THE BOOK OF THE DEAD; Chanzo na mwanzo wa kila tunachokifahamu kuhusu imani mbalimbali ulimwenguni

Sio wote wanaoweza kusoma vitabu vya aina hiyo wanaweza kuhimili nguvu zilizomo kwenye hivyo vitabu.

Kama ilivyo kwa Sisi Wakristo Biblia ni Kitabu HAI.

Unapo kisoma Nguvu za Mungu zinakuzunguka na kukufuatilia na kama upo makini nacho basi Roho Mtakatifu anashuka kukaa ndani yako huku malaika wakikulinda ili upate manufaa ya hayo unayoyasoma humo.

Hali kadharika unaposoma Kitabu cha Ulimwengu wa Kuzimu nacho ni hai pia na kinafanya kazi muda wote.
Nguvu za Shetani akiwemo Shetani mwenyewe anakufuatilia kwa furaha sana na akiona unapendezwa na yaliyomo humo anakuja kuweka makazi yake kwako.
Hapo utakuwa umefungua Mlango wa Roho yako kukaliwa na Majini Maovu sana.

Kumbuka hicho kitabu kimeandika hadi Ibada halisi za Kishetani.
Mtu mwingine asiye imara anaweza kuvutiwa na hizo ibada na akajaribu kuzifanya, na hapo anaweza kujistukia usiku anahudhuria ibada halisi


naomba nikuulize kama umesoma " THE EMERALD TABLETS OF THOTH THE ATLANTEAN"
 
Sasa wewe kitabu cha Wafu kinakuhusu nini.
Au na wewe ni Mtu Mfu pia ?

Ushaambiwa
is The Book Of The Dead.

Jibu sahihi ni lazima tulipate toka kwa watu Wafu

Yaani tusubiri Maiti ndizo zitusibitibishie ukweli wa hicho kitabu.

Basi tufanye wewe ndiye mtu Mfu tuambie Wafu wanasemaje?

Vitabu vinasema.
Kama cha Sekondari kinatuambia na darasa lake ama form one au two.

Kama cha chuo kinasema na mwaka husika.

Sasa wewe bado uko mzima unataka uelezee habari za waliokufa.

Huoni kwamba huna mantiki ya kukisemea hicho kitabu ?

Au macho yangu hayaoni ?
nimegundua wewe jamaa una ujinga sana.
nimesoma comment zako, nilidhani unakuja na uchambuzi au muhtasari kuhusu yaliyomo ndani ya hicho kitabu.

badala yake umekuja na hadithi za kuwatisha watu wasikisome.

napuuza vitisho vyako, na kuanzia sasa nitakitafuta mtandaoni nikisome ili niongeze maarifa.
 
nimegundua wewe jamaa una ujinga sana.
nimesoma comment zako, nilidhani unakuja na uchambuzi au muhtasari kuhusu yaliyomo ndani ya hicho kitabu.

badala yake umekuja na hadithi za kuwatisha watu wasikisome.

napuuza vitisho vyako, na kuanzia sasa nitakitafuta mtandaoni nikisome ili niongeze maarifa.
Mi sijamtisha mtu yoyote.
Kama unapenda kusoma
The Book of The Dead wewe soma tu.
Nadhani kitakusaidia kama wewe ni mtu Mfu.
Au labda hujui kitabu ni cha akina nani.
Au hujawahi kusoma kitabu kinasema ni cha Form Four.
Na wewe ukiwa Chuo kikuu. ?

Hicho ni kitabu cha
Watu Wafu.

Ni kinasema ukweli kabisa kuhusu mahitaji ya Watu Wafu.

Kama wewe sio mtu Mfu na unataka kusoma mambo ya Watu Wafu ni hiari yako tu.
 
Mi sijamtisha mtu yoyote.
Kama unapenda kusoma
The Book of The Dead wewe soma tu.
Nadhani kitakusaidia kama wewe ni mtu Mfu.
Au labda hujui kitabu ni cha akina nani.
Au hujawahi kusoma kitabu kinasema ni cha Form Four.
Na wewe ukiwa Chuo kikuu. ?

Hicho ni kitabu cha
Watu Wafu.

Ni kinasema ukweli kabisa kuhusu mahitaji ya Watu Wafu.

