The boring Life of Me

capitalpool

JF-Expert Member
Sep 18, 2017
22,353
121,237
Moja ya sababu kwamimi kuwa member JF ilikuwa kupunguza upweke, nilitamani pia sana kuanza ku- socialize tena! Kuna wakati niliishi kama kisiwa, sikuwa na watu wa kuzungumza nao nikaukosa sana utani wa hapa na pale, tabasamu n.k.

Ikawa mimi na kazi, kazi na mimi!!

Ilinibidi kujifunza vitu vingi mbadala ilikupunguza upweke kama kucheza piano, guitar, online dancing classes na hobbies nyingine kadhaa ...

Sidhani kama kutakua na mtu hapa JF ako na hobbies niko nazo! Nimesafiri na kufanya mambo mengi ambayo najua ni wachache sana hapa JF wame experience in real life.

Nimejitahid saaana ila imefika hatua nashindwa kuelewa kwa nini nakosa furaha nayotaka. I have done every thing to make sure that I am not getting bored in life lakini wapi!

The thing is I don’t even recognize myself these days, or rather who I was back then. Kitu sijafanya ni ulevi (matumizi ya pombe, sigara na sampuri kama hii), Si utamaduni wangu na sitofanya.

Kiukweli napenda ninacho fanya hapa (kazi yangu) na pesa nzuri napata ila sifurahiii maisha yangu.

Ahsante kwa marafiki JF, na ile familia yangu ya UZI WA LIKES, nafurahia uwepo wenu na ninawapenda sana.



Nawatakieni weekend Njema!!
 
Nimejitahid saaana ila imefika hatua nashindwa kuelewa nini nakosa kupata furaha nayotaka. I have done every thing to make sure that I am not getting bored in life lakini wapi!

!
Habari, Mkuu Capitalpool
we're flying in the same Plane..
you know what bro, umekosa kitu kimoja tu kinachoitwa Inner Peace tu, yaani unategemea vitu vinavyokuzunguka vikupatie furaha kamwe haviwezi kukupatia furaha ya kudumu mkuu Thanks God una afford all your basic needs as you explained above.. Kaka tafuta inner peace utayaona maisha yalivyo mazuri though I never experienced Happy life..
 
Habari, Mkuu Capitalpool
we're flying in the same Plane..
you know what bro, umekosa kitu kimoja tu kinachoitwa Inner Peace tu, yaani unategemea vitu vinavyokuzunguka vikupatie furaha kamwe haviwezi kukupatia furaha ya kudumu mkuu Thanks God una afford all your basic needs as you explained above.. Kaka tafuta inner peace utayaona maisha yalivyo mazuri though I never experienced Happy life..
Sasa kaka naona tusaidiane kujadili vipi tunaipata hiyo amani ya ndani ndani huko,ni njia zipi za kutumia kuhakikisha tunapata amani hiyo mkuu?
 
Inatokea, ila once ukipata the right person wa hangout nae, utasahau yote haya. Nikutakie mapito mema mkuu.
Hii ni dawa sahihi, kupata the right person. Lakino shida hujitokeza. Mfano mimi siwezi kabisa attachments / commitments. Najia fika huyu ni mtu sahihi lakini ntampotezea tu after sometime
 
Sasa kaka naona tusaidiane kujadili vipi tunaipata hiyo amani ya ndani ndani huko,ni njia zipi za kutumia kuhakikisha tunapata amani hiyo mkuu?
Mkuu mimi ni muhanga wa hili jambo this time niko naandika thread kuhusu huichi kitu
Snapshot_20181207_1.JPG
 
Hii ni dawa sahihi, kupata the right person. Lakino shida hujitokeza. Mfano mimi siwezi kabisa attachments / commitments. Najia fika huyu ni mtu sahihi lakini ntampotezea tu after sometime
Bado hujakutana na mtu sahihi. Keep moving...
 
Hii ni dawa sahihi, kupata the right person. Lakino shida hujitokeza. Mfano mimi siwezi kabisa attachments / commitments. Najia fika huyu ni mtu sahihi lakini ntampotezea tu after sometime
Hiyo imenikuta sana enzi za ujana wangu,unamzimia mtoto mpaka unalia mwenyewe usiku lakini nilikuwa nafkiria nalishwa,navishwa na wazee nikimtongoza wakati sina mbele wala nyuma ntampeleka wapi?

Basi nafsi yangu taratibu ikawa inajiachia na kuwaona wa kawaida mpaka leo sina tabu nao.

Tunapitia mengi vijanaa
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom