Chelsea tatizo sio kocha, sema timu inaendeshwa na management mbovu, maamuzi yanafanyika kama simba na yanga watu wakikaa na muda mfupi na kocha hata kama kaleta kikombe lakn wao wanamtema, hii timu ya ajabu sana.

Mfano mzuri timu ilikuwa haijawahi kuchukua UEFA lakini alipopewa mikoba yule Robbeto Matteo akawapa UEFA first time in 2012 toka timu ianzishwe badala ya kummpa mkataba huyu kocha management ikaona hafai wakaleta first class Coach mpaka leo mnaota tu UEFA.

Hivi hivi kwa Conte, maamuzi ya kuuza wachezaji wazuri hayakuwa yake achilia mbali Costa, yule Matic kauzwa bila idhini ya kocha lakn lawama zinakuja kwa kocha timu isipo perform vizuri, Kuna kipindi Mourinho alikuwa analalamika kuhusu kupangiwa baadhi ya wachezaji awachezeshe, yani ni kama simba na yanga vile :D. Hapo mtabadilisha makocha lakn matatizo yatakuwa yale yale tu.
 
Time to clarify our manager situation:

-No matter how crazy it sounds, but Napoli HAS NOT sacked Maurizio Sarri, despite them appointing Carlo Ancelotti. They know that Chelsea wants Sarri and they know that Sarri dreams of Chelsea move. So, they are using that. They know that there are teams ready to pay his clause to bring him, which Zenit already did offer earlier, but he rejected them, because he wants to go to Chelsea. Sarri and Chelsea have agreed terms and now the only thing stopping the transfer is that he is still under contract with Napoli. Now, there have been a few days of talks between Chelsea and Napoli, with two football super-agents Zahavi and Ramadani negotiating for Chelsea. As the last few reports from Napolitan media claim that the deal is close and Chelsea will only pay half of the clause, so he can finally officially take over.

-Chelsea's board and Conte's representatives have been in negotiations for a few days too, and have agreed that Conte will receive a 11 million compensation. According to some reports, the only remaining thing holding up his sacking is wether he will receive all the money right away, or will get paid by Chelsea until the finds a new club.
 
Roman ana fedha za kutosha za kuwalipa makocha anapowafukuza/kuwasajili.Kwenye hii case anatakiwa kumlipa Conte ili avunje mkataba na pia awalipe Napoli kuvunja mkataba wa Sarri
 
Conte ni mtu sahihi kwa Chelsea yetu. Tatizo tu kuna msuguano kati yake na bodi. Wachezaji anaowataka Conte siyo anaoletewa.

Ni mtu ambaye anaweza kuimprove timu na wachezaji. Naweza kusema Chelsea ya kwetu angekaa nayo muda wa miaka mingine miwili tungekuja kupata timu nzuri sana.

Msimu huu ukweli ni kwamba hatukuwa na wachezaji ambao Conte anawahitaji hasa katika baadhi ya maeneo kama Striker na midfield. Lakini pia hatukuweza kupata beki wa kati mzoefu.

Sari ni kocha anayependa mpira wa pass(tick-tack) na kushambulia. Ni mpira mzuri ila ukichezwa bila malengo na mikakati madhubuti hauna maana. Mfano ni Tottenham ambao wamecheza mpira mzuri wa kuchambulia lakini mpaka sasa hawana cha maana walichochukua.

Isitoshe Chelsea haina aina ya wachezaji wa kucheza tick-tack. Kante, Fabrigas, Hazard, Christensen na Azpillicueta kidogo ndo wangeweza kufit. Sasa hapo ujue inakuwa vigumu kuchukua EPL kwa mazingira haya.

Sari atahitaji muda wa kutengeza timu inayofit style yake. Swali linakuwa ni je Chelsea itamvumilia kwa misimu miwili au mitatu?
Je klub itakubali kutumia pesa kama Man city wanavyofanya ili kununua wachezaji wa kufit style ya Sari?

Au yatakuwa kama ya Andre Boaz? Maana sababu ya kumleta Boaz ni sababu anapenda mpira wa pass ni offensive football. Lakini tunajua kilichompata. Sari is not an exception.