Kama wewe sio mtu Mfu na unataka kusoma mambo ya Watu Wafu ni hiari yako tu.
embu nitolee maujinga yako hapa.
i'm gonna find that book and read it anyway regardless of your negative and stupid view about it.
 
embu nitolee maujinga yako hapa.
i'm gonna find that book and read it anyway regardless of your negative and stupid view about it.
Soma The Book of The Dead kitakusaidia sana.
Na wala huna haja ya kuwatukana wenye mawazo tofauti na yako

The Book of The Dead kinawahitaji wasomaji wenye weredi kama wewe.

Usikose kutupa mrejesho. Ukimaliza kukisoma.

Just relax and enjoy the book comfortably.
 
Soma The Book of The Dead kitakusaidia sana.
Na wala huna haja ya kuwatukana wenye mawazo tofauti na yako

The Book of The Dead kinawahitaji wasomaji wenye weredi kama wewe.

Usikose kutupa mrejesho. Ukimaliza kukisoma.

Just relax and enjoy the book comfortably.


mr vipi ushawahi kukisoma " the emerald tablets of thoth the atlantean "
 
Hilo Neno "Thoth" lina maanisha nini ?
Kwenye Kiingereza halipo.

Ukisoma kitabu lazima uijue lengo la hicho kitabu.
Kama huko serious na unataka kujifunza zaidi kuwatambua hao legends briefly in well narrated & summarized manner basi nakushauri pamoja na wafuatiliaji wa uzi huu tafuteni na msome vitabu vya:-

Author; Budge E.A.W

Mfano wa vitabu hivyo ni;

1. Book of the Dead

2.Legends of the gods

3.Egyptian ideas of the future life n.k
 
Ukweli ni kwamba toka enzi za wakina enoko ma ibrahimu imani ya Mungu wa kweli ilikuwepo. Imani hizo za mashetani zilikuja baada ya anguko la shetani lusifa na hao malaika kuasi na kuja kuwafundisha binadamu elimu ya uongo. Kuna tofauti kubwa sana ukisoma hivyo vitabu vya mashetani na ukisoma biblia. Ukisoma biblia lazima amani itatawala ndani yako pia na utaisi kabisa unaongea na Mungu halisi. Sasa ukisoma hivyo vitabu vingine kwanza hofu na mashaka zitakutawala ndani yako pia vinabadilisha ubinadamu na kukuweka kwenye hali isiyo ya kawaida ndomana mwisho wake lazima uje kua mwabudu mashetani na kua mpingamizi wa Mungu. Iyo ni kweli wausika watakua wameelewa
 
Ukweli ni kwamba toka enzi za wakina enoko ma ibrahimu imani ya Mungu wa kweli ilikuwepo. Imani hizo za mashetani zilikuja baada ya anguko la shetani lusifa na hao malaika kuasi na kuja kuwafundisha binadamu elimu ya uongo. Kuna tofauti kubwa sana ukisoma hivyo vitabu vya mashetani na ukisoma biblia. Ukisoma biblia lazima amani itatawala ndani yako pia na utaisi kabisa unaongea na Mungu halisi. Sasa ukisoma hivyo vitabu vingine kwanza hofu na mashaka zitakutawala ndani yako pia vinabadilisha ubinadamu na kukuweka kwenye hali isiyo ya kawaida ndomana mwisho wake lazima uje kua mwabudu mashetani na kua mpingamizi wa Mungu. Iyo ni kweli wausika watakua wameelewa
Umesema toka enzi za Enock na Ibrahimu hawa walimjua Mungu wa kweli ila anguko la shetani na malaika zake ndo likayaleta haya maandiko maovu duniani, Mimi pia naamini nikweli kuwa shetani ndo chanzo cha uongo wote duniani kwa mujibu wa mapokeo ya kidini.

Swali langu ni je, kati ya huyo shetani na binadamu yupi alitangulia kuanguka?

Umesema ukisoma Biblia wajisikia amani kuliko ukisoma maandiko kama haya, vipi kama ni saikolojia yako ndo inakutesa kwa kuwa BIBLIA hata kabla ya kuisoma umeshaiamini nakutoitilia shaka kwa kuwa nikitabu kinachoaminika kuwa chema.

Ni tegemeo la imani ambalo umefundishwa na wazazi, kanisa, shule na jamii nzima tokea ukiwa mdogo na ukakuwa na kukuta jamii ikikifuata vivyo hivyo, uoni kama utaonekana mtu wa ajabu ukionekana kukitilia shaka.

