The author David G Mailu

Mchagaa

Member
Jul 31, 2007
20
5
Hamjambo wana JF. Mie pamoja na marafiki zangu tunatafuta jinsi tutakavyo vipata vitabu vya David G Mailu. Hamna hata anayeifahamu website yake jamani? Nilikisoma kitabu chake mwisho nilipokuwa chuoni Dar. Vitabu vyake vichafu mno lakini tusijifanye eti malkia hatusomi vitu hivyo. Tunataka kupoteza mawazo
 
Kasema Ngugi au David Mailu na wew ? Kukurupuka tu. Jamaa aliandika aisee balaa. Ya kale lweli bomba sana. My dear bottle, Son of a woman, unfit for human consuption na.... Ongeza vingine pse
 
Back
Top Bottom