Field Marshall ES
R I P
- Apr 27, 2006
- 12,621
- 1,241
Wakuu kama kawaida heshima kwa Tanzania, kijana wetu Thabeet Hashim, sasa hivi anaichezea UN-CONN(Universty Of Connecticut) inapambana na Memphis, angalia kwenye ESPN2 kwa wale wanaoweza,(Hashim ni Future NBA Candidate)
so far yeye ndiye anye-make a big different katika shule yake comeback, baada ya kuongozwa kwa 20-5, na sasa ni 60-60, wakuu tuangalie fahari ya nchi yetu, Tanzania kudos kwa wa-Tanzania walioko hapo uwanjani Madison Square Garden, na hasa member mmoja wa hii forum ambaye amekuwa akionyeshwa sana kwa kuirusha sana bendera yetu hapo uwanjani,
Mungu Aibariki Tanzania.
Admin, mpira utaisha baada ya kama dakika 35 zinazofuata, unaweza kuifuta au kuihamisha.
so far yeye ndiye anye-make a big different katika shule yake comeback, baada ya kuongozwa kwa 20-5, na sasa ni 60-60, wakuu tuangalie fahari ya nchi yetu, Tanzania kudos kwa wa-Tanzania walioko hapo uwanjani Madison Square Garden, na hasa member mmoja wa hii forum ambaye amekuwa akionyeshwa sana kwa kuirusha sana bendera yetu hapo uwanjani,
Mungu Aibariki Tanzania.
Admin, mpira utaisha baada ya kama dakika 35 zinazofuata, unaweza kuifuta au kuihamisha.