Mtakumbuka kwamba mwanzoni mwa mwezi huu kulikua na malumbano kati ya zitto na mkulo kuhusu malipo ya mishahara! Kiukweli mishahara ilikua inachelewa mpka siku ya 35 miezi mingine,ila naona mwezi huu mambo yamekua tofauti mshahara umeingia tarehe 22!
Mimi account yangu ipo NBC usually mishahara ikitoka hazina inapelekwa NMB then wao ndo wanasambaza kwenye ma-bank mengine! Basi hapo unakuta kma watu wa nmb wamepata mshahara tarehe 28 basi kwa sie wa NBC tunapewa siku ya 32 na kuendelea! Ila naona mwezi huu tarehe 22 kitu na box!
Please nawaomba chadema na wakina Zitto msiache kuongeza presha na kukosoa mana mnaweza kuona hawa watu hawasikii ila wanasikia na wanafanyia kazi haya mnayoyasema!
Big up CHADEMA big up Zitto
Mimi account yangu ipo NBC usually mishahara ikitoka hazina inapelekwa NMB then wao ndo wanasambaza kwenye ma-bank mengine! Basi hapo unakuta kma watu wa nmb wamepata mshahara tarehe 28 basi kwa sie wa NBC tunapewa siku ya 32 na kuendelea! Ila naona mwezi huu tarehe 22 kitu na box!
Please nawaomba chadema na wakina Zitto msiache kuongeza presha na kukosoa mana mnaweza kuona hawa watu hawasikii ila wanasikia na wanafanyia kazi haya mnayoyasema!
Big up CHADEMA big up Zitto