Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 189
What is wrong with Kenyans? Also Nairobi Senator Sonko fotoshopped Mandela removing a hug with Mohamed Ali and replaced with himself. Angalia picha ya mbele ya the citizen ya leo, ili kuonyesha na kusisitiza kuwa Mandela amezikwa Kikabila wameonyesha wanajeshi wakipigia Saluti kaburi tu, sio kweli kwa aliefuatilia jana Live image hii imechanganywa ya mwanzo tupo na ya maaskari baada ya kushusha jeneza ila wao wameliondoa jeneza. Wakenya mpaka makampuni nje ya kenya kweli sio wazima. Uongo una nature kwao