The case against MUSTAFA MKULLO

Jaman Waziri mkullo si ameabika, Pinda wazri mkuu amenena jana kuwa Taasisi za DINI hazitakiwi kulipishwa kodi hata siku moja.

Nani mkweli sasa na nani anaumia ktk nchi hii???

Kama kweli JK yupo serious na nchi Mkullo amwambie aondoke??

TRA ndo wenye makosa maana hao ndo wanaleta watu kwa njia za panya kuwa ni makanisa na kusamehe kodi, Serikali iko wapi ?? Kwa nini wasiwe na team ya kwenda kila mzigo unapitishwa mpaka unakoenda na kudhibiti haya.

KICHEKESHO???
 
Jaman Waziri mkullo si ameabika, Pinda wazri mkuu amenena jana kuwa Taasisi za DINI hazitakiwi kulipishwa kodi hata siku moja.

Nani mkweli sasa na nani anaumia ktk nchi hii???

Kama kweli JK yupo serious na nchi Mkullo amwambie aondoke??

TRA ndo wenye makosa maana hao ndo wanaleta watu kwa njia za panya kuwa ni makanisa na kusamehe kodi, Serikali iko wapi ?? Kwa nini wasiwe na team ya kwenda kila mzigo unapitishwa mpaka unakoenda na kudhibiti haya.

KICHEKESHO???

Budget hupitishwa na baraza la mawaziri kabla ya kuwasilishwa bungeni. Kwa maana hiyo kila waziri kwenye baraza alikubaliana na hiyo budget pamoja na huyo Pinda ambae ndiyo mkuu wa mawaziri. Kama kuwajibika basi wawajibike wote kuanzia waziri mkuu mpaka mawaziri wengine. Na hivi kwani JK hapewi copy ya budget kabla haija pelekwa bungeni? Si na JK atakuwa alijua kilichopo ndani ya budget? Basi nae inabidi awajibike. Ukiona mlolongo wa watu ambao wanabidi wawajibike kwenye hili utaona kwamba hakuna dalili ya chochote kutendeka.
 
Nakumbuka kuna mtu fulani hivi alisema kuwa serikali inataka kusifiwa kwa kuwa na kuwa wameweka hivyo ili ije kufuta na kuonekana ipo pamoja, Naungana naye kwa kusema kuwa walikuwa wanabeep hawa jamaa na kuwa wasingeweza kufanya hivyo na pia wao walikuwa wapi?? Hivyo basi kama ndio hivyo bajeti yote ianze tena kutayarishwa, Maneno ya Mkullo yanatia shaka kwa kusema alitayarisha yeye mwenyewe au vipi?? Hivyo hawa Wachumi wetu wako wapi??
 
Ndugu,

Kwanza:Nikubaliane na MwanaFalsafa1 kwa 99%,
Pili: Nitoe masikitiko yangu ya watu wanaodhani kwamba Rais au Waziri wa fedha anaweza tu kusema kwamba VAT kwa mfano iwe 10% kutoka 20%, alafu TRA wakubali au wataalum wa wizara wizara ya fedha na uchumi wakubali tu! Wanaofikiria hivi kwanza ni wapuuzi, pili hawawatendei haki wataalum wanafanya kazi mpaka late hours kwa ajili ya kuandaa budget.
Tatu: Ikumbukwe wazi kwamba mlalamikaji mkubwa wa misamaha ya kodi ni TRA na ni TRA waliosema NGO ndio kichaka cha kuvujisha mapato ya serikali, wafuatiliaji makini watakumbuka kabla ya budget kusoma Kitlya alitamka kwamba misamaha ni mingi! na ikumbukwe kwamba baada ya bajeti yenu kupita mzigo unarudi kwa TRA kukusanya hela ili serikali itekeleze matumizi yake... so he knows nini maana yake, and I'm sure TRA will be among the dissapointed people.

nne: Wakati tunajadili haya tukumbuke kila mbunge anaposimama anaongea muda wote ana-reflect ahadi zake na uchaguzi mkuu ujao, hivyo lazima tuwe makini kuona hoja za kweli za wabunge na kujua wale wanaongea hisia zao za uchaguzi.
 
