Enlightened one
JF-Expert Member
- Jun 20, 2019
- 349
- 191
Ahsante wanajamii kwa kuwa nami kama virtual friends
thanks 2 U today am promoted from junior member to senior member
thanks 2 U today am promoted from junior member to senior member
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namwamini Mungu BABA Mwenyezi Muumba wa mbingu na nchiImani yako ya kidini ni ipi?
Namwamini Mungu BABA Mwenyezi Muumba wa mbingu na nchi
Namwamini Yesu Kristo Mwana Wake wa pekee,Bwana wetu,aliechukuliwa mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu,akazaliwa na Bikira Maria,akateswa zamani za pontio Pilato; akasulubiwa, akafa, akazwika; akashuka kuzimu.siku ya tatu akafufuka kutoka kwa wafu; akapaa mbingunk; ameketi mkono wa kuume wa Mungu;Baba Mwenyezi .kutoka huko atakuja kuwahukumu walio hai na wafu.Namwamini Roho Mtakatifu; Kanisa takatifu la kikristo,lililo moja tu ushirika wa watakatie; ondoleo la dhambi; kufufuka kwa mwili, na uzima wa milele .Amin
Milele Amina!!!Tumsifu Yesu Kristu!
Milele Amina!!!Tumsifu Yesu Kristu!
Milele Amina.Ahsante wanajamii kwa kuwa nami kama virtual friends
thanks 2 U today am promoted from junior member to senior member
Usihofu siku si nyingi nitapromotiwa niwe expert kama ninyiKrb sana JF mjukuu wetu hapa kwetu GT.
Subira yavuta kheriUsihofu siku si nyingi nitapromotiwa niwe expert kama ninyi
Shetani yuko katika mawazo ya watu na tabia zao,kama alivyo Mungu shetani ni Roho na Roho haiwezi onekana kwa macho yetuKama kweli wewe ni mfia dini niambie shetani ulishawai kumuona anafananaje yukoje anaumbile gani ana langi gani na anakaa wapi kwa mujibu wa dini yako?
Hivi roho inakaa sehemu gani katika mawazo ya watu nisaidie?Shetani yuko katika mawazo ya watu na tabia zao,kama alivyo Mungu shetani ni Roho na Roho haiwezi onekana kwa macho yetu
Huyo hapo ameshakujaNo, ila nitamtag soon
Na mshahara utaongezekaUsihofu siku si nyingi nitapromotiwa niwe expert kama ninyi
L O LNa mshahara utaongezeka