranying 2naushabik sana!hebu imagine leo m2 anatoa kashfa kiasi hiki leo kama co mwanao, wewe au ndugu yako ameamua kuja upande ambao huutaki!Je utafanyaje?2MEWAONA WENGI wa Hivyo na viongoz wakubwa 2 wa kiiman.G'mrng
 
Back
Top Bottom