Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,730
Mpira hauko hivyo ndg kuna team ilimpa man u 2_1 hiyo team imepigwa na arsenal 5_0 ( arsenal vs man u ) matoke unayajua in hayo tu
Ungetulia kidogo tu ungeelewa ndicho hasa nilichokuwa namaanisha. Rudia tena kusoma.