Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasahau yule wa Argentina ?!
Umewahi kusikia nchi inaitwa Argentina? Unamjua Messi mkwepa kodi?
Sio muda mrefu familia hii itakua kwenye kitabu cha record za dunia, haijawahi kutokea kwa mume na mke kushika nafasi za urais wa nchi.
Labda kwa kutumia NASAMkuu wamama kama hao umri umeshasonga Sana sidhani kama wanaenda mwezini
Utawala wa Lucifer....Marekani lazima Rais akiwa mwanaume ni lazima waziri wa mambo ya nje ama makamu awe mwanamke..yaaan Lucifer..Lilith and Samael
Sio muda mrefu familia hii itakua kwenye kitabu cha record za dunia, haijawahi kutokea kwa mume na mke kushika nafasi za urais wa nchi.
Sikuyajua hayo mkuu lakini Hillary anakua rais mwanamke wa kwanza. Sasahivi rais ni Obama na waziri wa nchi za nje ni John Kerry.Utawala wa Lucifer....Marekani lazima Rais akiwa mwanaume ni lazima waziri wa mambo ya nje ama makamu awe mwanamke..yaaan Lucifer..Lilith and Samael
Sio muda mrefu familia hii itakua kwenye kitabu cha record za dunia, haijawahi kutokea kwa mume na mke kushika nafasi za urais wa nchi.
Msome Ferdinand Marcos na Imelda Marcos wa Phillipines.
Hivi kabla ya kukurupuka na kuja kudanganya watu kwa mambo usiyo na yakini nayo kwa nini hufanyi japo ku Google tu upate uhakika kama uzushi wako una ukweli ndani yake.
Labda iwe ni record ya Marekani lakini si ya dunia.
Ghafla mawazo yangu yamenirudisha Dodoma, kwenye ule mjengo wanapo kaa wawakilishi wetu ili kutunga sheriaNa ndio maana dunia inakwenda mrama nyakati hizi......
Mwanamke hana hata sifa moja ya kuwa kiongozi....hata wa ngazi ya familia....leo anakuwaje kiongozi na kufanya maamuzi makubwa kwa niaba ya mamilioni ya watu.......
Hii ni laana kwa ulimwengu mzima....unawezaje kupokea amri kutoka kwa mtu anayekwenda mwezini kila mwezi.....!???
Amemaliza form six matokeo yametoka mabaya msamehe sanaMsome Ferdinand Marcos na Imelda Marcos wa Phillipines.
Hivi kabla ya kukurupuka na kuja kudanganya watu kwa mambo usiyo na yakini nayo kwa nini hufanyi japo ku Google tu upate uhakika kama uzushi wako una ukweli ndani yake.
Labda iwe ni record ya Marekani lakini si ya dunia.