Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Ni miaka miwili na miezi kumi tangu ndugu John Joseph Pombe Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea tangu Magufuli awe Rais, na kila siku wengi wetu tunajifunza mapya na kukumbuka mengi.
Nasema ni shukrani maana katufungulia na kutufunulia mengi kuhusu Tanzania na zaidi kuhusu sisi kama Taifa na wananchi wake.
Natambua sitaeleweka kama jinsi sikueleweka miaka 10 iliyopita nilipoandika "Thank God for giving us Kikwete" lakini naamini safari hii wenye juhudi na upeo wa ufahamu na uelewa watanielewa.
Tuendelee kutafakari!
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea tangu Magufuli awe Rais, na kila siku wengi wetu tunajifunza mapya na kukumbuka mengi.
Nasema ni shukrani maana katufungulia na kutufunulia mengi kuhusu Tanzania na zaidi kuhusu sisi kama Taifa na wananchi wake.
Natambua sitaeleweka kama jinsi sikueleweka miaka 10 iliyopita nilipoandika "Thank God for giving us Kikwete" lakini naamini safari hii wenye juhudi na upeo wa ufahamu na uelewa watanielewa.
Tuendelee kutafakari!