Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,625
- 22,004
Chuki dhidi ya Yanga zitakuua wewe.Ona sasa badala ya kumquote mleta mada umemquote mikia mwenzio!
Ha ha ha na bado.
Mikia wamevurugwa
Chuki dhidi ya Yanga zitakuua wewe.Ona sasa badala ya kumquote mleta mada umemquote mikia mwenzio!
Ha ha ha na bado.
simba ndio waliochukua garasa okwi ambae amewasaidia hadi kuchukua nafasi ya tatu.kutoka nafas ya nne ya msimu uliopita.halaf suala la kusema okwi wa kimataifa unajidhalilisha,ukimataifa huo anaupata wapi wakati timu ya taifa UG haitwi?okwi ni wa ndondo cup.wakimataifa wapo tunisia huko wanapasha misuli.
Bingwa wa kweli nchi hii Simba peke yake wengine wote wachina au ubingwa wa Mpesa.
Chapa mtu bao 5 unabeba ndoo mbele yake unaacha watu wanazimia na wengine kufa kabisa.
Unachapa tena 3, mara 2 unalamba Milioni 100 kama haitoshi waliposema mechi za kirafiki tukageuzia sime letu kwenye ligi tukachapa tu mpaka ikalala.
Bingwa bingwa labda bingwa wa hao uliowanunua.
Huyo Msuva anachezea au ameshawahi kuchezea timu gani ya Taifa? Unachekesha umma kweli kweli. Ataishia kufunga kwenye mechi za kununua beki anajifanya kateleza ili Msuva afunge au kama yale ya kipa wa mbeya city mpaka sasa amefungiwa kisa yanga.
simba ndio waliochukua garasa okwi ambae amewasaidia hadi kuchukua nafasi ya tatu.kutoka nafas ya nne ya msimu uliopita.halaf suala la kusema okwi wa kimataifa unajidhalilisha,ukimataifa huo anaupata wapi wakati timu ya taifa UG haitwi?okwi ni wa ndondo cup.wakimataifa wapo tunisia huko wanapasha misuli.
Kunatofauti gani kati ya mchezaji anaye wakilisha Taifa lake akiwa na national team na yule wa Club.....!waposema mchezaji wa huyu wa kimataifa ni lazima aichezee timu yake ya taifa?
Mil 700 si nyingi vile Sema mambo ya umaskikini. Hiyo haifikii hata dollar laki nne.Hata km mimi na wewe wote ni young,NI KWELI MCHEZAJI ANA THAMANI HIYO?TUNAIJUA MIL 700?AU TUNACHANGIA NA KUONGEA TU KM MSEMAJI WA YOUNG,SIMBA,MTIBWA NA YULE WA RUVU SHOOTING?
mwezi wa kumi tena yanga kwenye pipa kwa ajili ya caf champions league.caf champions league hakuna viti maalum km musonye cup........
Hahahahaaa hii kitu itawaua mikia kwa presha kiukweli.Na kwa kuwafanyia ubaya game yetu na Azam tuwaachie watufunge ili kuwanyima nafasi kabisa.
Bingwa wa kweli nchi hii Simba peke yake wengine wote wachina au ubingwa wa Mpesa.
Chapa mtu bao 5 unabeba ndoo mbele yake unaacha watu wanazimia na wengine kufa kabisa.
Unachapa tena 3, mara 2 unalamba Milioni 100 kama haitoshi waliposema mechi za kirafiki tukageuzia sime letu kwenye ligi tukachapa tu mpaka ikalala.
Bingwa bingwa labda bingwa wa hao uliowanunua.
Bingwa wa kweli nchi hii Simba peke yake wengine wote wachina au ubingwa wa Mpesa.
Chapa mtu bao 5 unabeba ndoo mbele yake unaacha watu wanazimia na wengine kufa kabisa.
Unachapa tena 3, mara 2 unalamba Milioni 100 kama haitoshi waliposema mechi za kirafiki tukageuzia sime letu kwenye ligi tukachapa tu mpaka ikalala.
Bingwa bingwa labda bingwa wa hao uliowanunua.
Hamna utamu wa kuchukua ndoo kama kumkung'uta mtu anayekufukuzia tano na kubeba ubingwa mbele yake na kuacha wakizimia zimia.
Mkuu nawe nunua kama unafikiri ni rahisi kununua kama unavyoongea,Toka Libolo wawatie cha katikati bado mpo mpo tu