Guantanamo Sobibor
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 897
- 1,133
Hilo si katai mkuu lakini huwezi kusema Bakayoko mbovu ni baadhi ya vitu wanazidiana Bakayoko kuna vitu mzuri zaidi ya Matic na Matic kuna vitu ni mzuri hivyo hivyo plus Matic ana expierence na ile ligi for almost misimu mitano sasa kwahiyo anaijua in out lakini pia ni mchezaji mzuri hilo halipingiki sioni tofauti katika Matic ni yule yule aliyekuwa Chelsea ndo yule yule aliyopo United anaperform vizuri vile vile bado.Punguza hasira na Belo mkuu.
Kwa kweli Belo ni man utd lakini ni kati ya mashabiki ambao kama hafanyi mzaha anatoaga mchanganuo unbiased.
Ni kweli MPAKA SASA Matic ameonesha ni bora kuliko Bakayoko. Haimaanishi Bakayoko ni mbovu. Waliomnunua Bakayoko nadhani waliangalia zaidi future kwa maana ya umri wao na potential aliyonayo Bakayoko. Huenda Matic hakutaka kugombania namba ndiyo akashinikiza kuondoka lakini wangekuwa pamoja msimu huu angemfundisha Bakayoko a thing or two.