Hongereni mwaya...muongeze
mingine 33!
Baada ya hapo ruksa kuachana na kuoa/kuolewa tena!!Halafu?baada ya miaka33 uma maanisha nini lizzy?oooooo nooooo!!!!
Baada ya hapo ruksa kuachana na kuoa/kuolewa tena!!
Kwani mi nimesema nimeitoa kwenye kitabu?!Duh,natamani nijue hiyo sheria imeandikwa kwenye kitabu gani cha Mungu