Makedha
Senior Member
- Sep 24, 2010
- 167
- 53
Ningetaka kujua msimamo wenu kuhusu utoaji wa mimba. Binafsi, ninyi ni kwa au dhidi yake? Unadhani ni bora abortion iwe legal au illegal? Kwa sababu gani? Kama ungeshika mimba ila hutaki kuwa na mtoto, ungeitoa au la? Swali sawa kwa wanaume, kama girlfriend au mke wako angekuwa mjauzito, ungemuliza aitoe mimba au la? Na kama ukitaka aitoe lakini hataki, ungefanya nini? Ungemwacha alee mtoto pekee yakee au ungelea mtoto mtarajiwa pamoja naye, ingawa hukubali na uamuzi wake wa kubaki na hiyo mimba?