Kigambini tena! Kawe nduguUsisahau ulipata kura moja kigamboni.
Mkuu kuwa serious, manara alimbusu mwanaume? 😳Show mbovu kishenzi,Zuchu akiimba kama anaongea.
Huyu Manara anatia aibu kubusu mwanaume .
Hizi fikra za fulani akifanya kafanya sababu ya flani sijui uwa mnazitoa wapi.Huyu dogo anafanya haya yote kwa sababu ya harmonize na ali kiba na zaid wasanii wengine kama marioo wanatoa ngoma kali na zaidi wabongo saiv wanapagawa na nyimbo na wasanii wa kinaijeria na kila siku kuna nyimbo mpya
Sasa dogo lazima aje na kitu cha kupooza huo moto ili akae kwenye headlines.
Ila wewe jamaa ni mpuuzi sijapata kuonaHuyu dogo anafanya haya yote kwa sababu ya harmonize na ali kiba na zaid wasanii wengine kama marioo wanatoa ngoma kali na zaidi wabongo saiv wanapagawa na nyimbo na wasanii wa kinaijeria na kila siku kuna nyimbo mpya
Sasa dogo lazima aje na kitu cha kupooza huo moto ili akae kwenye headlines.
manara sio mtu kabisaMkuu kuwa serious, manara alimbusu mwanaume? 😳
Yaani Chawa mtafika mbinguni na vumbi mpaka kwenye kope.
Huu sasa ni wivuuuuuNi wa kawaida sura pana afu fupi mmmh
Alikuwa amewaka au?Show mbovu kishenzi,Zuchu akiimba kama anaongea.
Huyu Manara anatia aibu kubusu mwanaume .
Hasira za makolo wenzio unazihamishia mpka huku?Show mbovu kishenzi,Zuchu akiimba kama anaongea.
Huyu Manara anatia aibu kubusu mwanaume .
Spana anazowapa huko uwanjani umehamishia hasira huku?
Mkuu kuwa serious, manara alimbusu mwanaume?
Umezidi kukariii fu** uWanabodi,
Leo ni siku ya wapendanao, Valentine Day, hivyo nami nawatakia a Happy Valentines Day!.
Mimi ni Mzee wa Trends Readings, Siku ya wapendanao ya leo, kuna trends fulani naiona kwa mbali, hivyo bandiko hili ni swali,
Jee siku ya Valentine ya leo, The Biggest Star wa Kiume wa Bongo, Kumvisha Pete ya Uchumba, The Biggest Star wa Kike wa Bongo?.
Kwa vile JF was meant to be the home of great thinkers, ma great thinkers hawa discuss watu, wana discuss ideas, hivyo nakuomba, hata kama wewe sio great mind, ni simple mind, hivyo unapenda ku discuss people, for the sake of this thread, nakuomba usitaje jina lolote!, jifanye ni great mind!, hili ni bandiko la info tip ya the biggest opportune moment ya kuvishana Pete za uchumba ni siku ya Valentine day.
Lengo la kupandisha hili bandiko ni kukupatia wewe mwana jf, ile the jf advantage to be the first to know kuwa leo kuna uwezekano wa the biggest Star wa Bongo anavisha pete na kuna the biggest Star wa Bongo anavishwa pete!.
Information is Power
Happy Valentines!.
Paskali
Wanabodi,
Update
This didn't happen.
P
Upo MchumbaaWatu wako bizze na Bango la picha ya mume wa Zamaradi. Uwiiiiih
Mkuu ukiona roma ishi kama waroma 😂😂😂Lakini hizi si wanafanyaga hadi wachezaji ulaya
Japo sijaona ilo tukio la manara kwahiyo sijui sana