Ila The Book of the Dead au vitabu vyote jamii ya hivi vinavyozungumzia forbidden rituals na cult za kale ambazo ndo hizo hizo zilizofanyiwa manuva kijanja nakuingizwa katika imani hizihizi za kula miili ya watu na kunywa damu zao kupata wokovu,Mara kumwagiana maji na kufukiza ubani ibadani, Kuzaliwa mara ya pili nakuapa kushikamana na roho fulani tokea hapo, kutegemea kufanyiwa miujiza na roho mtakatifu,

Mara majini pia usilimu nakumpokea bwana hivyo ni waislamu wenzetu, Mara mtaandaliwa mabinti bikra peponi, Mara tusali rozali au tasibii, Mara kuna wanadamu watakatifu na wengine ni immortal na wengine walipalizwa,Mara kuna sala ya kuwaombea wafu, Mara kuna mama wa Mungu na akuombee wewe sasa na saa yakufa kwako, kuna msalaba na mtu aliye uchi katundikwa mbele yako unamtizama ukisujudu wewe na familia yako, nakadhalika.

Vyote hivi ni sawa tu machoni pako na kwenye fikra zako kwa kuwa umeshazama kwenye kina kirefu cha program ya imani hivyo kamwe wala havina dosari.


Ila Kitabu cha Wafu hata kama kina ujumbe sawa na huo au tofauti au kina madhara fulani hatuwezi jua sababu ya mindset zetu tiyari unakisoma kwa mashaka na hofu kuu ya kukumbana na devil/shetani na kudhurika pia huna experience nacho siyo wewe tu bali jamii yote ina mtizamo hasi kuhusu hicho kitabu, bila shaka atakayekisoma kitabu hiki ni shujaa tu aliyeamua liwalo na liwe.
 
Umesema toka enzi za Enock na Ibrahimu hawa walimjua Mungu wa kweli ila anguko la shetani na malaika zake ndo likayaleta haya maandiko maovu duniani, Mimi pia naamini nikweli kuwa shetani ndo chanzo cha uongo wote duniani kwa mujibu wa mapokeo ya kidini.

Swali langu ni je, kati ya huyo shetani na binadamu yupi alitangulia kuanguka?

Umesema ukisoma Biblia wajisikia amani kuliko ukisoma maandiko kama haya, vipi kama ni saikolojia yako ndo inakutesa kwa kuwa BIBLIA hata kabla ya kuisoma umeshaiamini nakutoitilia shaka kwa kuwa nikitabu kinachoaminika kuwa chema.

Ni tegemeo la imani ambalo umefundishwa na wazazi, kanisa, shule na jamii nzima tokea ukiwa mdogo na ukakuwa na kukuta jamii ikikifuata vivyo hivyo, uoni kama utaonekana mtu wa ajabu ukionekana kukitilia shaka.

Ila The Book of the Dead au vitabu vyote jamii ya hivi vinavyozungumzia forbidden rituals na cult za kale ambazo ndo hizo hizo zilizofanyiwa manuva kijanja nakuingizwa katika imani hizihizi za kula miili ya watu na kunywa damu zao kupata wokovu,Mara kumwagiana maji na kufukiza ubani ibadani, Kuzaliwa mara ya pili nakuapa kushikamana na roho fulani tokea hapo, kutegemea kufanyiwa miujiza na roho mtakatifu,

Mara majini pia usilimu nakumpokea bwana hivyo ni waislamu wenzetu, Mara mtaandaliwa mabinti bikra peponi, Mara tusali rozali au tasibii, Mara kuna wanadamu watakatifu na wengine ni immortal na wengine walipalizwa,Mara kuna sala ya kuwaombea wafu, Mara kuna mama wa Mungu na akuombee wewe sasa na saa yakufa kwako, kuna msalaba na mtu aliye uchi katundikwa mbele yako unamtizama ukisujudu wewe na familia yako, nakadhalika.

Vyote hivi ni sawa tu machoni pako na kwenye fikra zako kwa kuwa umeshazama kwenye kina kirefu cha program ya imani hivyo kamwe wala havina dosari.


Ila Kitabu cha Wafu hata kama kina ujumbe sawa na huo au tofauti au kina madhara fulani hatuwezi jua sababu ya mindset zetu tiyari unakisoma kwa mashaka na hofu kuu ya kukumbana na devil/shetani na kudhurika pia huna experience nacho siyo wewe tu bali jamii yote ina mtizamo hasi kuhusu hicho kitabu, bila shaka atakayekisoma kitabu hiki ni shujaa tu aliyeamua liwalo na liwe.
Hiyo ni dhana ya upande mwingine.
Lakini ukweli ushaambia hicho kitabu ni cha Secret Society.