Tatizo jingine la Chelsea wachezaji fulani wanakuwa na power(indirectly) kuliko makocha. Kipindi kile walikuwepo Terry, Lampard, Drogba na Peter Cheki, Yaani hawa ilikuwa wakimchukia kocha basi hakuna namna lazima aondoke. Haka katabia naona kuna watu wamekarithi.

Alafu falsafa ya Conte ni work, work, work. Hii ni kama haieleweki kwa wachezaji wengi wa Chelsea, mfano mtu kama Willian mgogoro wake ni kwa sababu hapendi kunituma sana mpaka aamue.

So Sari peke yake hatamaliza matatizo ya Chelsea.

[HASHTAG]#Conte[/HASHTAG] abaki apewe World class sticker, full back mmoja mzoefu na kiungo mmoja pamoja na RWB. Atatusaidia sana.
big up mkuu!!mi mwenyewe sioni kama kuna sababu za msingi za kumuondoa conte!!kila siku ninasali tactical conte abaki Chelsea..nitafurahi sana dili la sarri likibuma..
 
Chelsea huenda wakahitaji kuongeza mara dufu pesa kiasi cha Euro £3.5m ikiwa wanamtaka Maurizio Sarri, ambaye aliondoka Napoli Jumatano iliyopita,kuchukua nafasi ya Antonio Conte kama kocha. (Corriere dello Serra via Sun)

Mchezaji wa kiungo cha kati wa The Blues mwenye umri wa miaka 27 Mfaransa N'Golo Kante, ambaye amekuwa akipigiwa upatu kuhamia na Paris St-Germain, anasema kwamba huku akipenda kuishi mjini London, moyo wake utasalia Paris. (Star)
 
Spurs wemeanza dharau
IMG-20180529-WA0022.jpg
 
Juventus inaweza kumruhusu mshambuliaji Gonzalo Higuain kuondoka kwneye klabu hiyo, ikiwa watapata mkataba unaofaa msimu huu, huku Chelsea wakioongoza katika kutimiza vigezo vya kumchukua raia huyo wa Argentina mwenye umri wa miaka 30. (Calciomercato)
 
Juventus inaweza kumruhusu mshambuliaji Gonzalo Higuain kuondoka kwneye klabu hiyo, ikiwa watapata mkataba unaofaa msimu huu, huku Chelsea wakioongoza katika kutimiza vigezo vya kumchukua raia huyo wa Argentina mwenye umri wa miaka 30. (Calciomercato)

Huyu Jamaa sijui tunamtaka wa nini! Baada ya msimu mmoja tu tutaanza kutafuta Mshambuliaji mwingine wakati tukiwekeza kwa washabuliaji wadogo tutakaa nao muda mrefu zaidi
 
.Conte ni kocha mzuri ndiyo...ila senior players pamoja na bodi hawamtaki...kutokana na kiburi chake....sarri hajachukua kombe lolote....ila ni aina ya kocha kama Poch wa spur...they like 2 play beautiful football... that is what the big boss want....
haya mambo ya kucheza Kama spurs na kufanikiwa kucheza UEFA ni uduwanzi wa kiwango cha juu tunahitaji vikombe ambavyo vinapatikana kwa kushinda tu regardless mpira mzuri au mbaya
 
I don't do discounts - Napoli chief demands big bucks for Hamsik

Napoli captain Marek Hamsik will not be allowed to leave for the Chinese Super League on the cheap just because of his 11 years of service.

De Laurentiis said: "I told him [Hamsik]; 'where are you going to go? This is your home'.

"After that it is up to him if he wants to leave the club, but I do not do discounts for anybod y."
 
