Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
Dau,
Mimi nauliza tu maana kila niliposoma sioni hayo mambo.
Naona hili lilikupita ukiangalia hii thread kutoka mwanzo mwandishi wa VOA ambaye alikuwa katika msafara huo na JK alitoa hizi habari kwa VOA ambao walikuwa wanatangaza jana. Tembelea VOA huenda wakawa na hiyo habari ya Jana wakati JK alipoona JOTO YA JIWE.
Vile vile kuna member amenukuu yale yaliyoripotiwa.