TGIF: Zitto akitoka hospitali (Picha)

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987
Zittoakitoka_phixr.jpg


Zitto akitoka hospitalini jana.
 
Mh.Kabwe tumefurahi kuona hilo tabasamu pana.tunaamini uko tayari kuendeleza libeneke la kuwatetea wanyonge kokote walipo Tanzania bila kujali itikadi,dini wala rangi yao.

Mungu akujalie afya njema.tuko pamoja!
 
Kwa kweli inafurahisha kukuona mheshimiwa Zitto umetoka hospitali na wewe mwenyewe una furaha.

Sasa kazi moja tu mpaka kieleweke.
 
Naamini Zitto ataingia Online Mchana tuendeleze libeneke...
 
Naamini Zitto ataingia Online Mchana tuendeleze libeneke...

Mkuu Gembe, sidhani kama ataingia online maana ametakiwa kupumzika kabisa kwa siku tatu. Nadhani ataibuka Jumatatu kama hali haitabadilika
 
Mwenyezi Mungu hamtu mja wake Kamanda huyoo vitani tena sasa hivi watalazwa wao haki ya nani. Never giverup tuko pamoja ila sasa hivi tujizatiti.

Kila la kheri Mh Zitto takutana Dom.
 
Mungu ndio wa kushukuriwa maaana yeye ndio mwenye uwezo wa kila kitu maana hata Mafisadi wanamuomba yeye.
 
Nimeamini Dogo kisiki cha mpingo ila namshauri arudi kijiji akaongeze dozi kwa kuwa kama wameweza kumlaza kwa siku kadhaa hospitali sio dalili nzuri, ze kinga is weakening! wanaweza kurudi na dozi nene ndo ikawa ntolee!
 
Bongo ni bongo hapa miaka kumi tunaumwa mafua tu, sasa kijana wa miaka 32 kulazwa lazwa bongo ni bongo tu. Mara ya mwisho nimelazwa Tanzania kwa malaria kuanzia nije hapa 1997 sijalazwa. Bill Gates amesema Kampuni atakae tengeneza kinga ya Malaria itapata $1Billion na inasemakana kinga iko tayari kwenye majaribio labda itasaidia kupunguzwa kulazwa lazwa.
 
Back
Top Bottom