Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,391
- 39,484
Karibu sehemu nyingi enzi ile za miaka ya themanini kulikuwa na jirani, rafiki, mtu fulani ambaye alibatizwa jina la "yeke yeke". So far, nawakumbuka wawili. Mmoja wao alikuwa anavaa kikoti cha rangi ya kijani kibichi na wimbo wa "yeke yeke" was like Gods gift to humanity! Na mwingine alikuwa ni mtumishi wa nyumbani ambaye kichwa chake kilikuwa kikitingishika kama hakina ubongo kila akisikia wimbo wa "yeke yeke".
Baada ya muda majina yao ya asili wengi tulishayasahau na tuliwajua kwa jina hilo la "yeke Yeke".
Unamkumbuka mtu yeyote aliyepewa jina la "yeke yeke" and the story behind it au aliyepewa jina fulani la ajabu kutokana na kitu fulani katika maisha na stori gani unakumbuka juu yake?
Baada ya muda majina yao ya asili wengi tulishayasahau na tuliwajua kwa jina hilo la "yeke Yeke".
Unamkumbuka mtu yeyote aliyepewa jina la "yeke yeke" and the story behind it au aliyepewa jina fulani la ajabu kutokana na kitu fulani katika maisha na stori gani unakumbuka juu yake?