Ndugu,

Kwanza:Nikubaliane na MwanaFalsafa1 kwa 99%,
Pili: Nitoe masikitiko yangu ya watu wanaodhani kwamba Rais au Waziri wa fedha anaweza tu kusema kwamba VAT kwa mfano iwe 10% kutoka 20%, alafu TRA wakubali au wataalum wa wizara wizara ya fedha na uchumi wakubali tu! Wanaofikiria hivi kwanza ni wapuuzi, pili hawawatendei haki wataalum wanafanya kazi mpaka late hours kwa ajili ya kuandaa budget.
Tatu: Ikumbukwe wazi kwamba mlalamikaji mkubwa wa misamaha ya kodi ni TRA na ni TRA waliosema NGO ndio kichaka cha kuvujisha mapato ya serikali, wafuatiliaji makini watakumbuka kabla ya budget kusoma Kitlya alitamka kwamba misamaha ni mingi! na ikumbukwe kwamba baada ya bajeti yenu kupita mzigo unarudi kwa TRA kukusanya hela ili serikali itekeleze matumizi yake... so he knows nini maana yake, and I'm sure TRA will be among the dissapointed people.

nne: Wakati tunajadili haya tukumbuke kila mbunge anaposimama anaongea muda wote ana-reflect ahadi zake na uchaguzi mkuu ujao, hivyo lazima tuwe makini kuona hoja za kweli za wabunge na kujua wale wanaongea hisia zao za uchaguzi.

Je serikali inaweza kuwa mbadala wa huduma za jamii zinazotolewa na madhehebu ya dini kama hospitali, shule nk. Tukumbuke huduma za serikali ni nafuu au bure kutokana na kodi zetu na nia ni kuhudumia wananchi na huduma za dini zinategemea fees sasa wakiwaongezea kodi fees zitapanda kwa ajili ya uendeshaji.
Ila kama serikali inaoona kuwa misamaha ni mzigo wananweza kubadili mfumo badala ya mashirika ya dini kutokulipa kodi walipe halafu serikali itoe ruzuku kwa huduma wanazotoa zinazosaidia jamii baada ya kuzitathimini. au tuwe na jinsi ya kulipia huduma hizi kwa kutumia mifuko ya kijamii ya serikali kwa sehemu maeneo ambayo serikali inajua ni muhimu kwa ustawi wa nchi kama shule na hospitali.

Pamoja na yote serikali ilikurupuka sana, kwani ni lazima wangeziarifu taasi husika na kuzipa muda wa kutosha kujiandaa sio kuzikurupusha. serikali ikumbuke kwamba hizi taasisi ni sehemu ya jamii hivyo kuwakurupusha ni kukurupusha jamii nzima ya watanzania inayotumia huduma hizi. Mfano ada za shule za taasisi hizi na hospitali zingepanda ghafla je ni nani anaumia si wananchi wale wale.
 
Suluhisho ni moja tu, kila anayefanya biashara alipe kodi, basi. Ikiwa taasisi ya kidini inafanya biashara, ilipe kodi. Ikiwa ni charity za kusaidia majanga, yatima nk hizo zisamehewe kodi. Na TRA wawezeshwe kupitia mara kwa mara hesabu za kila taasisi kuonesha inachofanya kinapaswa kulipiwa kodi au la.

Tunaona mataasisi ya kidini yanasamehewa kodi kununulia vifaa vya kujengea mahoteli ya kifahari ambako wateja wanatozwa hela nyingi kuliko sehemu zinazolipa kodi. Anayebisha aende kwenye zile conference centres zinazomilikwa na makanisa aone gharama zake! Au hosteli za makanisa, ziko nyingi tu na zinakusanya mapato mengi, kwa nini zisilipe kodi? Nakubali kuwa kanisa lenyewe au parokia au usharika nk wasilipe kodi maana shughli yao ya kusalisha si biashara, lakini mengine ni biashara jamani. Shule za makanisa ni ghali kupita kiasi, hiyo hela yote kwa nini wasilipe kodi?

