Alikosea pa kuanzia na kujenga system akakimbilia kutoa rushwa na kupiga picha na wabunge wa upinzani akidhani wanadaganyika na rushwa yake hakujua kama ukiwapa rushwa wanakamua harafu wanakuchinjia baharini.....
You're very wrong au kwa makusudi umeamuwa kujikomba kwa huyu William, si yeye aliyeshinda uchaguzi huo wa kata, bali dau alilotoa ndio limeshinda, usimpe moyo wala kumdanganya mwenzako eti ameanza kuwa kiongozi, kiongozi wa nini? huyu jamaa kwa sababu anahusika husika kidogo hapa JF ni bora hata apewe kazi ya kuwa Moderator anaweza akawa anafanya jambo la msingi kuliko mtu wa umri wake kujihusisha na siasa za ngazi ya kata. huyu amedanganywa na amepotoka. Period.Mkuu kama ni ule uchaguzi wa Kivukoni basi hongera kwa ushindi. Mkuu kama umeshinda basi unaanza kuwa kiongozi hivyo basi na taarifa zako zinatakiwa kuwa ni taarifa zinazotoka kwa kiongozi na wala si kama hii ambayo haieleweki. Big show unamaanisha yule mpigana mieleka wa WWE?
OK MY PEOPLE BAADA YA USHINDI WA LEO TUNAKUWA:....
- HATUTAKUWA NA MUDA TENA WA KUWEPO HUKU JF UNAJUA KUWAWAKILISHA WANANCHI SIO MAMBO MCHEZO MCHEZO NA MZAHA MZAHA IF YOU KNOW WHAT I MEAN NINAWAKILISHA KATA NAMBARI ONE AMBAYO RAIS WA SASA WA JAMHURI MPAKA LEO BADO NI MJUMBE HAI.....SO UNDERSTAND THAT PEOPLE!! HA! HA! HA! HA! KWAMBA SASA TUPO VIWANJA TOFAUTI KABISAA YO KNOW!!
- SO LOVE YAH GUYS NA KWAHERI YA KUONANA TENA MUNGU AKIPENDA YOU KNOW!! UKINITAFUTA NIPO FACEBOOK NA Le Mutuz Super Blog or Le Mutuz Super Blog YOU KNOW!!
SALUTE PEOPLE!!
LE MUTUZ BAHARIA SUPER BIIG SHOOOW!!!
Le mutuz ni sawa na mtambo wa gongo.
Rudi kwenye kazi yako ya ubaharia usituchanganye bure hapa.
huyo ndio Le mutuz, anakwambia sasa anamajukumu mazito hvy hamtamuona jf bali facebook,anakwambia alikua angnjoy na kina Sinta (jlo) wa bongo, Le mutuz, Le baharia,le big show, le MTAMBO WA GONGOLol! Wewe kweli big show! U never cease to amaze me sugar boy, kha! So utarudi tena kuomba prayers? Hatutakuwa level moja tena? Mara tutakuwa busy? Unaongelea kama ushindi ni wetu pamoja, but now you are in another level lakini utapatikana fesibuku! Haya, salamia mabebs wa ukwee,mweh!
People tumeshinda Big time na Mbarikiwe sana ndugu zangu.
Le Mutuz Biig Shoow!!
OK MY PEOPLE BAADA YA USHINDI WA LEO TUNAKUWA:-
- MJUMBE WA WAZAZI WA MKOA DSM: MJUMBE WA CCM WILAYA; KATIBU MWENEZI WA WAZAZI KATA YA KIVUKONI; KATIBU FEDHA; ELIMU; NA MAZINGARA NA PIA MJUMBE WA KAMATI YA SIASA YA KATA:
- AGAIN MAJUKUMU MAPYA NI MAZITO SANA SO HELP ME GOD; HATUTAKUWA NA MUDA TENA WA KUWEPO HUKU JF UNAJUA KUWAWAKILISHA WANANCHI SIO MAMBO MCHEZO MCHEZO NA MZAHA MZAHA IF YOU KNOW WHAT I MEAN NINAWAKILISHA KATA NAMBARI ONE AMBAYO RAIS WA SASA WA JAMHURI MPAKA LEO BADO NI MJUMBE HAI WA KAMATI YA SIASA NA HAMLAMSHAURI KUU YAKE; KATA YENYE WAKUU WA TAIFA WA SASA NA WA ZAMANI WOTE WAPO HAPA SO UNDERSTAND THAT PEOPLE!! HA! HA! HA! HA! KWAMBA SASA TUPO VIWANJA TOFAUTI KABISAA YO KNOW!!
- NAWASHUKURU SANA WANANCHI KATA YA KIVUKONI FOR PUTTING THEIR TRUST IN ME; MENGI NITAKAYO YAFANYA UTAYASIKIA KWENYE TV ZA CLOUDS NA MLIMANI LEO DID A GREAT INTERVIEWS NAO HOJA YANGU YA MSINGI NI KUTORIDHIKA KWANGU NA KUKUTA WATU WALIOSHIKA NAFASI ZA UONGOZI KWA MUDA MREFU WASIVYOTAKA KUTOKA MPAKA KWA MAGOMVI, INASIKITISHA SANA!! KWENYE HIZI CHAGUZI NILIZOSHIRIKI NIMEJIONEA MAMBO YA AIBU SANA NA I LEARNED A LESSON HAKUNA UCHAGUZI MDOGO YOTE NI SAWA CAUSE FITINA NI ILE ILE NA WATU NI WA AINA ILE ILE!!
- AGAIN; RESPECT MUCH NA LEO I HAD A GREAT TALK NA MHESHIMIWA MAJI MAREFU KWENYE MPIRA WAO WA LEO, NA PIA HAD A GREAT TIME NA MABEBS WA UKWEEEE LIKE MY BABY SINTAH JLO; SUPER WEMA SEPETU; SUPER WOLPER HUKU VIP YOU KNOW GUYS WERE JUST RELAXING AND HAVING FUN YOU KNOW WHAT I MEAN!! HA! HA! HA! HA! HA! HA! I MEAN IT WAS JUST WASAP YOU KNOW!!!
- SO LOVE YAH GUYS NA KWAHERI YA KUONANA TENA MUNGU AKIPENDA YOU KNOW!! UKINITAFUTA NIPO FACEBOOK NA Le Mutuz Super Blog or Le Mutuz Super Blog YOU KNOW!!
SALUTE PEOPLE!!
LE MUTUZ BAHARIA SUPER BIIG SHOOOW!!!
You're very wrong au kwa makusudi umeamuwa kujikomba kwa huyu William, si yeye aliyeshinda uchaguzi huo wa kata, bali dau alilotoa ndio limeshinda, usimpe moyo wala kumdanganya mwenzako eti ameanza kuwa kiongozi, kiongozi wa nini? huyu jamaa kwa sababu anahusika husika kidogo hapa JF ni bora hata apewe kazi ya kuwa Moderator anaweza akawa anafanya jambo la msingi kuliko mtu wa umri wake kujihusisha na siasa za ngazi ya kata. huyu amedanganywa na amepotoka. Period.
People tumeshinda Big time na Mbarikiwe sana ndugu zangu.
Le Mutuz Biig Shoow!!