KabisaTutarajie hivi karibuni kubadilishiwa noti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaTutarajie hivi karibuni kubadilishiwa noti.
Uchumi unakuwa kwa wastani wa 7% na ni among top ten in Africa.
Mkiwa waongo msiwe wasahaulifu
Bibi vipi kwan had wewe umemugeuka jiwe
Ccm yenu!!Tutarajie hivi karibuni kubadilishiwa noti.
Ndivyo mnavyojidanganya kwa takwimu za kubumba!Uchumi unakuwa kwa wastani wa 7% na ni among top ten in Africa.
Mkiwa waongo msiwe wasahaulifu
Acha hizo bibi! Kwanza ulituaga humu kuwa unaondoka mjengoni (jf)Nini kilichokufanya ufikiri hayo? Mimi ni CCM na awamu ya Rais kipenzi iliisha na ndiyo maana hunioni sana kama awamu iliyopita.
Wapenzi wa Slaa waliishia wapi?
Itakuwa sawa na dola?Ikipanda mtuletee mrejesho
Weka ushahidi.Acha hizo bibi! Kwanza ulituaga humu kuwa unaondoka mjengoni (jf)
Chama dume.Ccm yenu!!
Na pia wale waliokuwa wanamnanga Slaa, vipi?Mdini ndiyo nini? Fafanua.
Wale waliokuwa wanamshabikia Slaa, vipi?
Ndoto hio labda hadi mashetani wakianza kuishi kama malaikaIkipanda mtuletee mrejesho
Wacheni unazi katika mambo ya msingi. Dhara huwa haichagui. Kuturudisha enzi ya sokoine ni jambo ambalo linashangaza katika zama hizi.Uchumi unakuwa kwa wastani wa 7% na ni among top ten in Africa.
Mkiwa waongo msiwe wasahaulifu
Prosecutor ni nani!Weka ushahidi.
Nini kilichokufanya ufikiri hayo? Mimi ni CCM na awamu ya Rais kipenzi iliisha na ndiyo maana hunioni sana kama awamu iliyopita.
Wapenzi wa Slaa waliishia wapi?
FaizaFoxy unahamu na dk slaa wewe hadi leo bado unamkumbuka.kweli watu wazima mkipenda mmepanda.Mdini ndiyo nini? Fafanua.
Wale waliokuwa wanamshabikia Slaa, vipi?
Uchumi unakuwa kwa wastani wa 7% na ni among top ten in Africa.
Mkiwa waongo msiwe wasahaulifu