Kanisa likianzisha shule inayoendeshwa kibiashara, kwa nini lisilipe kodi? Na shule nyingi za makanisa zinaendeshwa kibiashara waziwazi, ushindani ni mkubwa sana na karo zao pia ni kubwa sana! Kwa nini hawa wasilipe kodi?

Kama kweli huyo Pinda kapindua pendekezo la kuwalipisha kodi hawa jamaa, basi na yeye na serikali yake ni mafisadi tu kama hawa jamaa wa dini, wizi mtupu. Watu wa dini na serikali lao moja, kutupiga changa la macho! tunaibiwa mchana kweupe! Serikali inalalamika haina hela, kumbe kuna hela nyingi zinaishia mifukoni mwa wajanja wanaojiita 'wanadini', wezi wakubwa!
 
mie sina tatizo na hizo taasisi za dini ugomvi wangu ni kuwa HE HAS A FAKE DEGREE

hilo ndio linatisha zaidi
 
Dude, sometimes it is only time that is testimonial to your premonitions!! salute!

maana haya mambo ya misamaha sijui, ana copy and paste hotuba za JK mara ohhh sijui kamwita mwaandishi mshenzi kwani wala sio issues

Issue ambayo ni kubwa zaidi ni kuwa waziri wetu wa uchumi ana DEGREE feki tena toka kwenye chuo kilichompa MBWA degree sasa that says alot about akili yake ilipo

bila kusahau track record yake huko nyuma ilikuwa ni kuvurunda mashirika ya umma
 
Hii ni kitu ya kawaida kubadilisha baadhi ya vipengele kwenye budget kama vimekataliwa na wabunge, sioni tatizo ni nini kwani inaonyesha kuwa wabunge wetu si watu wa kupigia mihuri vitu vilivyoamriwa na serikali.

Hata serikali ya Ukerewe walibadilisha baadhi ya vipengele vya budget yao baada ya wananchi kuja juu mwezi wa nne mwaka huu.
 
Mimi nadhani kuwe na makundi mbalimbali ya wafanya biashara nchini. Kuwe na kundi ambalo linalipa kodi (kama mimi na wewe) na pia kuwe na kundi lisilolipa kodi (kama taasisi za dini na NGOs). Lakini pia, kwa kundi lisilolipa kodi, serikali iweze kudhibiti gharama wanazotoza katika huduma zote watakazotoa.

Kwa mfano, Dhehebu fulani likiamua kuanzisha shule, hospitali, au kitu chochote ambacho mtumiaji atalipia kukitumia, serikali iweke viwango vya gharama hizo (fixed rates) ili wasitumie vibaya mwanya wanaopewa wa kutolipa kodi. Baadhi ya dini hutumia mwanya huo kwa kiwango kikubwa kufanya biashara ambazo hutoza bei za juu kama zinavyotozwa na wafanyabiashara wengine wanaolipa kodi halali za serikali. Hii sio fair competition hata kidogo. Kitakachotokea ni kwamba, baadhi ya biashara zitaanza kufungwa kutokana na kupata ushindani mkubwa kutoka kwenye taasisi hizi za dini.

Nadhani udhibiti mkali uwekwe pia kwenye namna taasisi hizi zinavyoendesha shughuli zao. Ikiwezekana, serikali ibainishe maeneo (sehemu au aina) ya biashara ambazo mashirika haya ya dini yataruhusiwa kushughulika nayo. Yatoe huduma za jamii ambazo kwa kweli ni za muhimu kwa kila mwananchi (kwa mfano: elimu, afya n.k.) si mpaka hoteli au mambo ya starehe na yasiyo muhimu. Hoteli ya nini kwa jamii?
 
FROM: The Tanganyikan Post

Only in Tanzania can stuff like this happen. The most unqualified people get the heaviest posts.

