Tusilalamike. Mara nyingi comments ambazo hazina uhalisia (unrealistic) zikipingwa anayepinga anaonekana mbishi. Ushabiki na mahaba yaliyopindukia hupelekea mtu kubeza timu pinzani pasipo kuzingatia kwamba matokeo ya mpira ni dakika 90+ na yeyote anaweza kufungwa. Comments nyingi humu kuhusu game ya leo ziliipa Chel nafasi ya kuifunga Ars eti kwa vile hawana beki (sababu nyepesi)! Hata kama tukishinda game hii haitakuwa rahisi kivile kama baadhi walivyodhani.
NARUDIA KUSEMA TENA:
Ninaheshimu sana London derbies. Pia ni mara chache sana Chelsea hushinda kirahisi London derbies hata kama angekuwa anacheza na QPR, Fulham, etc!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.