Arsenal walijifunga wenyewe goli dakika ya 30, makosa ya kipa kwa kucheza na shilingi chooni. Arsenal wameelemewa wanakimbiakimbia tu au kusimama na kungoja kureact kwa mashambulizi ya Chelsea. Ni halftime sasa kama hawakubadili uchezaji wao kipindi cha pili basi si ajabu tukatundikwa 3 au hata 4.
 
Van Persie anafunga magoli mazuri sana dakika ya 59 na 61 :)
Arsenal 2 Chelsea 1
 
Mpira umekwisha Arsena 2 Chelsea 1 weekend imekuwa nzuri kweli :)
 
Tusubiri asieonekana na wenzake akina ab-titchaz sijui watasemaje.
 
Inv yuko wapi asije kusema he is busy ku upgrade sytem.......mmeona mambo ya mchumi wetu asene venga........mna bahati yalikuwa 3 leo...
 
Inv yuko wapi asije kusema he is busy ku upgrade sytem.......mmeona mambo ya mchumi wetu asene venga........mna bahati yalikuwa 3 leo...
Tumefunga 3 moja tumewasaidia maana hawana mfungaji, Anelka kwikwi nyingi ni mfaransa, wafaransa wote Arsenal.
 
Tumefunga 3 moja tumewasaidia maana hawana mfungaji, Anelka kwikwi nyingi ni mfaransa, wafaransa wote Arsenal.
First 11 ya the ganazi leo hakuna muingereza chama rinatisha......
Joe Cole (dk 7), Anelka (dk 19, 67), Lampard (dk 56), Sylvester (OG, dk 89)

5 Bila!!!!!!!!!!!!
Magoli ya Chelsea ya Mburahati
 
Droo hakuna mkuu! Subiri uone...




Nafasi ya Ushindi haipo kwenu Arsenal, naomba game likiisha njoo hapa ulonge tena mkuu.


Wenger tu? Hata wachezaji wenu kwa sasa vibonde mkuu. Leo tunawabamiza tu!
Vipi Kamanda... naona sikuoni tena hapa...:D
 
Endeleeni kupunguzana speed tuu....!!! Hongereni Gunners ila sitoshangaa mkidraw na Wigan!!
 
Endeleeni kupunguzana speed tuu....!!! Hongereni Gunners ila sitoshangaa mkidraw na Wigan!!

Labda ushindi wa leo utawapa motivation kwamba kwa kumfunga kiongozi wa EPL nyumbani kwake basi wanaweza kuifunga timu yoyote ile. Tusubiri tuone maana Wigan wanakuja juu taratibu.
 
Labda ushindi wa leo utawapa motivation kwamba kwa kumfunga kiongozi wa EPL nyumbani kwake basi wanaweza kuifunga timu yoyote ile. Tusubiri tuone maana Wigan wanakuja juu taratibu.

...BAK, mimi mwenzio nishajikatia tamaa mwaka huu EPL, told you kwenye ile thread yetu ya Arsenal, Priority mwaka huu ni kuwafunga Man U, Chelsea, na Liverpool, pia kufanya kweli Champs League.

anyway, angalau ninalala unono leo, :)...
 
Back
Top Bottom