Thanks JF Members Arusha

Mwita Maranya

JF-Expert Member
Jul 1, 2008
10,564
7,973
Kwa heshima na taadhima naomba kutumia nafasi hii kutoa shukrani zangu za pekee kwa JF members wa Arusha kwa ukarimu wao. Nimefarijika sana kukutana ana kwa ana na watu ambao pengine sikuwahi kufikiria kama ningekutana na kufahamiana nao kwa muktadha huu. Zaidi ya yote ni kwamba nimezidi kujiongezea marafiki, na naamini kwamba kila nitakapofika Arusha sitakuwa mgeni tena kwa kuwa nina wenyeji na marafiki wengi.

Kwa namna ya pekee kabisa naomba niwashukuru kwa dhati kabisa wafuatao:

Pakajimmy: Ahsante sana kiongozi kwa kuandaa unification ya kufa mtu.
Preta: Ahsante sana bibie kwa ucheshi wako, nategemea tutakutana Mugumu.
Wiselady: Ahsante sana bibie kwa mapokezi mazito, ama kweli wewe ni wiselady.
Lilyflower: Ahsante sana bibie kwa busara zako, ama kweli wewe ni "flower" wa ukweli.

Mwisho kabisa niwatakie maandalizi mema na kabambe ya get together party ya mwisho wa mwaka,

Mbarikiwe sana wapendwa.
 
Kwa heshima na taadhima naomba kutumia nafasi hii kutoa shukrani zangu za pekee kwa JF members wa Arusha kwa ukarimu wao. Nimefarijika sana kukutana ana kwa ana na watu ambao pengine sikuwahi kufikiria kama ningekutana na kufahamiana nao kwa muktadha huu. Zaidi ya yote ni kwamba nimezidi kujiongezea marafiki, na naamini kwamba kila nitakapofika Arusha sitakuwa mgeni tena kwa kuwa nina wenyeji na marafiki wengi.

Kwa namna ya pekee kabisa naomba niwashukuru kwa dhati kabisa wafuatao:

Pakajimmy: Ahsante sana kiongozi kwa kuandaa unification ya kufa mtu.
Preta: Ahsante sana bibie kwa ucheshi wako, nategemea tutakutana Mugumu.
Wiselady: Ahsante sana bibie kwa mapokezi mazito, ama kweli wewe ni wiselady.
Lilyflower: Ahsante sana bibie kwa busara zako, ama kweli wewe ni "flower" wa ukweli.

Mwisho kabisa niwatakie maandalizi mema na kabambe ya get together party ya mwisho wa mwaka,

Mbarikiwe sana wapendwa.

Mkuu, actually sisi tunakushukuru wewe kwa kututafuta pale ulipokuja A-town..

Mbona otherwise ungeamua tu kukauka na kuendelea na ratiba yako, hasa ukizingatia kuwa ulikuja kikazi, na ulikuwa so tied na ratiba ya MKOLONI.
kWETU sisi tulipata exposure na experience nyingi sana toka kwako, and in short you are such a gentleman, tofauti nilivyofikiria awali, hasa ukizingatia 'jina lenyewe'...ha, ha,a,hahaaaa!.

Mkuu, tuko pamoja sana, Usisahau kututafuta next trip.
 
Mkuu, actually sisi tunakushukuru wewe kwa kututafuta pale ulipokuja A-town..

Mbona otherwise ungeamua tu kukauka na kuendelea na ratiba yako, hasa ukizingatia kuwa ulikuja kikazi, na ulikuwa so tied na ratiba ya MKOLONI.
kWETU sisi tulipata exposure na experience nyingi sana toka kwako, and in short you are such a gentleman, tofauti nilivyofikiria awali, hasa ukizingatia 'jina lenyewe'...ha, ha,a,hahaaaa!.

Mkuu, tuko pamoja sana, Usisahau kututafuta next trip.

Ahsante sana kiongozi, nitajtahidi kuwatafuta wadau kila nitakapofika a-town.

Mkuu hilo jina ndo lenyewe, ni katika kudumisha mila tu.
 
karibu tena siku nyingine, nimefurahi pia kukutana nawe na kuongeza idadi ya marafiki.....Mugumu nitakuja na tafadhali uniwekee vimolo vya kutosha maana najua nyumbu wameshapita......mimi nitakuletea asali ....unajua tena Yaeda ndio kiwandani
 
karibu tena siku nyingine, nimefurahi pia kukutana nawe na kuongeza idadi ya marafiki.....Mugumu nitakuja na tafadhali uniwekee vimolo vya kutosha maana najua nyumbu wameshapita......mimi nitakuletea asali ....unajua tena Yaeda ndio kiwandani

Hahahaaaa...., Preta bwana, bado unaikumbuka hiyo maneno kimolo?
Usiwe na shaka na hilo, hata kama nyumbu wamepita huwa viakiba haviishi, kwahiyo andika umepata.
Ila itabidi unikaribishe yaeda chini siku moja, nina mpango wa kutafuta kitalu huko, sijui kama mtanikubalia, manake mie si mwarabu!!
 
Jamani na mimi niko Arusha, tusitengane kihivyo.

haujatengwa jamaa yangu, jaribu kidogo tu kusema na PJ ili uweze kushirikishwa kwenye matukio yanayojiri arusha.
Kwakuwa kuna shughuli ya funga mwaka, inaonekana hujaisoma, m-pm PJ sasahivi akupe ratiba kamili.
 
