Walinzingua kunichakachulia sredi yangu nikasusa🤭🤭Karucee ana uandishi mzuri sana, kama mwandishi wa vitabu. Kwa haraka haraka naamini anasoma vitabu na vilevile ana kipaji cha unandishi na anapenda kuandaa pieces of writing kama hobby. Kwa vitu hivyo viwili naamini vikifanyika kama hobby kuna uhakika wa kuwa mwandishi mzuri kama Dada yetu Karucee
Nakumbuka hata wiki iliyopita alitaka kuandika story fulani nzuri sana lakini akawa ameghairi, sijui kwa nini lakini alianza vizuri sana. Alinivutia kutamani kujua mwendelezo wa uandishi wake.
Happy New Year Mkuu.
Saint Anne
Thank You Mkuu.Amen Dear. Thank You and Happy New Year to You too.
🙏🏽🙏🏽🙏🏽Hope you become better than you think of me.
Ungeendelea mkuu, it was a good piece of writing.Walinzingua kunichakachulia sredi yangu nikasusa🤭🤭
Uvictim wa kufanyaje Eva?Mambo ya kujiweka uvictim victim nao ni ungese kama ungese mwingine tu...
yani mfano wewe una mahusiano yako, halafu unagonga gonga sana huko kwingine, rafiki za dem wako tongoza sanaaa halafu ikitokea dem wako nawe kagongwa basi unageuka kilizi unajifanya victim bin kuonewaUvictim wa kufanyaje Eva?
Ahaaa, hiyo siyo.yani mfano wewe una mahusiano yako, halafu unagonga gonga sana huko kwingine, rafiki za dem wako tongoza sanaaa halafu ikitokea dem wako nawe kagongwa basi unageuka kilizi unajifanya victim bin kuonewa
nimekupenda mjuni una mtu? kama hauna naomba tuanze mahusiano haraka iwezekanavyoAhaaa, hiyo siyo.
Mimi demu wangu huwa ninamruhusu akagongwe tu, kwani wataondoka nayo k? Akitoka huko anaiosha tu halafu ananigea na mimi, kouma hainaga makombo!
Hivi ninachokisoma hapa ni chenyewe au macho yangu yananicheza shere, The woman I have been dreaming for years!!!nimekupenda mjuni una mtu? kama hauna naomba tuanze mahusiano haraka iwezekanavyo
The people who surround you have a lot to do with who you are .
Kabisa🙏"Don't let your soul die when you are still alive"
Magnificent Words!!