Thamani ya Ukuu wa Wilaya yazidi kushuka. Wasaliti, waliokataliwa majimboni na wananchi ndio wanaoteuliwa

kama ni hivyo Sabaya alipatikanaje ? nina mafaili ya wateule zaidi ya 20 , hawa walioteuliwa leo , kwani mimi nina uwezo gani kushinda mamlaka ?
subiri atoke apewe RC ndio utajua,hakuna kitu unajua hapa nchini.

tunawasihi muache siasa za mkumbo na mihemko mnatuita mataga.

fleshi tu,endeleeni na ziara ya usajili online
 
Hana madini yyte Yule , shule kitu gani , haiba yake inatosha kumuondoa kwenye hyo kazi .....!!! Kuna sku mtu kama amber ruty atakuja kuwa DC sababu Tu kapita pita school
sasa tukiwaambia lissu hatoshi kuwa rais mnajamba kisa nini!!!

yule hata ubunge ulimwangukia tu.
 
Ukiacha kulipwa Mshahara mzuri na marupurupu mengine , likiwemo V 8 labda na Mamlaka ya kiofisi , ukweli ni kwamba wengi wanaoteuliwa kwenye cheo hiki kwa sasa hawaakisi ukubwa wa cheo chenyewe .

Wateuliwa wengi ni wale waliosaliti walikotoka baada ya kuahidiwa vyeo hata kama tabia zao ni za "Kisela" ukiwemo ulevi na ukosefu wa adabu na maadili , jambo ambalo linawafanya wananchi kupigwa na bumbuwazi huku wakishindwa kuendelea kukiheshimu cheo hicho , kiukweli sisi tulio mtaani ndio tunaojua nani ni nani , sasa unapoteua mtu kuwa DC kwa vile tu aliwahi kuvaa fulana ya chama hata kama uadilifu wake ni sifuri inaletea ukakasi mno

Ukiacha Protocal ya kuheshimu Mamlaka ya Uteuzi , ukweli ni kwamba Wakuu wengi wa wilaya wanaoteuliwa hawaheshimiwi na wananchi kutokana na vituko vyao kabla ya teuzi , wengi tumeishi nao na tunawafahamu kuliko hata anayewateua na wala hatudanganyiki
Utakuwa unawivu wa kike
NAKULILIA TANZANIA
Jombaa chekifreshi utakuwa unawivu wa kike
1. Waliopita hatukuwa na walevi watukanaji kama kina 7ya,Mulo nk.
2. Ukihama chama in msaliti? Mbona waliotoka ccm kwenda upinzani niwengi hamuwaiti wasaliti?
3. Hawaheshimiki nanani?
4. Ukubwa was cheo niupi na Mani anaakisi uwo ukubwa? Swala ni uwezo wakazi au kuakisi?
5. Umeanza na remunerations zao!! Hiyo sio dalili ya wivu?
Tunawapongeza ma DC wateuliwa wooote,tunawatakia utendaji bora,yalopita si ndwele na kazi iendelee kwa kasi na viwango!! Chuki haina nafasi tujadili Sera mama kasema
 
Mfano, kuhusu mhalifu sugu sabaya mbona watu walitoa maoni mara nyingi lkn mteuzi wake hakujali kamwe?
Kuongelea issue ya Sabaya ktk uteuzi mpya kujipoteza tu. Yule anatuhumiwa pengne itakuwa busara tukisubir mahakama ije na maamzi juu yake.
 
Ule mkutano wa Mh. Raisi na vijana ulikua na maana sana. Bahati mbaya wengi hawakuelewa....
 
Ukiacha kulipwa Mshahara mzuri na marupurupu mengine , likiwemo V 8 labda na Mamlaka ya kiofisi , ukweli ni kwamba wengi wanaoteuliwa kwenye cheo hiki kwa sasa hawaakisi ukubwa wa cheo chenyewe .

Wateuliwa wengi ni wale waliosaliti walikotoka baada ya kuahidiwa vyeo hata kama tabia zao ni za "Kisela" ukiwemo ulevi na ukosefu wa adabu na maadili , jambo ambalo linawafanya wananchi kupigwa na bumbuwazi huku wakishindwa kuendelea kukiheshimu cheo hicho , kiukweli sisi tulio mtaani ndio tunaojua nani ni nani , sasa unapoteua mtu kuwa DC kwa vile tu aliwahi kuvaa fulana ya chama hata kama uadilifu wake ni sifuri inaletea ukakasi mno

Ukiacha Protocal ya kuheshimu Mamlaka ya Uteuzi , ukweli ni kwamba Wakuu wengi wa wilaya wanaoteuliwa hawaheshimiwi na wananchi kutokana na vituko vyao kabla ya teuzi , wengi tumeishi nao na tunawafahamu kuliko hata anayewateua na wala hatudanganyiki

NAKULILIA TANZANIA
Kwenye ulevi hakuna anayemfikia Makengeza Mbowe.
 
