mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,690
Yaaahh..CONTE OUT?
Yaaahh..CONTE OUT?
nimeku-quote kwenye uzi wenu kule hujajibu swali langu mzee wa Majogoo, au ndo umekula yamini kuwa hutokaa ukubali kama Majogooo yanatatizo la Defence ?CONTE OUT?
Big up mkuu-Naona bakayoko anazidi kugain match fitness. Muda si mrefu atakuwa mchezaji tegemeo
-Morata anatakiwa kucheza mpira na sio kucheza na refa, tena marefa wa Epl wakigindua unadekadeka ndo balaa zaidi
-I think conte should swallow his pride na kumrudisha costa kikosini, kwenye mechi kama hizi fujo zake zinasaidia sana
-Hazard is 100% fit now, nadhani mechi zijazo ataanza
-Luiz red card? Ni mbaya ingawa nimefurahi ili kocha apate changamoto ya kumpata mchezaji mwingine ili hata akipata injury basi isiwe pengo.
-All in all, nadhani kocha leo aliamua tupate sare baada ya kuona tumefungwa mechi 2 mfululizo na arsenal, fa cup final na commumity shield kwa sababu alikuwa na kikosi kipana cha kushambulia ila akaamua kuwa defensive. Back pass nyingi sana leo nadhani courtouis amegusa sana mpira kuliko hata morata.
KTBFFH
He khe kheeee...ikifika Desemba uje pia kutusalimu. Sawa mama!??Nawasalimu majirani zangu
Timu tunayo ila kocha kaonekana kachoka kaziDAAH HAPA TUNA TIMU KWELI WAKUU??
Ngika halafu ngalu....chagua upande wako Madebe au Sumbi..Nilikuboared sana na uchezaji wa Pedro yaani anabaki yeye kipa, anashindwa kufunga, fabregas na William hawa kuwa ktk ubora wao, luiz alicheza faulo ya ovyo MNO.
Nina wasiwasi sana na mechi na stock city jmamosi na msisahau mechi na MAN CITY tarehe 30/09/2017 daraja
Vipi hawa hawayaogopi majogoo?Conte OUT
Anashindwa mfunga Arsenal ambaye kafungwa na Liverpool?
He has to go!!
Kuna watu hapa na kule hawajui lolote kuhusu soka!
Matter of fact watani hongereni sana,point moja EPL sio mbaya hata kidogo
Tatu.Luiz red kadi yake atakosa mechi ngapi , ? Nimechukia sana na kocha kwa kitendo chake cha kuto mwanzisha Harzad , bakayoko na zapacosta. Ilitakiwa mmojawapo aanze
Bellerin anakimbia balaa!Alonso na Bellerin..mmmh
Hawa nawapiga kwao na kwetuVipi hawa hawayaogopi majogoo?
Comical Ali katika ubora wako....Hawa nawapiga kwao na kwetu
Man United is a team tu beat
Man City walinipiga sababu ya red card
Nachukua kombe langu mapema sana March tu
Hahahhahaha nitakujaa , msianze kulia lia tuu njaa ya magoliHe khe kheeee...ikifika Desemba uje pia kutusalimu. Sawa mama!??