Thank You Jamiiforums I am A Big Star and Big Celebrity Cause of You Leo Nitaichangia Tsh. 200,000!!

In two years utakuwa bilione? Sasa hawa wakina Maxence Melo waliopo kwenye game miaka mingi kabla yako sijui ni matrlionea sasa?

- Max is my great friend tumetoka mbali sana na this game he is a koolest kid I know ametulia hana papapara this machine JF is big hana sababu ya kupiga kelele kama mimi kwa sababu as far as numbers anazo hapa mimi bado natafuta numbers ndio maana lazima nipige kelele kwa step ndio maana nimeamua kuyafanya haya leo ni strategies tu,

- Otherwise ninaamini in 2 years nitakuwa Billionea bila shaka cause nipo kwenye the right times, the right people around me na the right place too!!

Le Mutuz
 
Ustaa wako unatokana na mshua wako

- Kuna watoto chungunzima wa Viongozi hapa mjini watu hawataki hata kuwaona licha ya kuwasikia, sikatai jina lilikuwepo limenipa 25% milage na ninamshukuru my Dad kila siku kwa kazi kubwa aliyoifanya in his life kujenga jina kubwa ila the rest I mean 75% nimeifanya mwenyewe especially on this part ya my investment kwenye mitandao maana anayebeba matusi hapa ni mimi sio yeye na ni matusi hayo hayo ndio yameishia kunilipa big time leo nimelipwa my check na vodacom kwa kazi ninazowafanyia kwenye mitandao inakuwa kama ndoto vile, sawa jina la baba yangu linahusika ila sio in general nimeweka mwenye kazi nzito!1

Le Mutuz
 
binafsi nakukubali le mutuz i hope pia unaweza kuwa mwalimu mzuri ktk industry ya online bussnez tupe skillz na ss ambao we are ambitius!
 
binafsi nakukubali le mutuz i hope pia unaweza kuwa mwalimu mzuri ktk industry ya online bussnez tupe skillz na ss ambao we are ambitius!

- Thanks U bro karibu sana just show me what U got!! kwanza and then we can work it out from there on!1

Le Mutuz
 
- Hapana I am fine kuna wakati nilidhani Wapinzani wapo serious hasa nikiwa nje, pamoja na mimi kuanzisha tawi la kwanza la CCM New York City, bado nilikuwa naikosoa sana CCM lakini baada ya kurudi hapa ndio nikaujua ukweli wa kila kitu kwamba Wapinzani sio wakweli kama wanavyojitangaza ndio maana nikaamua kujikita kwenye kukirekebisha chama changu zaidi kwa ndani kuliko in the public kama nilivyokuwa nafanya zamani, kwa kufanya vile ndio ukaona michango yangu imeenda chini ni kwa sababu ya kuonyesha big support kwa chama changu so it ok ina maana ninafanya kazi njema sana na guess what Chama changu hatimaye kimeutambua mchango wangu hapa na kunipa heshima ninayostahili.

Le Mutuz

acha utani utawezaje kurekbisha chama chako? ...hebu tuambie unaweza rekebisha nintukuamini maana haa rostam alikimbia siasa zenu aliziita neno baya halifai kurudia


 
- Jamani heshima mbele sana, naomba kuwashukuru sana Jamiiforums I mean JF nimetoka nayo mbali sana na imenifikisha mbali sana na wala sio siri leo ninafahamika kila kona ya Tanzania kwa sababu ya kuanzia hapa JF, nilianza kwa majina ya bandia nikawa maarufu sana and then nikaamua kujitoa mwenyewe kama nilivyo na kuendelea kuwa maarufu, umaaurufu ambao kwa sasa unanilipa sana big time hapa mjini, sasa Mungu anasema ni muhimu sana kukumbuka ulipotokea ndio maana ndugu zangu nawapa shukrani zangu na leo nitaichangia JF Shillingi 200,000.00 za bongo.

- Again najua kwamba wengi wetu hapa tuna itikadi tofauti na sometimes tunakwaruzana sana, lakini najua kwamba wote tuna nia njema sana ya kulisimamia taifa letu, again naomba kuwaomba ,msamaha wale wote ambao nimewahi kuwakwaza kwa maneno yangu na nawasamehe wale wote walionikwaza ingawa mwendo ni ule ule tu, lakini again naomba kutoa heshima yangu kwa JF kwamba bila you JF nisingekuwa Le Mutuz making big bucks from online business najua wengi hivi karibuni wamekuwa wakiniombea kuwa Bilionea nawaahidi kwamba in 2 years tu nitakuwa kwa sababu nipo kwenye the right tracks.

MUNGU AIJALIE JF THIS IS MY HOME NA THIS IS MY BASE ALWAYS!! AND LUV YAH ALL!1

Le Mutuz Big Show

Mkuu nimekua nikikuona sana humu jf especialy kule celebrities forum umetajws mara nyingi ila nlikua sijui kama wewe ndo lemutuz,kumbe ndo wewe? Hivi wewe ni mwanasiasa?
 
- Hapana I am fine kuna wakati nilidhani Wapinzani wapo serious hasa nikiwa nje, pamoja na mimi kuanzisha tawi la kwanza la CCM New York City, bado nilikuwa naikosoa sana CCM lakini baada ya kurudi hapa ndio nikaujua ukweli wa kila kitu kwamba Wapinzani sio wakweli kama wanavyojitangaza ndio maana nikaamua kujikita kwenye kukirekebisha chama changu zaidi kwa ndani kuliko in the public kama nilivyokuwa nafanya zamani, kwa kufanya vile ndio ukaona michango yangu imeenda chini ni kwa sababu ya kuonyesha big support kwa chama changu so it ok ina maana ninafanya kazi njema sana na guess what Chama changu hatimaye kimeutambua mchango wangu hapa na kunipa heshima ninayostahili.