Conte kibri sana, nafikiri hakuna mchezaji aliyependa jinsi Costa alivyoondoka.. Its him against the Big boys
 
Conte kibri sana, nafikiri hakuna mchezaji aliyependa jinsi Costa alivyoondoka.. Its him against the Big boys
Nani alianzisha 'saga' ya kuondoka Chelsea? Conte au Costa? January move to China alikuwa nani anataka ikamilike na ni mid of the season? Nani alikuwa anatishia kutokucheza? Jawabu utaona ni Diego Costa. Ss utovu wa nidhamu huu uvumiliwe? Je alitakiwa awe treated kama king? Naamini angekuwa wakati wa enzi za SAF Man U angeliondoka mapema sana wakati ule ule wa demand ya kwenda China. Na angeuzwa asikotaka. Huwezi ukamwacha mchezaji ambaye akili yake na mapenzi yake hadi ana xpress waziwazi kuwa yupo Atletico Madrid na kocha amamkubali ni Diego Simione bado abaki kundini.
Hebu mara nyingine tutenganishe PROFESSIONALISM NA USHABIKI
Simtetei Conte lakini tuweke balansi ya mizani baina yao. Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni
 
Nani alianzisha 'saga' ya kuondoka Chelsea? Conte au Costa? January move to China alikuwa nani anataka ikamilike na ni mid of the season? Nani alikuwa anatishia kutokucheza? Jawabu utaona ni Diego Costa. Ss utovu wa nidhamu huu uvumiliwe? Je alitakiwa awe treated kama king? Naamini angekuwa wakati wa enzi za SAF Man U angeliondoka mapema sana wakati ule ule wa demand ya kwenda China. Na angeuzwa asikotaka. Huwezi ukamwacha mchezaji ambaye akili yake na mapenzi yake hadi ana xpress waziwazi kuwa yupo Atletico Madrid na kocha amamkubali ni Diego Simione bado abaki kundini.
Hebu mara nyingine tutenganishe PROFESSIONALISM NA USHABIKI
Simtetei Conte lakini tuweke balansi ya mizani baina yao. Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni
tupo pamoja mkuu maana watu wamezidi sana kutetea ujinga wa wachezaji kwa vigezo vya viwango vyao.....mimi sijawahi juta kwanini HARUNA MOSHI hajaitwa timu ya taifa na kocha ingawa alikuwa ana kiwango kikubwa,siwezi shangaa wachezaji aina ya kina RADJA NAINNGORAN,KARIM BENZEMA ,MAURO ICARDI nk wakitoswa katika timu zao za taifa ingawa wana viwango vikubwa......!!!!!!!!sisi waafrika tuna tabia ya kulealea ujinga na upumbavu kwa kusujudia watu ila wenzetu hawapo hivyo.....suala la nidhamu ni muhimu sana kwa mchezaji nakuhakikishia kwa wazungu ukiwa huna nidhamu hata kama una kiwango cha aina gani lazma ufeli hata CR7 na MESSI tunawaona wapo juu mpaka leo kutokana na nidhamu zao za ndani na nje ya uwanja...huyo COSTA pumbaaaaaav sana alikuwa anataka kocha amsujudie kama nani....binafsi nilimuunga mkono CONTE kwa maamuzi yake
 
Nani alianzisha 'saga' ya kuondoka Chelsea? Conte au Costa? January move to China alikuwa nani anataka ikamilike na ni mid of the season? Nani alikuwa anatishia kutokucheza? Jawabu utaona ni Diego Costa. Ss utovu wa nidhamu huu uvumiliwe? Je alitakiwa awe treated kama king? Naamini angekuwa wakati wa enzi za SAF Man U angeliondoka mapema sana wakati ule ule wa demand ya kwenda China. Na angeuzwa asikotaka. Huwezi ukamwacha mchezaji ambaye akili yake na mapenzi yake hadi ana xpress waziwazi kuwa yupo Atletico Madrid na kocha amamkubali ni Diego Simione bado abaki kundini.
Hebu mara nyingine tutenganishe PROFESSIONALISM NA USHABIKI
Simtetei Conte lakini tuweke balansi ya mizani baina yao. Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni
Baada ya saga la China mbona Costa alitulia tu na akawa na focus uwanjani, second phase ya msimu hata utata wake uwanjani ulipungua. Mapungufu mengine ni personality yake na yalikuwa hayana impact kwenye mechi wala trainings, he was giving his 100% akiwa uwanjani. Hata kulalamika kwake baada ya kutumiwa SMS na Conte ni kuwa hakutegemea baada ya kujirudi kuwa angetimuliwa kwa namna ile. Namuheshimu Conte ila sijawahi kumuelewa kwa nn alimua kumalizana na Costa kwa njia ile, mpaka leo sijawahi kumuelewa.
 
