The big agenda, asante kwa matamko ya Marais

Paf

JF-Expert Member
May 25, 2021
1,703
3,304
Kama Nchi tunawasaidizi wakushangilia alisema mkubwa bila kuchimbua kwa undani.

Mradi wa bandari ya bagamoyo,pamoja na yote ukimsikiliza Magufuli anakushawishi uuchimbe mkataba hata kama hujasoma utagundua tu.

Hoja ya Rais Samia inazidisha utata neno wanazungumza ili mradi uendelee,hapo tayari anathibitisha kauli ya Magufuli.

Rais Samia aje nampango mpya nje ya hao wa awali kuondoa ukakasi. Spika sio wakumwekea dhamana,ameonyesha ukinyonga katika awamu hizi mbili kwenye mambo yakitaifa.

Tena ikiwezekana kiti akalie msukuma tutamuelewa vizuri tu.
 
Kama ukinyonga, ni wachache wamebaki na misimamo yao ya tangu awali bila kujali ni sawa au si sawa. Mmoja wa watu waliobadilika ni YEYE na sina hakika kama alikuwa upande wa nchi au upande wa tumbo lake, walisema kule kwenye kipande cha ardhi kafanya mambo makubwa tu kama wenzake, ifanyike vetting tu kwa kila mtu maana tume ya maadili ipo kwaajili ya kuficha mali zao kwa utaratibu maalum pengine.

Nasikia Raisi ndo alikuwa m/kiti wa Bunge la Katiba, hakuna wa kumuuliza kama rasimu ile ilikamilika? Kwa pesa zile zilizotumika, nini kimetokea hata haikupitishwa? Nini maoni yake kuhusu rasimu ile? Kama ilikamilika, ni sh ngapi itagharimu kwa yeye kuisaini kwakuwa anayo mamlaka hayo na yeye ndo alikuwa m/kiti?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom