Raptors bado game mmoja tuchukue ubingwa
Mkuu wapatie ushuhuda kuhusu rip city.Raptors bado game mmoja tuchukue ubingwa
Inasemekana Lowry ndiye aliyeita time out, sio NN.Coach Nurse gave the game to Larriors! How come he called a timeout with a 6 points lead? That killed Raptors’ momentum. Larriors walikuwa tayari wamekubali.
Achana na huyo, toka Warriors wamlize WeBron (LeBron) kasahau kuwa W na L hazina uhusiano. Kila kitu kwake kinaanzia L...unakumbuka hii?Inasemekana Lowry ndiye aliyeita time out, sio NN.
Nyie ndio wale tunaowaita bandwagoners hahahahKazee ka kuvizia cheap free throws, kanarusha tatu wakati huo kanijgonga kwenye mikono ya watu wanaokazidi nyama hili kakikosa kapewe FT uchezaji wa kihuni sana huu.
Hahahahah don bhana your hate is real for sure!Rudi kwenye posts za nyuma wakati game za final zinaanza.
Hii ni topic tumeshaijadili na msimamo wangu haujabadilika, isipokuwa inakuwa proved.
He needs to be the Finals MVP.
Na Mimi nasubiria piaNasubiri hizi Finals ziishe nifufue topic yangu ya Curry is not NBA Finals Material.
Hivi Zion ni player yule ?Tuli-tank kwa ajili ya Zion, NBA wakaja na utaratibu mpya.
Hahahahah don bhana your hate is real for sure!
Hivi Zion ni player yule ?
Mi naona Bora hata mlivyo kosa
Dogo anaenda kuwa another bust in da league.
Kipipa kile sidhani Kama kitaleta impact NBA
Ngoja tuone his rookie years atafanya nini .Acha kuangalia highlights mkuu, Zion is a real deal.
Mimi nimeangalia game zake baada ya kutoka majeruhi, jamaa yuko vizuri.
Hahahahah ubaya ni kwamba wakati Steph atakuwa Oakland anapiga zile tatutatu ,wewe utakuwa mpiji majohe una comment hatokusikia kabisa so hatopoteza focus .Hahaha, nikiwa mdogo nilikuwa naweza kumponda mtu anayenizidi mfano matokeo darasani mpaka akawa intimidated.
Na akishangaa shangaa anapoteza focus. Nimejikuta siwezi kusapoti kitu wanachosapoti wengi, always against the odds.
Hahahahah ubaya ni kwamba wakati Steph atakuwa Oakland anapiga zile tatutatu ,wewe utakuwa mpiji majohe una comment hatokusikia kabisa so hatopoteza focus .
Hahahahah tuombe uzima game six itie then ushindi uamuliwe kwa game 7
Ngoja tuone his rookie years atafanya nini .
Mi naona Yuko overrated sana
Ati unasemaje hahahaaa htoki mtu hapa. The DUBNATIONRaptors, game 5 wale mabishoo wanakaa
Daah, waiting game 6, jana madogo sijui ilikuaje aiseeAti unasemaje hahahaaa htoki mtu hapa. The DUBNATION
Ndugu yangu, wapo watu ni kama vile wamechanganyikiwa humu! Kama kuna mchezaji hatendewi haki kwenye free throws ni Steph Curry. Hapa chini natoa list ya walioongoza kwa free throws season hii ya 2018/2019 na katika list hii Steph Curry haonekani kabisaaaa...! Of course bingwa wa kuvizia free throws kila mtazamaji wa Basketball hadi mtoto mchanga anamjua na kwenye orodha hii anaongoza kwa mbali sana...Eti u amuita baby faced assasin "kizee cha kuvizia free throws " heheheh acha nicheke