Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Kwa heshima na taadhima naomba kutumia nafasi hii kutoa shukrani zangu za pekee kwa JF members wa Arusha kwa ukarimu wao. Nimefarijika sana kukutana ana kwa ana na watu ambao pengine sikuwahi kufikiria kama ningekutana na kufahamiana nao kwa muktadha huu. Zaidi ya yote ni kwamba nimezidi kujiongezea marafiki, na naamini kwamba kila nitakapofika Arusha sitakuwa mgeni tena kwa kuwa nina wenyeji na marafiki wengi.
Kwa namna ya pekee kabisa naomba niwashukuru kwa dhati kabisa wafuatao:
Pakajimmy: Ahsante sana kiongozi kwa kuandaa unification ya kufa mtu.
Preta: Ahsante sana bibie kwa ucheshi wako, nategemea tutakutana Mugumu.
Wiselady: Ahsante sana bibie kwa mapokezi mazito, ama kweli wewe ni wiselady.
Lilyflower: Ahsante sana bibie kwa busara zako, ama kweli wewe ni "flower" wa ukweli.
Mwisho kabisa niwatakie maandalizi mema na kabambe ya get together party ya mwisho wa mwaka,
Mbarikiwe sana wapendwa.
Kwa namna ya pekee kabisa naomba niwashukuru kwa dhati kabisa wafuatao:
Pakajimmy: Ahsante sana kiongozi kwa kuandaa unification ya kufa mtu.
Preta: Ahsante sana bibie kwa ucheshi wako, nategemea tutakutana Mugumu.
Wiselady: Ahsante sana bibie kwa mapokezi mazito, ama kweli wewe ni wiselady.
Lilyflower: Ahsante sana bibie kwa busara zako, ama kweli wewe ni "flower" wa ukweli.
Mwisho kabisa niwatakie maandalizi mema na kabambe ya get together party ya mwisho wa mwaka,
Mbarikiwe sana wapendwa.