Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,169
- 21,502
Acha wivu wewe na wakati Mourinho mwenyewe alimtaka
Kwa hili la Willian kutakiwa Barca - aisee wakidondosha walau Pound 80m lazima Chelsea wakubali. Ila wakomae komae walau jama wafike 98m hivi. kufa kufaana
Hivi wakuu ni kweli kwamba William Hana umuhimu kwenye timu yenu kwa kiasi hiki ama mmeamua tu kusema haya mnayoyasema
Ana umuhimu sana tu ila kama akiuzwa kwa faida nzuri wakati huo huo tukaweza pata mbadala wake tena kijana zaidi na pia anaifahamu epl nadhani sio dhambi
Steshen nayochek now ipo mbali hatari mkuu....Mkuu uko analog au wapi? Makundi yalishapangwa dk 20 zilizopita we unauliza saa hizi mtapangwa wapi?
Sawa sawa mkuu nmekupata hapoo...Hahahahaa, mkuu pole sana, ila kundi lenu mshindwe wenyewe tu.
Chelsea
Atletico
Roma FC
Qarabag FC
Hapo naona kabisa unapita ukisaidiwa na Qarabag FC into Best 16. Atletico na Roma FC ni kama Burnley tu hata hawakusumbui, au sio mkuu....
Unaweza kushangaa hiyo ndio ikawa njia rahisi na salama kuliko kupitisha manzese au uwanja wa fisi.Daah mbn kama timu za uingereza zimependelewa sana. Ila Tot ndio kapewa mzigo wa bangi aupitishe hlf njia ni kwenye kambi ya jeshi..
Hehee.. Cyo mbele ya Madrid au Dortmund. Na timu yenyewe nyepesi vile.. Usajili wanafanya kwa kusuasua. HeheeeUnaweza kushangaa hiyo ndio ikawa njia rahisi na salama kuliko kupitisha manzese au uwanja wa fisi.
.Mnavyoongea as if kuna mgao mtapata.
Kundi gumu ni C na H pekee mengine yote ni mepesi
.
Mbona bakayoko alivyotua ulishangilia au ulipata mgao?
Hapa tunaangalia long term plans