ana spana gani huyo msukule mbona aliandika huu upuuzi alivyoona utamcost akafutaSpana anazowapa huko uwanjani umehamishia hasira huku?
Tulia wewe kolo awanyooshe mlitamani ateseke lakini wapi.
Vipi huyo biggest star amevalishana pete? This was low way too much.Wanabodi,
Leo ni siku ya wapendanao, Valentine Day, hivyo nami nawatakia a Happy Valentines Day!.
Mimi ni Mzee wa Trends Readings, Siku ya wapendanao ya leo, kuna trends fulani naiona kwa mbali, hivyo bandiko hili ni swali,
Jee siku ya Valentine ya leo, The Biggest Star wa Kiume wa Bongo, Kumvisha Pete ya Uchumba, The Biggest Star wa Kike wa Bongo?.
Kwa vile JF was meant to be the home of great thinkers, ma great thinkers hawa discuss watu, wana discuss ideas, hivyo nakuomba, hata kama wewe sio great mind, ni simple mind, hivyo unapenda ku discuss people, for the sake of this thread, nakuomba usitaje jina lolote!, jifanye ni great mind!, hili ni bandiko la info tip ya the biggest opportune moment ya kuvishana Pete za uchumba ni siku ya Valentine day.
Lengo la kupandisha hili bandiko ni kukupatia wewe mwana jf, ile the jf advantage to be the first to know kuwa leo kuna uwezekano wa the biggest Star wa Bongo anavisha pete na kuna the biggest Star wa Bongo anavishwa pete!.
Information is Power
Happy Valentines!.
Paskali
Wanabodi,
Update
This didn't happen.
P
Huyo muoaji Nani?Chuchu ameolewa?
Mkuu ukiona roma ishi kama waroma
Nilimaanisha ukienda roma ishi kama waromaSorry ndg sijaelewa
For me it's Bushoke.Kassimu Mganga na Bushoke Nani katisha zaidi kwenye performance? For me ni kassimu Mganga
Utabiri wako nao umetimia.... Umetisha uncleMkuu Baba jayaron , kwa siku ya leo, huku ndio mambo yote!.
P.
Kitu kizito utosini....Usisahau ulipata kura moja kigamboni.
Vipi huyo biggest star amevalishana pete? This was low way too much.