Ndio maana Mamlaka za Jamii za nchi karibu zote wamekipiga marufuku kuuzwa katika maduka yao ya vitabu, na pia kuwekwa katika Maktaba yaani Library ili watu wajisomee.

Mamlaka hizo za Kijamii zimejiridhisha kuwa hicho kitabu na vingine vinavyofanana na hicho havifai kuingiza maudhui yake katika vizazi vyao.

Labda hujaambiwa kuwa pamoja na hiari yako ya kuamini unachotaka kuamini lakini ziko imani ambazo mamlaka haziruhusu jamii zao ziamini na kufuata mafundisho yake.

Ndio maana ukianzisha Dini ya au imani yoyote ni lazima mamlaka ziichunguze Dini hiyo ili kujiridhisha kama ina manufaa kwa jamii.

( Kuna Kanisa Moja la Kikristo lilisajiriwa Mwanza Mchungaji wake alikuwa Mwanamke. Jina limenitoka. Alikuwa anafanya ibada zisizo eleweka Serikali ikamchunguza na kujiridhisha kuwa hizo sio ibada zinazoistahili jamii ya Kitanzania na wakampiga marufuku huyo mchungaji kufanya aina yoyote ya ibada katika maisha yake yote na kanisa lake likafungwa, na limefungwa mwaka uliopita 2021 )


Hivyo ndugu Jamii inaelewa kitu kizuri na kibaya toka enzi za Manabii wa Kale.

Biblia imeruhusiwa kusomwa hadi na watoto wadogo kwakuwa jamii imejiridhisha asilimia 100 kuwa mafundisho yake yanajenga jamii bora
Hizo sio hisia za mtu flani kuona hiki kina mfaa au sio.

Hivyo basi Kitabu cha Wafu na vinavyofanana na hicho mamlaka halali za Kidunia zimekiona hakifai katika kujenga jamii bora.
Hapo ijue kabisa ukibainika umempatia kijana akisome na jamii ikifahamu utashtakiwa na kufungwa jera kama kawaida kwa kukiuka maadili.

Hivyo hoja yako ya kufikiri tu mtu kukipenda au kukichukia kitabu fulani kwakuwa tu anamawazo chanya au hasi juu ya kitabu hicho haina mashiko.

Viko vitu na ni vingi tu ambavyo ni hatarishi katika ustawi wa maisha ya binadamu.
Wala usifikiri hata siku moja kuwa Binadamu ana hiari kufanya kitu chochote kile kinachompendeza yeye machoni pake.

The Book of The Dead, hakifai kuingiza maudhui yake katika jamii iliyostaarabika ndio maana kimepigwa marufuku kusomwa au kuuzwa.

Ila wewe kama mtu mzima kwa binafsi yako unaweza kukisoma mafichoni.
Ndio maana unaambiwa kinasomwa na kufundishwa huko Secret Rooms.
 
Sawa hoja yako mzuri. Kuna filamu alihigiaza marehemu kanumba inaitwa Devils kingdom ambapo jamaa aliamua kumwaga siri nyingi tu za girani. Na pia kuna filamu nyingine inaitwa Gods of Egypt nayo inaeleze iyo miungu na tabia zao. Rakini ukweli autapingika hao waliojihita miungu,mashetani,mapepo,majini n.k wote wapo kwenye fulushi moja la malaika walio asi na kuja kuwafundisha binadamu elimu za uwongo zenye lengo la kumtawala binadamu na kumfanya awe mtumwa.

Mimi binafsi Mungu alinifunulia kujua ukweli halisi. Kipindi nafatilia historia ya kweli ya mtu mweusi napo kuna siri nyingisana hasa kure Vatican italia.
Rakini Mambo ya Mungu ayachunguziki nilipo pata neema kupitia damu ya Yesu kristo miungu yote ilikufa ndani yangu Nuru ya kweli iliniangazia.

Kuna mambo jamii inapaswa kuchukua tahadhali hasa kuvipiga marufuku vitu potofu zitakazo zeta wasi wasi katika jamii hizo secret society wanaibada za kafara za binadamu pamoja na hukumu zao kali sana je jamii ilihusu imani kama hizo ziwepo kwenye jamii jibu ni Hapana. Kwasababu wanaelewa kuna Mungu wa kweli anapaswa ahabudiwe mwenye upendo mwenye huluma anayependa watu. Tofauti ni miungu iyo ainahuluma inataka damu zenye ukatili hapana. Ndomana hata uyo mwanamke wa mwanza anajihita Mfalme zumalidi kawatesa sana watu alikuwa na adhabu anawapa waumini wake pindi wanapokosea masharti ya hao miungu wake. Kwaiyo ilibidi tuingie kwenye maombi mazitu ya kuomba Mungu aifutilie mbali iyo imani haba mpaka selikali ilipo ingilia kati.

