Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Vipi zimetimia hizo Tatu?, Ngoja nikuulize kitu kaka, mbona unapenda kujitesa hivyo ndugu yangu? Kwa nini unajinyima raha kwa vitu vilivyo wazi kabisa? Wewe kila siku unasema leo ndio mwisho wenu, wiki ijayo ndio mwisho wenu, lakini mwishowake unabaki na maumivu na sononeko kuu la Moyo, soma alama za nyakati kaka, Chelsea ni Unstopable msimu huu,
Ngoja nitangulize pole yangu, hapo Jogoo atakapochinjwa na Leicester City
Kaka Malafyale uliisoma hii