AbakiHabari Mupya!!! - £36m to end striker Michy Batshuayi's misery to Lille
Lille ready to offer £36million for Chelsea striker Michy Batshuayi and end his misery at Stamford Bridge
Batshuayi only scored five Premier League goals last season and is now playing second fiddle behind new arrival Alvaro Morata.
Unaonaje? Anende ama abaki? Kumbuka kwamba mshambuliaji huyu ana miaka 23 tu, consider he has room to improve...tusije kujuta na kumnunua tena kwa Pound 70m
Unaanzaje kuidharau wakat kila msimu nakupiga nje ndani! Yaani kati ya timu ambayo hat hainipi homa ni manure, timu yenu ya kawaida sana halafu mnachooonga ........ mliongea sana alivyonunuliwa Pogoba badae mlivyoona mmepewa mbuzi kwenye gunia mkakaa kimya, sasa muda utafika mtakaa kimya!Da Unatia Huruma 20 Kwa 6 Halafu Na Wewe Umezoea Makombe Mungu Wangu Kasome Ubao Wa Manchester United Uje Usome Na Wa Chelsea Utaona Utofaut
ILA SIIDHARAU CHELSEA FOOTBALL CLUB.
Acha uchoko ww! nikishapgwa ban halafu ww unafaidika na nn? ......... hapa tunajadili mpira sasa akija mtu anatoka nje y mpira inakubidi na wewe utoke nje y mpira. Sasa kama hujui imeanza vp ni bora utulie hivyo hivyo.Moderator huyu kijana anaetukana kiasi hiki kwanini hampi BAN, mpira ni starehe na si matusi, na starehe ya mpira ni pamoja na changamoto toka kwa wapinzani, haya matusi hayana nafasi katika jukwaa hili
Unaanzaje kuidharau wakat kila msimu nakupiga nje ndani! Yaani kati ya timu ambayo hat hainipi homa ni manure, timu yenu ya kawaida sana halafu mnachooonga ........ mliongea sana alivyonunuliwa Pogoba badae mlivyoona mmepewa mbuzi kwenye gunia mkakaa kimya, sasa muda utafika mtakaa kimya!
Makombe sita nimeyashudia yote,we hayo 20 umeshuhudia mangap?
Acha uchoko ww! nikishapgwa ban halafu ww unafaidika na nn? ......... hapa tunajadili mpira sasa akija mtu anatoka nje y mpira inakubidi na wewe utoke nje y mpira. Sasa kama hujui imeanza vp ni bora utulie hivyo hivyo.
Moderator huyu kijana anaetukana kiasi hiki kwanini hampi BAN, mpira ni starehe na si matusi, na starehe ya mpira ni pamoja na changamoto toka kwa wapinzani, haya matusi hayana nafasi katika jukwaa hili
Acha dharau we mkata viuno
Naona benchi likimuhusu yule aliepigwa kadi nyekundu cahill
Naona benchi likimuhusu yule aliepigwa kadi nyekundu cahill
Mkuu pita najukwaa yakina man u wanajadili mpira ila umu shombo zmejaa namatusiAcha dharau we mkata viuno
Umeona mbali mkuu japo hilo usahau kabisa...Siku Nikimfunga Chelsea Darajani Ntaamini Chama Langu Limerud Kwa Sasa Bado Nasita Conte Ana Mbinu Za Ajabu Yule Wa Manchester City Sina Wasiwasi Nae Yeye Habadilik Ni Rahis Kumzuia Kipimo Cha Ubingwa Lazima nimfunge Chelsea.
Na ww embu kitulize, sasa kama hujapendezwa unanihusu nini? We hujui tulipoanzia so usiingilie usiyoyajua.
Kwa cahil hakuna beki pale halafu kwa ninavyomjua conte ametoka kufungwa akiwa na kikosi kingine then akaja kushinda akiwa na baadhi ya wachezaji waliokamata nafasi ya mtu basi ndio imepita hivyoKimario Luiz Na Cahil Sio Kazi Nyepes Kuwapora Namba Wakina Rudiga Wanakaz Ngumu
Mkuu pita najukwaa yakina man u wanajadili mpira ila umu shombo zmejaa namatusi
...... ILI NI GENGE LA WEZI.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa cahil hakuna beki pale halafu kwa ninavyomjua conte ametoka kufungwa akiwa na kikosi kingine then akaja kushinda akiwa na baadhi ya wachezaji waliokamata nafasi ya mtu basi ndio imepita hivyo
Rudiger kwangu mimi ni bora kuliko cahili ni muda tu utaongea