Ikumbukwe serikali imewekwa na Mungu mwenyewe kwa ajiri ya kulinda raia na usalama wao. Imani yeyote ile inayohatarisha usalama wa watu lazima serikali ihingilie kati. Bila mamlaka za kidunia kutawala sio siri watu wangeishi kama wanyama pamoja na huzo imani za miungu feki dunia ingekua kama tambala bovu.

Ndomana ukiona moyoni mwako unahanza kupinga uwepo wa Mungu wa kweli aliyeumba kila kitu ujiwe tiali moyo wako umenaswa na hizo roho za kishetani.
 
Hiyo ni dhana ya upande mwingine.
Lakini ukweli ushaambia hicho kitabu ni cha Secret Society.

Ndio maana Mamlaka za Jamii za nchi karibu zote wamekipiga marufuku kuuzwa katika maduka yao ya vitabu, na pia kuwekwa katika Maktaba yaani Library ili watu wajisomee.

Mamlaka hizo za Kijamii zimejiridhisha kuwa hicho kitabu na vingine vinavyofanana na hicho havifai kuingiza maudhui yake katika vizazi vyao.

Labda hujaambiwa kuwa pamoja na hiari yako ya kuamini unachotaka kuamini lakini ziko imani ambazo mamlaka haziruhusu jamii zao ziamini na kufuata mafundisho yake.

Ndio maana ukianzisha Dini ya au imani yoyote ni lazima mamlaka ziichunguze Dini hiyo ili kujiridhisha kama ina manufaa kwa jamii.

( Kuna Kanisa Moja la Kikristo lilisajiriwa Mwanza Mchungaji wake alikuwa Mwanamke. Jina limenitoka. Alikuwa anafanya ibada zisizo eleweka Serikali ikamchunguza na kujiridhisha kuwa hizo sio ibada zinazoistahili jamii ya Kitanzania na wakampiga marufuku huyo mchungaji kufanya aina yoyote ya ibada katika maisha yake yote na kanisa lake likafungwa, na limefungwa mwaka uliopita 2021 )


Hivyo ndugu Jamii inaelewa kitu kizuri na kibaya toka enzi za Manabii wa Kale.

Biblia imeruhusiwa kusomwa hadi na watoto wadogo kwakuwa jamii imejiridhisha asilimia 100 kuwa mafundisho yake yanajenga jamii bora
Hizo sio hisia za mtu flani kuona hiki kina mfaa au sio.

Hivyo basi Kitabu cha Wafu na vinavyofanana na hicho mamlaka halali za Kidunia zimekiona hakifai katika kujenga jamii bora.
Hapo ijue kabisa ukibainika umempatia kijana akisome na jamii ikifahamu utashtakiwa na kufungwa jera kama kawaida kwa kukiuka maadili.

Hivyo hoja yako ya kufikiri tu mtu kukipenda au kukichukia kitabu fulani kwakuwa tu anamawazo chanya au hasi juu ya kitabu hicho haina mashiko.

Viko vitu na ni vingi tu ambavyo ni hatarishi katika ustawi wa maisha ya binadamu.
Wala usifikiri hata siku moja kuwa Binadamu ana hiari kufanya kitu chochote kile kinachompendeza yeye machoni pake.

The Book of The Dead, hakifai kuingiza maudhui yake katika jamii iliyostaarabika ndio maana kimepigwa marufuku kusomwa au kuuzwa.

Ila wewe kama mtu mzima kwa binafsi yako unaweza kukisoma mafichoni.
Ndio maana unaambiwa kinasomwa na kufundishwa huko Secret Rooms.

Any way sina sababu ya kukuuliza maswali mengine tena kwa sababu umeonekana kukwepa maswali yote ya msingi toka mwanzo haujanijibu kwa kiwango cha ubobevu katika usomaji na uchambuzi au kujibu hoja kwa hoja letwa mezani, zaidi umefocus kwenye ukanushaji nakujitetea kupitia unachoamini uki-avoid critical thinking na sasa hoja yako inaegemea kile tu society inaregard as morally right. Nje ya hapo niseme kuwa nashukuru kwa mchango wako Mkuu tumefaidika pia.
 
