ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
hamna beki pale .........Bertrand move was big mistake,Romelu ni wakawaida thou he is one of the best combative midfielders
hamna beki pale .........Bertrand move was big mistake,Romelu ni wakawaida thou he is one of the best combative midfielders
Hahaha mkuu umenifanya nimekumbuka dingi. Kuna wakati dogo langu moja alikuwa wa kwanza darasani alafu mwingine akawa wa misho kwenye darasa hilo hilo. Yaani dingi alitembea kifua mbele kitaani huku anatamba jinsi familia yake ilivoongoza idara zoteMagoli yote ya jana yamefungwa na vijana wa Chelsea, Romeo na Betrand wote ni X-Chelsea
Wewe ulikuwa nafasi ipi hapo??Hahaha mkuu umenifanya nimekumbuka dingi. Kuna wakati dogo langu moja alikuwa wa kwanza darasani alafu mwingine akawa wa misho kwenye darasa hilo hilo. Yaani dingi alitembea kifua mbele kitaani huku anatamba jinsi familia yake ilivoongoza idara zote
Huyo atakuwa wa mwishoWewe ulikuwa nafasi ipi hapo??
Haha mi ndo nilikuwa wa mwisho ndugu yanini tugombane na ndugu wa damu kisa namba moja. Lazima umheshimu kakakoWewe ulikuwa nafasi ipi hapo??
Amebana mwisho kaachia crystal 0- tot 1Crystal anampumlia mtu huko.
Pengine naweza sema msimu huu hii ndo imekuwa timu ngumu kwa vigogo wa England
wamebana mwisho kabisa wameachia,hawa Spurs spirit ipo juu kilichobaki kila MTU ashinde mechi zake tuCrystal anampumlia mtu huko.
Pengine naweza sema msimu huu hii ndo imekuwa timu ngumu kwa vigogo wa England
Glory hunter utakufa na kihoro dadeek...Week hii lzm tumsikie mtangazaji wa ESPN:
'Romeru Enama Kongolo Lukaku is getting better and better'
Hapo huwa najua tayari kawachapa kimoko!
Everton 2 Chelsea 1
If wishes were horses .....Week hii lzm tumsikie mtangazaji wa ESPN:
'Romeru Enama Kongolo Lukaku is getting better and better'
Hapo huwa najua tayari kawachapa kimoko!
Everton 2 Chelsea 1
Yaan mkuu tabiri zako kama mtu hakujui anaweza ogopa hatari, kumbe hakuna kitu unaongea matamanio yako na kutaka yawe kweli......Week hii lzm tumsikie mtangazaji wa ESPN:
'Romeru Enama Kongolo Lukaku is getting better and better'
Hapo huwa najua tayari kawachapa kimoko!
Everton 2 Chelsea 1
We kaa vizuri usije shangaa hata EUROPA huendiWeek hii lzm tumsikie mtangazaji wa ESPN:
'Romeru Enama Kongolo Lukaku is getting better and better'
Hapo huwa najua tayari kawachapa kimoko!
Everton 2 Chelsea 1
Mwambieni, maana anahangaika na watu wa level asizoziweza!!We kaa vizuri usije shangaa hata EUROPA huendi
leo siye hatuna mechi wajameni