sure i see KCB BANKHii ni Moshi bana!!!!
....Alietamka kuwa Arusha ni Geneva ya Africa ni Aliekuwa Rais Clinton wa America, ambaye si Mtanzania. sasa kama wewe Mtanzania hutaki basi ni Wivu tu na Uvivu wa Kufikiri unakusumbua.mzee ngurudoto pekee hiyo..! arusha barabara mbovu na bado pachafu...! haiwezi ikawa geneva ....never!