lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 16,417
- 21,868
Chelsea hatuna historua nzuri na Liverpool na nafikiri mchezo utakuwa very tight.
Katika mechi nane walizocheza Che na Liv tangu 2015, Liv kashinda 2 zote Stanford na Che kashinda 2 moja stanford na nyingine Anfield. Wametoka draw mara nne.
Liv wana injuries nyingi zaidi ya Che.
Kama Conte akimaintain kikosi kilichocheza na Man U na Westham Chelsea itawafunga Liv
Katika mechi nane walizocheza Che na Liv tangu 2015, Liv kashinda 2 zote Stanford na Che kashinda 2 moja stanford na nyingine Anfield. Wametoka draw mara nne.
Liv wana injuries nyingi zaidi ya Che.
Kama Conte akimaintain kikosi kilichocheza na Man U na Westham Chelsea itawafunga Liv