Du naona huko Arusha mambo si haba, itabidi tuukimbie kidogo huu upupu unaomwagika huku tuje huko A-Town kumwona PJ & CO.:teeth:
 
Hahahaaaa...., Preta bwana, bado unaikumbuka hiyo maneno kimolo?
Usiwe na shaka na hilo, hata kama nyumbu wamepita huwa viakiba haviishi, kwahiyo andika umepata.
Ila itabidi unikaribishe yaeda chini siku moja, nina mpango wa kutafuta kitalu huko, sijui kama mtanikubalia, manake mie si mwarabu!!

hapo kwenye asili ndio itakuletea shida......lakini usijali....nitaongea nao kinyumbani wataelewa.....kitalu utapata
 
Wow, Mwita safi sana...

Mimi kama frequent guest wa Pakajimmy lazima niseme kwamba the guy is unique, najivunia kusema kwamba ameshakutana na zaidi na co-workers wangu kumi na amekua mstari wa mbele sana kutu-host hata pale ambapo wageni walizidi sitting room yake!!

Nimebahatika kuongea kwa simu na Preta na Lily but their charm and friendship ni real....

Hongera kwa kufaidi Arusha hospitality

binafsi PJ ni kweli anastahili kuwa kaka wa pekee ndani ya JF
 
Kwa heshima na taadhima naomba kutumia nafasi hii kutoa shukrani zangu za pekee kwa JF members wa Arusha kwa ukarimu wao. Nimefarijika sana kukutana ana kwa ana na watu ambao pengine sikuwahi kufikiria kama ningekutana na kufahamiana nao kwa muktadha huu. Zaidi ya yote ni kwamba nimezidi kujiongezea marafiki, na naamini kwamba kila nitakapofika Arusha sitakuwa mgeni tena kwa kuwa nina wenyeji na marafiki wengi.

Kwa namna ya pekee kabisa naomba niwashukuru kwa dhati kabisa wafuatao:

Pakajimmy: Ahsante sana kiongozi kwa kuandaa unification ya kufa mtu.
Preta: Ahsante sana bibie kwa ucheshi wako, nategemea tutakutana Mugumu.
Wiselady: Ahsante sana bibie kwa mapokezi mazito, ama kweli wewe ni wiselady.
Lilyflower: Ahsante sana bibie kwa busara zako, ama kweli wewe ni "flower" wa ukweli.

Mwisho kabisa niwatakie maandalizi mema na kabambe ya get together party ya mwisho wa mwaka,

Mbarikiwe sana wapendwa.

Mwita hujui nilifurahi kiasi gani kukufahamu,pia kujiongezea rafiki mwema sana ambaye haendani na jina lake Mwita Maranya,,ha ha ha!
Nafurahi pia kuwa umetambua kuwa Arusha umepata wenyeji,karibu tena na tena mpendwa
 
hapo kwenye asili ndio itakuletea shida......lakini usijali....nitaongea nao kinyumbani wataelewa.....kitalu utapata

Kwani asili ina shida gani tena jamani? huu sio ubaguzi wa kimajimbo?:teeth:
Nitashukuru kama utaongea nao wakaelewa dhamira yangu safi. Unajua sisi na wamasai ndo huwa kidogo tunashindana lakini hao wairaq sidhani kama tutashindwana.
 
Mwita hujui nilifurahi kiasi gani kukufahamu,pia kujiongezea rafiki mwema sana ambaye haendani na jina lake Mwita Maranya,,ha ha ha!
Nafurahi pia kuwa umetambua kuwa Arusha umepata wenyeji,karibu tena na tena mpendwa

Jamani kwani jina langu lina shida gani? mwenzenu nimeamua kudumisha mila. Lakini siumeona kwamba sisi tuko poa tofauti na mapokeo yaliyopo miongoni mwa watz wengi. Itabidi niandae trip ya mugumu kwa wale wote wenye mashaka na sisi. Preta atakuwa kiongozi wa msafara, atawatembeza kuanzia ikoma robanda hadi mugumu mjini halafu mimi nitamalizia tarime!
 
Preta na Mwita Maranya naona dots zina click ile mbaya mna ahidiana kupeana asali na kupelekana ayeda te! te ! te! Arusha people mko juu kila mtu anawasifia ukarimu wenu my bro PJ bg up sana bro wetu, Preta the JF funny queen tuko pamoja kwa sana, Wiselady not reachable ila hope to meet u soon, Lily maua amani kwako sisteri wetu.
 
Wow, Mwita safi sana...

Mimi kama frequent guest wa Pakajimmy lazima niseme kwamba the guy is unique, najivunia kusema kwamba ameshakutana na zaidi na co-workers wangu kumi na amekua mstari wa mbele sana kutu-host hata pale ambapo wageni walizidi sitting room yake!!

Nimebahatika kuongea kwa simu na Preta na Lily but their charm and friendship ni real....

Hongera kwa kufaidi Arusha hospitality

binafsi PJ ni kweli anastahili kuwa kaka wa pekee ndani ya JF

Kiongozi unayosema ni kweli kabisa.
Kwa heshima hiyo hiyo naunga mkono hoja na kumsimika rasmi PJ kuwa "Kaka Mkuu wa JF".
Nadani panapo majaliwa mara nyingine tutakutana huko, manake nilipofika niliambiwa ulikuwa umepita muda si mrefu.
 
Back
Top Bottom