Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,630
- 106,613
naiandika mkuu nitaakutaarifuKwa hyo tuisubiri mkuu
naiandika mkuu nitaakutaarifuKwa hyo tuisubiri mkuu
Vijana tunachallenge nyingi saanHiyo imenikuta sana enzi za ujana wangu,unamzimia mtoto mpaka unalia mwenyewe usiku lakini nilikuwa nafkiria nalishwa,navishwa na wazee nikimtongoza wakati sina mbele wala nyuma ntampeleka wapi?
Basi nafsi yangu taratibu ikawa inajiachia na kuwaona wa kawaida mpaka leo sina tabu nao.
Tunapitia mengi vijanaa
Unataka kusema umempata wa kufanana nae?Pole mkuu.. Wapo wengi design yako humu ikiwemo mimi
Why can't you find your inner peace?Pole sana mkuu.. nadhani kwangu ndio mbaya zaidi.
But binaadamu wa kweli ni yule anayesikia maumivu ya wenzake hata kama yake yamemfika shingoni
Naomba kufahamu Kama hiyo pic hapo kwa avatar ni wewe.Moja ya sababu kuwa member wa JF ilikuwa kupunguza upweke, pia ku- socialize! Kuna wakati niliishi kama kisiwa, sikuwa na watu wa kuzungumza nao nikaukosa sana utani wa hapa na pale, tabasamu n.k. Ikawa mimi na kazi, kazi na mimi.
Ilinibidi kujifunza vitu vingi mbadala ilikupunguza upweke kama kucheza piano, guitar, online dancing class na hobbies nyingine nyingi ...
Sidhani kama kuna mtu hapa JF ana Hobbies nyingi kuliko mimi,.. Nimesafiri na kufanya mambo mengi ambayo najua ni wachache sana hapa JF wame experience.
Nimejitahid saaana ila imefika hatua nashindwa kuelewa nini nakosa kupata furaha nayotaka. I have done every thing to make sure that I am not getting bored in life lakini wapi!
The thing is I don’t even recognize myself these days, or rather who I was back then. Kitu sijafanya ni ulevi( matumizi ya pombe, sigara na sampuri kama hii), kitu ambacho si utamaduni wangu na siwezi kufanya.
Sijaoa bado, umri unaruhusu kufanya hivyo ingawa mazingira yangu na aina ya mwenzi nataka hapatikani hapa nilipo. Mahusiano yangu kimapenzi ni date not to stay, sioni shida sana sababu nilchagua kuoa nyumbani.
Kiukweli napenda ninacho fanya hapa (Kazi yangu) na pesa nzuri napata ila sifurahiii maisha yangu.
Ahsante kwa marafiki zangu JF nawale #wazee wa likes ,, though wakati mwingine ni kama sipo ila ukweli ni kwamba nafurahia uwepo wenu, nawapenda pia.
Nawatakieni weekend Njema!!
Unataka kusema umempata wa kufanana nae?
Kulingana na post yako hapo juuHahahaa kivipi
Mtanzania,Mambo ya piano,guitar na hobbies kibao.... ww ni mswahili mwenzetu?!
dooh ama kweli everything is in vain.try Jesus bro
Ahsante pole pia.Pole mkuu.. Wapo wengi design yako humu ikiwemo mimi
Hii ni dawa sahihi, kupata the right person. Lakino shida hujitokeza. Mfano mimi siwezi kabisa attachments / commitments. Najia fika huyu ni mtu sahihi lakini ntampotezea tu after sometime
Nasubiri jibu, swali zuri SanaMambo ya piano,guitar na hobbies kibao.... ww ni mswahili mwenzetu?!