Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,264
- 17,625
Wakati wananchi wanalalamika ukosefu wa dawa kwenye hospitali na zahanati, yasemekana kwenye Bohari Kuu ya Madawa (MSD) kuna dawa zilizo expaya za thamani ya zaidi Tsh Bilion 20. Nimepitia ripoti ya CAG ya mwaka 2019/20 kwa haraka haraka sijaona hoja ya ukaguzi kuhusu dawa zilizo expaya.
Je timu ya CAG iliyotumwa MSD haikuliona hili?
Ushauri:
Hata kama CAG hakuliweka Wabunge waliopo kwenye Kamati ya Huduma za Jamii wanaweza kumuuliza Waziri wa Afya alitolee majibu kwa vile kiasi hicho ni kikubwa sana kuharibika wakati wananchi wanakosa hata dozi ya Panadol kwenye zahanati
Je timu ya CAG iliyotumwa MSD haikuliona hili?
Ushauri:
Hata kama CAG hakuliweka Wabunge waliopo kwenye Kamati ya Huduma za Jamii wanaweza kumuuliza Waziri wa Afya alitolee majibu kwa vile kiasi hicho ni kikubwa sana kuharibika wakati wananchi wanakosa hata dozi ya Panadol kwenye zahanati