This guy is our Minsiter of Finance and plannning. See Mkulo CV in Bunge(parliament) site, he cited his "A level" education as "private studies",.. me never heard that before!!, he then earned his CPA in one year - 1982. Wait, it gets better he then has some ACCA cerificate, degree or something- you go figure!.... from some college in Southwest london. Here thank God there is google, cause I found no such college. Then wait, to top it all, he got his Masters degree in Almeida University here in the USA. Now if you google or wikipedia -Almeida university, you will sigh, cry, vomit,....

I mean see for yourself.....google it!

I mean we have a media, that does not check the credibility of those who lead us. So here we have, the appointments of ministers in the highest and vital function in our nation that are not vetted by the parliament, nor the media, and so therefore not by citizens.

My question is then, what is a level of our curiosity as people. Simply, because that is how we learn, judge, develop, succeed. Curiosity never killed a cat, but it also indicate certain level of appettite for knowledge which is a sign of intelligence.

Now this guy Mkulo suppose to sit down with other finance ministers in the world, well educated form Harvard, Oxford, Cambridge, and negotioate some sophisticated deals, I mean they will have us for lunch. I mean can you imagine him talk some sense to Trevor Emannuel?

And then we wonder why the country resources are given away by the shit load? Well, lets give him a benefit of doubt on the ACCA from SW London, but Alameda? I mean is this is the best we have for a finance minister? Please make him a head master somewhere but a finance minister? Serious?

Bongo please!!!

But I suspect if you look futher you will found many more.

Enough said.



(See below)
Mkulo CV:http://www.parliament.go.tz/bunge/mpcv.php?vpkey=413
[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Almeda_University"]http://en.wikipedia.org/wiki/Almeda_University[/ame]
Almeda University
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search




Almeda University (possibly also called Almeda College or Almeda College & University[1][2]) is an unaccredited[1][3] American institution that offers various academic degrees through distance education, including a "Life Experience Degree". Almeda was founded in 1997.[4] Bears' Guide says that they could not locate the physical ..........

Programs and courses
 
This guy is professional Accountant, registered with respectable bord of ACCA, Has years of experience on accounting and finance. FULL STOP

Achakupayuka, ACCA non questionable, tuangalie utendaji wake sio wether ana Phd, Dr watever

ACCA nikiboko ya Account na Financial qualificaTION ZOTE ACHA WIVU!!!


Umetumwa hapa JF kuwachafua watu bila vielelzo vya kutosha, kabla ujaandika post hapa javini fikiria kwanza usilete blabla zako
 
Bull,

Kama ACCA ni kiboko ya qualification zote, mbona alienda tena kutafuta CPA?



ACCA ni world recognisable accounting na Financial qualifications, anaejua umuhimu wa hii cheti bilashaka atajua Mkulo ninani, kama aliamua kuongeza CPA niwamuzi wa mtu, lakini bado ACCA inaheshima duniani, so Mkulo anadeserve hiyo Finance Minstry na ukichanganya experience za account na finance alizowai kukamata. nitamjaji utendaji lakini sinawasiwasi na qualification aliyo nayo.

Full stop.
 

ACCA ni world recognisable accounting na Financial qualifications...kama aliamua kuongeza CPA niwamuzi wa mtu, lakini bado ACCA inaheshima duniani.

Usidhani una dili na wajinga hapa. Umesema ACCA ndio qualification ya juu kabisa katika fani hiyo. Sasa kwa nini baada ya ACCA alijaribu tena kutafuta CPA feki?
 
Naomba mnielimishe. Kwa kawaida naona wataalamu wa fani hii wakiandika CPA (T) kuashiria kwamba ni ta Tanzania. je ya kwake ni ya wapi? Pili, Kwanini mtu mwenye ujuzi wa CPA aende kutafuta MBA ya shuo feki? Je, kuuliza haya ni wivu? Kama ndio, ni wivu kwa ajii ya qualifikations zake au ni wivu juu ya nini?
 
Back
Top Bottom