Le Mutuz
Hapa sasa unaanza kukoroga mambo na kuonyesha UNAFIKI.
Ni kweli CCM ni wa kweli kuliko wapinzani?Are you serious?
One thing is certain,kwenye CCM fursa ni nyingi.
Jambo la pili ni background yako,you have everything on a silver plate.
 
- Jamani heshima mbele sana, naomba kuwashukuru sana Jamiiforums I mean JF nimetoka nayo mbali sana na imenifikisha mbali sana na wala sio siri leo ninafahamika kila kona ya Tanzania kwa sababu ya kuanzia hapa JF, nilianza kwa majina ya bandia nikawa maarufu sana and then nikaamua kujitoa mwenyewe kama nilivyo na kuendelea kuwa maarufu, umaaurufu ambao kwa sasa unanilipa sana big time hapa mjini, sasa Mungu anasema ni muhimu sana kukumbuka ulipotokea ndio maana ndugu zangu nawapa shukrani zangu na leo nitaichangia JF Shillingi 200,000.00 za bongo.

- Again najua kwamba wengi wetu hapa tuna itikadi tofauti na sometimes tunakwaruzana sana, lakini najua kwamba wote tuna nia njema sana ya kulisimamia taifa letu, again naomba kuwaomba ,msamaha wale wote ambao nimewahi kuwakwaza kwa maneno yangu na nawasamehe wale wote walionikwaza ingawa mwendo ni ule ule tu, lakini again naomba kutoa heshima yangu kwa JF kwamba bila you JF nisingekuwa Le Mutuz making big bucks from online business najua wengi hivi karibuni wamekuwa wakiniombea kuwa Bilionea nawaahidi kwamba in 2 years tu nitakuwa kwa sababu nipo kwenye the right tracks.

MUNGU AIJALIE JF THIS IS MY HOME NA THIS IS MY BASE ALWAYS!! AND LUV YAH ALL!1

Le Mutuz Big Show

Daa! Dunia hii kuna watu lakini CCM kuna viatu...mweee!!
 
- Kabla ya kuandika maneno kama haya muwe mnafanya utafiti kwanza hivi unajua kwenye blog ikiwekwa habari za kufunguliwa Chuo Kikuu wanapitia wananchi 5 tu in 30 minutes ila ukiweka Wema Sepetu hajalala usingizi wanapitia WATU LAKI MOJA in 30 minutes, sasa niambie mwenye makosa hapo ni nani kwa haya mawazo yako?

Le Mutuz

Nitaendelea kusema hivi hadi mwisho wa uhai wangu: Le Mutuz wewe ni 'mega brain'!
 
W. J. Malecela
kwanza hongera kwa kaz yako unayofanya mim nashaur tu kunastail unayo2mia kuandika news zako kama copy flan iv kiukwel unakosea sana sometime zinakuwa hazionekan kingne credit ukitoa news kwenye blog kubwa aah utaandika lakin ukitoa kwa wadog wanaoanza hutoi credit kwasababu ni wachanga unakosea kwa hlo bos otherwise may god gve you a long lyf bos
 
Last edited by a moderator:
- Jamani heshima mbele sana, naomba kuwashukuru sana Jamiiforums I mean JF nimetoka nayo mbali sana na imenifikisha mbali sana na wala sio siri leo ninafahamika kila kona ya Tanzania kwa sababu ya kuanzia hapa JF, nilianza kwa majina ya bandia nikawa maarufu sana and then nikaamua kujitoa mwenyewe kama nilivyo na kuendelea kuwa maarufu, umaaurufu ambao kwa sasa unanilipa sana big time hapa mjini, sasa Mungu anasema ni muhimu sana kukumbuka ulipotokea ndio maana ndugu zangu nawapa shukrani zangu na leo nitaichangia JF Shillingi 200,000.00 za bongo.

- Again najua kwamba wengi wetu hapa tuna itikadi tofauti na sometimes tunakwaruzana sana, lakini najua kwamba wote tuna nia njema sana ya kulisimamia taifa letu, again naomba kuwaomba ,msamaha wale wote ambao nimewahi kuwakwaza kwa maneno yangu na nawasamehe wale wote walionikwaza ingawa mwendo ni ule ule tu, lakini again naomba kutoa heshima yangu kwa JF kwamba bila you JF nisingekuwa Le Mutuz making big bucks from online business najua wengi hivi karibuni wamekuwa wakiniombea kuwa Bilionea nawaahidi kwamba in 2 years tu nitakuwa kwa sababu nipo kwenye the right tracks.

MUNGU AIJALIE JF THIS IS MY HOME NA THIS IS MY BASE ALWAYS!! AND LUV YAH ALL!1

Le Mutuz Big Show
Umaarufu wakujipendekeza kupiga picha na wale vinuka mkojo au??
 
Bahati mbaya sio tatizo la tanzania tu...dunia nzima udaku ndio habari zinazolipa....Ata umu jf ni wangapi wanaotembelea jukwaa la lugha,afya au technology

hapo kwenye udaku hivi kama una habari ya udaku celebrities wa kibongo ukiwauzia magazeti au blogs za udaku unalipwa na kama ndiyo kwa kiasi gani.
 
Umaarufu wakujipendekeza kupiga picha na wale vinuka mkojo au??

- Kwenye the real life game hizi tunaita kwi kwi kwi za kushindwa the game pole sana mkuu ha! ha! ha! ha! ha! tunaendelea jamani naona hamna ishu hapa okeee!!

Le Big Show
 
Back
Top Bottom