Jombaa chekifreshi utakuwa unawivu wa kike
1. Waliopita hatukuwa na walevi watukanaji kama kina 7ya,Mulo nk.
2. Ukihama chama in msaliti? Mbona waliotoka ccm kwenda upinzani niwengi hamuwaiti wasaliti?
3. Hawaheshimiki nanani?
4. Ukubwa was cheo niupi na Mani anaakisi uwo ukubwa? Swala ni uwezo wakazi au kuakisi?
5. Umeanza na remunerations zao!! Hiyo sio dalili ya wivu?
Tunawapongeza ma DC wateuliwa wooote,tunawatakia utendaji bora,yalopita si ndwele na kazi iendelee kwa kasi na viwango!! Chuki haina nafasi tujadili Sera mama kasema

bora umemwambia ukweli ili ajirekebishe.
 
Niki wa pili
 

Attachments

  • images%20(68).jpg
    images%20(68).jpg
    8.5 KB · Views: 1
Eti wasaliti! Yaani kwasababu wewe una mlengo au mahaba fulani unataka wote wawe upande wako hata kama mawazo yao yamebadilika na yanataka kitu kingine?!?
 
JKN aliwahi kusema, "...tuhuma tu ingetosha kumtoa waziri wake kwenye baraza..." kwanini utuhumiwe wewe na si mwingine?

Mfano, Albert hakutuhumiwa, aliyafanya na tukaona kwenye mitandao, yeye na Giggy, chama kikamuona hatoshi kuwa mwakilishi wa wananchi bungeni, leo anaenda kubeba Taswira ya wilaya na kufanyia maamuzi wananchi zaidi ya jimbo alilokataliwa!

Si nasikia Muro ni kama wale tu?

Kuna wakati ni bora kuwapandisha hawa watendaji wa kata, tarafa, watumishi wa halmashauri, wilaya na mikoa kwenye hizo nafasi kuliko kuleta mtu kutoka kusikojulikana.

Hivi kwa nini hawawapandishi hawa watu waliopo chini?
 
Hasira za nini wivu tu tuliwaonya kuwa Magufuli = Samia hamkusikia hivi kuna mlevi kama Mbowe? Aliondoka tu Magufuli hakuondoka na mfumo wa CCM
Uliwaonya kina nani? Mimi kuondoka kwa Magufuli kulikuwa afadhali kwa sababu watu wengi waliokuwa wanapoteza uhai kwa sababu ya uongozi wake watapona. Hilo tu ni jambo zuri. Sitegei mambo mengine kubadilika kwa sababu system na watawala ni wale wale.
 
Ukiacha kulipwa Mshahara mzuri na marupurupu mengine , likiwemo V 8 labda na Mamlaka ya kiofisi , ukweli ni kwamba wengi wanaoteuliwa kwenye cheo hiki kwa sasa hawaakisi ukubwa wa cheo chenyewe .

Wateuliwa wengi ni wale waliosaliti walikotoka baada ya kuahidiwa vyeo hata kama tabia zao ni za "Kisela" ukiwemo ulevi na ukosefu wa adabu na maadili , jambo ambalo linawafanya wananchi kupigwa na bumbuwazi huku wakishindwa kuendelea kukiheshimu cheo hicho , kiukweli sisi tulio mtaani ndio tunaojua nani ni nani , sasa unapoteua mtu kuwa DC kwa vile tu aliwahi kuvaa fulana ya chama hata kama uadilifu wake ni sifuri inaletea ukakasi mno

Ukiacha Protocal ya kuheshimu Mamlaka ya Uteuzi , ukweli ni kwamba Wakuu wengi wa wilaya wanaoteuliwa hawaheshimiwi na wananchi kutokana na vituko vyao kabla ya teuzi , wengi tumeishi nao na tunawafahamu kuliko hata anayewateua na wala hatudanganyiki

NAKULILIA TANZANIA
Lijuakali, nasari, mashinji naona wamewatachi sana...
Kwa nini msiowapenda mnataka wateseke?
Na sabaya anatoboa kudadeki, mtamgeuka tu mama...
 
Back
Top Bottom