sana sana ipi?
Lol! Mkuu una-atack kama homa ya mafua ya nguruwe inavowa-atack wazungu.
Lazima awe specifiki kama ni kwenye siasa agonge thanks kwa MMKJJ na BB ATAKA KUSEMA na kina MUKANDARA... kwenye jokes na ma lav dav akungongee thanks wewe na 1st lady wako ambaye leo anaweza kukuacha shauri ya huyo bar maid wa kimbulu.
tunashukuru sana.jamani wana jf mimi ni newcomer.nawapongeza wana jamii hii kwa kutupa elimu mmbadala katika jamii
Hahahaha! Mkuu sina mbavu, leo naona umesepa kule. Na avatar yako leo ina kimulimuli.
Ile ilisababisha nimkose 1st Lady vile ilikuwa inatisha , hii kwa muda tu, leo mchana na weka ya permanent.
kumbuka nilishakwambia kuwa ile Avatar si nzuri ukabisha... haya sasa, 1st Lady sasa anakula na Masanilo Kipunguni!
kumbuka nilishakwambia kuwa ile Avatar si nzuri ukabisha... haya sasa, 1st Lady sasa anakula na Masanilo Kipunguni!
Awali ya yote ni Adam ambaye alipokea tunda toka kwa Eva, bila kuhojihoji, akapokea - akala.Mwanamke anaushawishi mkubwa unakumbuka samson kwenye bible?
jisikie home hapa umekutana na kina masanilo,chrispine ,nguli ni balaa tupu
Thanks MY SHEM, ur always goodjisikie home hapa umekutana na kina masanilo,chrispine ,nguli ni balaa tupu