usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,901
- 13,869
Habari hizi sio nzuri!
Kane Mnyama leo anacheza!
Nadhani kesho Son ndiyo atabariki safari yenu ya Yuropa mwakani
Lkn mwakani Yuropa mnaweza fika mbali,huku CL kidogo bado team yenu sio nzuri
Hakika na kama hawat kwenda
Europe bhas wafunge maombi
Yasiyona kikomo