The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

Nafikiri kwenye hii mikataba kuna na kipengere kinachoikataza serikali kuiweka hadharani--yaani hata kama unaona umenyongwa shingo lakini jikaze baba. Sasa kama kuna hicho kipengere kumbe BARRICK ndo watakuwa wa kwanza kuipeleka mahakamani lakini si mahakama za Tanzania kwani hazina uwezo wa kisheria.

Ndo mambo ambayo JK alienda scandnavia akaishiwa cha kuomba ikabidi aaombe wataalamu wa kutusaidia kusaini mikataba. Nafikiri na wenyewe walimwona CHIZI NO.1

Turejee kwenye hoja mama...

Mkataba ushawafikia wengi. Naamini zile kurasa 24 zimeweza kusomeka kirahisi. Now ni kweli ni mbovu kiasi hicho?
 
Ukweli ni kuwa Viongozi wote wa Tanzania kuanzia Rais, Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Vyombo vya dola na Usalama, Viongozi waandamizi wa taasisi za ummma na za binafsi HAWANA UTASHI WA KUINUA KIPATO CHA NCHI BALI CHAO. Inalipa sana Tanzania kuwa Mwanasiasa kuliko kuwa na Shahada ya PhD Tanzania.
Ndiyo maana ukitaka kumuondoa mmoja wao kwenye madaraka yake wameweka utaratibu mgumu sana ambao si rahisi mtu au kikundi cha watu kufanikiwa. Pia wametufanya Watanzania kuwa wahanga wa hongo ya Uchaguzi, wote wanatoa rushwa kisha wanalipa madeni ya kula walikopata pesa ya kutoa rushwa.

IMEKUWA BIASHARA SASA INAFANYIKA TOKA JUMBA JEUPE.
Ukiona Mkuu wa nchi anakaa kimya kwenye suala nyeti kama la mikataba ya Madini ambayo mwenyewe alizungumzia Bungeni wakati aliweza kuzungumzia suala la EWURA ingawa akiwa amepotoka , unatakiwa kujua kuwa HAKUNA KITU HAPO.
 
Lakini tunasahau haraka, nao wanajua hivyo!
Shedafa!
Msamehe bure kwani alichopata wamegawana na Central Committee ya CCM. I have come to realise that Karamagi was only a messenger kwenye ile deal. Behind the scenes walikuwepo Lowasa; Rostam Aziz; and of course the capo of Mafia in the name of Jakaya Mrisho Kikwete. I dare to say it!!! Na ndio maana wameamua kumsamehe yeye na wenzake akiwepo Chenge. Did you know that Caspian kampuni inayomilikiwa na Rostam(Umiliki wake sijauona kule brela and no one dares to disclose) imepewa exclusive right ya kufanya kazi ya uchimbaji wa migodi yote ya kuanzia Mwadui, Lusu (ambayo wameuziwa) na Barrick na the sorting is done by others. The issue here ni kwamba Nazir amekuwa kuwadi wa akina Lowasa na RA and company kwenye transactions nyingi kuanzia TICTS na kwa sababu ni nshomile mzuri then guess what. The connectivity has helped him ndio hata ule mjadala wa Ticts bungeni uliota mbawa so be aware of the simple CCM tricks mimi mkono nimeuona but watch out hata utawala wa ROMA ulifikia ukingoni kama tunavyoona ubabe wa USA ukiishia kiulaini without been pushed by anybody???? Endeleeni kudanganyika but count me out!!
 
AMEKIRI KUSAINI Mkataba wa Buzwagi huko London, lakini anasema kwamba hauna mapungufu yaliyokuwapo katika mikataba ya zamani.

Anasema kabla ya mkataba kukamilika inabidi kufauata
Kwanza wataalamu wizarani. Then mwanasheria wa serikali
Lakini mpaka hapo hauwezi kusainiwa mpaka upitie na kamati ya ushauri ya madini.

Akasema Mkataba huu wa Buzwagi umepitia taratibu hizo zote lakini wakati mkataba huo unajadiliwa, ndio kulikua na kikao cha bodi ya Barrick na Wakati ule yeye alikua amesafiri na Rais nchi za nje na mkataba huo wataalamu walikuwa wanamalizia kuandika.

Wakaniambia kuhusu tatizo la bodi, nikaawaambia waniletee na aliyeleta ni mwanaseria na Wizara si wa kampuni ya Barrick,na wakati huo yeye kwa kuwa ametokea sekta binafsi alitumia hiyo kasi ya Private sector katika kuharakisha huo mkataba ili asiwacheleweshe wamiliki wa Barrick

Pia akadai kwamba mgodi wa Buzwagi hauna rasilimali kubwa na hivyo ni mgodi mdogo.

Haya kazi kwenu Watanzania
Enzi hizo sina hata simu ya torch
Nji imepigwa hakika
 
Halafu lowasa kwenye campain alikuwa anajisifu kuwa anataka kuwa tajira kama akina karamagi na Rostam na kuwa anauchykia umaskini na sisi tunapiga makofi
Na Kubenea kupitia mwanahalisi aliandika kipindi hicho kuwa EL alikuwepo kwenye same hotel ambako mkataba ulisainiwa....same day/night....
Alihoji Kubenea...was that a coincidence?
 
Back
Top Bottom