"Mimi binafsi Mungu alinifunulia kujua ukweli halisi. Kipindi nafatilia historia ya kweli ya mtu mweusi napo kuna siri nyingisana hasa kure Vatican italia.."

Mkuu Leonard Speed Lion kama utojali unaweza ku-share nasi experience yako juu ya utafiti wako huo wa kiroho jinsi ilivyokuwa mpaka kufunuliwa kwako na Mungu kuzijua hizo siri zilizofichwa huko vatican, tuelezee japo hata kwa ufupi ilivyotokea wenda tukang'amua jambo.
 
Sawa hoja yako mzuri. Kuna filamu alihigiaza marehemu kanumba inaitwa Devils kingdom ambapo jamaa aliamua kumwaga siri nyingi tu za girani. Na pia kuna filamu nyingine inaitwa Gods of Egypt nayo inaeleze iyo miungu na tabia zao. Rakini ukweli autapingika hao waliojihita miungu,mashetani,mapepo,majini n.k wote wapo kwenye fulushi moja la malaika walio asi na kuja kuwafundisha binadamu elimu za uwongo zenye lengo la kumtawala binadamu na kumfanya awe mtumwa.

Mimi binafsi Mungu alinifunulia kujua ukweli halisi. Kipindi nafatilia historia ya kweli ya mtu mweusi napo kuna siri nyingisana hasa kure Vatican italia.
Rakini Mambo ya Mungu ayachunguziki nilipo pata neema kupitia damu ya Yesu kristo miungu yote ilikufa ndani yangu Nuru ya kweli iliniangazia.

Kuna mambo jamii inapaswa kuchukua tahadhali hasa kuvipiga marufuku vitu potofu zitakazo zeta wasi wasi katika jamii hizo secret society wanaibada za kafara za binadamu pamoja na hukumu zao kali sana je jamii ilihusu imani kama hizo ziwepo kwenye jamii jibu ni Hapana. Kwasababu wanaelewa kuna Mungu wa kweli anapaswa ahabudiwe mwenye upendo mwenye huluma anayependa watu. Tofauti ni miungu iyo ainahuluma inataka damu zenye ukatili hapana. Ndomana hata uyo mwanamke wa mwanza anajihita Mfalme zumalidi kawatesa sana watu alikuwa na adhabu anawapa waumini wake pindi wanapokosea masharti ya hao miungu wake. Kwaiyo ilibidi tuingie kwenye maombi mazitu ya kuomba Mungu aifutilie mbali iyo imani haba mpaka selikali ilipo ingilia kati.

Ikumbukwe serikali imewekwa na Mungu mwenyewe kwa ajiri ya kulinda raia na usalama wao. Imani yeyote ile inayohatarisha usalama wa watu lazima serikali ihingilie kati. Bila mamlaka za kidunia kutawala sio siri watu wangeishi kama wanyama pamoja na huzo imani za miungu feki dunia ingekua kama tambala bovu.

Ndomana ukiona moyoni mwako unahanza kupinga uwepo wa Mungu wa kweli aliyeumba kila kitu ujiwe tiali moyo wako umenaswa na hizo roho za kishetani.
Sawa kabisa.

Na pia Nguvu za Mungu ni kubwa kuliko za Shetani kiasi kuwa Jamii zetu zinafuata maadili ya Ki-Mungu.

Ingekuwa Shetani ndio kashika hatamu tungekuwa tunatoana kafara kila kukicha.
 
Sawa kabisa.

Na pia Nguvu za Mungu ni kubwa kuliko za Shetani kiasi kuwa Jamii zetu zinafuata maadili ya Ki-Mungu.

Ingekuwa Shetani ndio kashika hatamu tungekuwa tunatoana kafara kila kukicha.

Mungu yupi unayemwabudu wewe?
Bila shaka ni huyu mmoja NDIMI NILIYE (WHO I AM) yaani unajisemea pasina shaka "MIMI NDIYE MUNGU" Na kama nilielewa vibaya jina hilo na maana yake naomba mnifafanulie vizuri hapo alimaanisha nini.

Umesema shetani akishika hatamu mtakuwa mnatoana kafara kila siku, Vipi ukiacha unafiki na upofu, mafundisho yenu yanawaambiaje?

Mbona kama nyie ndo wakwanza kufanya zindiko la milele kwa kutoa kafara ya damu ya Kristo na kwa kumwaga damu kwake huko wote mlipona, sivyo msemavyo?
 
Back
Top Bottom