Baada ya saga la China mbona Costa alitulia tu na akawa na focus uwanjani, second phase ya msimu hata utata wake uwanjani ulipungua. Mapungufu mengine ni personality yake na yalikuwa hayana impact kwenye mechi wala trainings, he was giving his 100% akiwa uwanjani. Hata kulalamika kwake baada ya kutumiwa SMS na Conte ni kuwa hakutegemea baada ya kujirudi kuwa angetimuliwa kwa namna ile. Namuheshimu Conte ila sijawahi kumuelewa kwa nn alimua kumalizana na Costa kwa njia ile, mpaka leo sijawahi kumuelewa.
Si kweli
Kwanza tambua japo anaetupiwa lawama kumfukuza Diego Costa kua ni Conte, lakini ukweli ni kwamba tayari utawala wa juu wa Chelsea walishapanga kumtimua Diego Costa kwa kumuuza timu yoyote itakayofika dau na Abramovic aliridhia hili

Pili, tayari kulikuwa na "high tension" kati ya Diego Costa na makocha hasa wa viungo baada ya "kuzinguana mbaya" hivyo kuweka mazingira yasiyo rafiki baina ya wachezaji kwa kuwagawa

Tatu, wale jamaa wa China Tianjin Quanjian walishapanga kuja na improved offer kumtoa Chelsea ila kilichokuja kuwakamisha ni kuanzishwa kwa sheria mpya ya kuwalinda wachezaji wazawa ambapo wachezaji watatu tu wakigeni waliruhusiwa kusaini kandarasi ya kuchezea timu kwa msimu badala ya ile ya awali ya wanne. Tayari huyu jamaa kisaikolojia hakuwa tena na mzuka wa kuwepo Chelsea. Ukifuatilia hata alipokuwa anazungumzia suala la meseji " being five months without playing? I donot know, its complicated but people know that I love Atletico a lot and that I love to live in Madrid". Hivyo utaona kabisa hy tyr hakuwa na mood yyt ya kuwa Chelsea bali kimwili tu na sio kama mwanzo.
 
Si kweli
Kwanza tambua japo anaetupiwa lawama kumfukuza Diego Costa kua ni Conte, lakini ukweli ni kwamba tayari utawala wa juu wa Chelsea walishapanga kumtimua Diego Costa kwa kumuuza timu yoyote itakayofika dau na Abramovic aliridhia hili

Pili, tayari kulikuwa na "high tension" kati ya Diego Costa na makocha hasa wa viungo baada ya "kuzinguana mbaya" hivyo kuweka mazingira yasiyo rafiki baina ya wachezaji kwa kuwagawa

Tatu, wale jamaa wa China Tianjin Quanjian walishapanga kuja na improved offer kumtoa Chelsea ila kilichokuja kuwakamisha ni kuanzishwa kwa sheria mpya ya kuwalinda wachezaji wazawa ambapo wachezaji watatu tu wakigeni waliruhusiwa kusaini kandarasi ya kuchezea timu kwa msimu badala ya ile ya awali ya wanne. Tayari huyu jamaa kisaikolojia hakuwa tena na mzuka wa kuwepo Chelsea. Ukifuatilia hata alipokuwa anazungumzia suala la meseji " being five months without playing? I donot know, its complicated but people know that I love Atletico a lot and that I love to live in Madrid". Hivyo utaona kabisa hy tyr hakuwa na mood yyt ya kuwa Chelsea bali kimwili tu na sio kama mwanzo.
Diego Costa says he was “very happy” at Chelsea, but is delighted to be coming “home” to play for Atletico Madrid.

Regarding his departure from the Blues, the Spain international told Marca: “It’s not the way I wanted to leave, ever. I have a special affection for the people at Chelsea.
 
Diego Costa says he was “very happy” at Chelsea, but is delighted to be coming “home” to play for Atletico Madrid.

Regarding his departure from the Blues, the Spain international told Marca: “It’s not the way I wanted to leave, ever. I have a special affection for the people at Chelsea.
He had never enjoyed life at London. Find more sources of information
 
153 Reactions
Reply
Back
Top Bottom