Kama una info si uweke hapa?watu wanapost info kamili hapa- no wonder no one is commenting!Watu wengine bwana, kama huna cha kupost kaa kimya!!Kuna mtu kanitumia ujumbe kwamba kuna apprentice Africa ambayo inandaliwa na wanaigeria sijui dili au ni usaanii lakini ukita maelezo zaidi nenda google kisha google neno The apprentice Africa utapata maelezo zaidi,