Ntalukwilasa
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 968
- 1,243
I wish ungekuwa mke wanguUmeona eeeh, hapo shetani atajuta maana lawama ni zake
I wish ungekuwa mke wanguUmeona eeeh, hapo shetani atajuta maana lawama ni zake
Alooo hata kama nimekuja na gadhab, haya maneno yatanifanya nisitishe suala la adhab na hasira. Nakuwa kama vile hujanikosea"Mume wangu/ mpnzi unajua ni jinsi gani nakupenda, na hata katika hali gani siwezi kukubali kukupoteza, nakupenda hadi shetani anaona wivu ndiyo maana analeta majaribu, amini kile nikuambiacho hata kwa kilichotokea binafsi kinaniumiza ila Nina Furaha maana shetani hatofanikiwa"
Basi atakuelewa
Hahahah maneno matamu hujengaAlooo hata kama nimekuja na gadhab, haya maneno yatanifanya nisitishe suala la adhab na hasira. Nakuwa kama vile hujanikosea
Usijali hata uliyenaye atakuomba msamaha vizuri siku akikoseaI wish ungekuwa mke wangu
Uongo huu, siku samehi ng'o... Msamaha umekaa kinafiki huu."Mume wangu/ mpnzi unajua ni jinsi gani nakupenda, na hata katika hali gani siwezi kukubali kukupoteza, nakupenda hadi shetani anaona wivu ndiyo maana analeta majaribu, amini kile nikuambiacho hata kwa kilichotokea binafsi kinaniumiza ila Nina Furaha maana shetani hatofanikiwa"
Basi atakuelewa
Hivyo tu.. Ntaku jibu " Potezea "Nisamehe
YOU ARE NOT A MAN. HAUNA SIFA ZA KUITWA GENTLEMAN... bro.Yaishe dear,
Zawaidi ile ya ambayo ndo udhaifu wake,
Sio mm ilikuwa ndovu tu dear,
Niliteleza baby,
Acha nayo hayo ni kawaida kwa binadamu wote my sweetheart,
Sahau bac honey,
ila kusema nisamehe sahau
Neno nisamehe kwa mwanamke kwangu marufuku!
Thats right manAm sorry my love I didn't mean to hurt you. Am sorry, okay? Let's forget it and move on. I do love you (wakati huo ukiwa mshika mikono yake yote miwili) na kiss juu baada ya maneno hayo (kiss ya shavu sio lips). Hio ina onyesha how a gentleman you are.
Am a Man na huwa sioni tabu kusema hayo maneno kwa my lady anytime niki hisi nime mkosea.
Any real man says SORRY to his woman ___PERIOD!!
Hawa watoto wa sekondari na wanao join vyuo ndio utasikia "oooh mimi kuomba msamaha mwanamke siwezi" Ngoja nikwambie bado una akili za kitoto sana. Na utapoteza mwanamke mzuri kwa kujifanya eti "ngumu nyeusi"
Huwa ni mwendo wa kuniana..Usijali hata uliyenaye atakuomba msamaha vizuri siku akikosea
Weeeee, hamna mkate mgumu mbele ya chaiUongo huu, siku samehi ng'o... Msamaha umekaa kinafiki huu.
maneno yakumfanya ME rojorojo,ndembendembe,kwisha kabisa!"Mume wangu/ mpnzi unajua ni jinsi gani nakupenda, na hata katika hali gani siwezi kukubali kukupoteza, nakupenda hadi shetani anaona wivu ndiyo maana analeta majaribu, amini kile nikuambiacho hata kwa kilichotokea binafsi kinaniumiza ila Nina Furaha maana shetani hatofanikiwa"
Basi atakuelewa
Hahahaaaa Mimi mpnz wangu akitaka tununiane labda nimefanya kosa. Ni asinipe nafasi ya kujitetea. Akilogwa akanipa tuu ugomvi lazima uishemaneno yakumfanya ME rojorojo,ndembendembe,kwisha kabisa!