TGIF: Mrema alipokutana na JK wiki hii (Picha)

Status
Not open for further replies.

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,460
39,928
mremakikwete.jpg
 
Mi naona mrema anamsikiliza Jk kwa kusema 'ona anavyopanga maneno, hawajui tu, wangejua wangeshaishia'
naona kama macho yake yanamkebehi rais wetu.
 
hata na mimi naona mrema anamkebehi mheshimiwa rais.
anamwambia " wewe zua uongo tu, lakini ipo siku unashindwa na cha kusema"
 
lakini mbona Mrema ana mabaka mabaka, amekumbwa na nini? Au ni rangi za picha tu? halafu kakonda!
 
Poor Mrema, he has given all his youth to the country and the country men. Who is taking care of his old age which is looming?
Good enough that he has a peacefull sleep not like some of the other healthy looking guys who can not have that priviledge as the fagio la chuma is coming near and near.
 
Duh! Mrema mbona kachoka mbaya! Yaaani suti tu inaning'inia, kweli jua kali hakuna ruzuku tena nini?

Hahahaaaaaaaa!!!!!!
Mkuu kama utapata bahati ya kumuona physical unaweza kumuhukumu kuwa tayari mzee aanze dozi ya ARV,amechoka sana mzee wa Kiraracha ,ana mabaka mabaka usoni ni wazi Sukari imeshamlemea. JK ni wazi anahuzunika sana na kumsogeza pale japo kumpa momentum kama si ushauri nasaa wa namna ya kuishi kwa matumaini. Fact ni kuwa Sukari imemteteresha sana mzee huyu na game ya siasa ya mabomu basi kazi kwelikweli
.
 
...........mrema ngozi yake imebabuka kwa kuwa anasumbuliwa na serikali....nadhani bora serkali ingempa na yeye mafao yake ajitunze..siunajua ameshawahi kuwa naibu waziri mkuu...ni aibu kama taifa kumtenga tu kwa sababu ni mpinzani!!.....afteral yeye hana visenti vya chenge....

mzee wa watu anachoka lakini tutamkumbuka sana ..muasisi wa mabomu
 
The man was right na mabomu yake, sasa hivi ndo utagundua alikuwa na data za ukweli maana, alimsema mkapa amekula rushwa ya sh. mil. 500 hii ndo ilikuwa deal ya kwanza ya Mkapa nafikiri ndi alinunulia nyumba inayotumiwa na Bank M, pamoja na kukopa ilikuwa ni kusafisha pesa chafu ya rushwa.
Huyu alitakiwa kuwa amestaafu alishauriwa na madakitari asitaafu akasema atafia kwenye siasa. kachoka kwa sababu ya sukari.
 
kwa mawazo yangu, mara nyingi viongozi wa namna hii (mf; Mrema) ndio wanaodhihakiwa 'wakishatupwa nje ya kapu',

je, sababu ni kuwa hawakujitajirisha wakiwa madarakani?

Katika viongozi wa Tanzania waliopata kuwatia jamba jamba Viongozi wenzao walipokuwa madarakani ni Marhum Sokoine, Seif Shariff Hamad enzi zake za uwaziri Kiongozi, na huyu Mzee wa Kiraracha.

'Mnyonge' mnyongeni lakini haki yake mpeni, viongozi watatu hao hawana utajiri wowote wa kujivunia, lakini walipigania kikweli kweli maadili ya uongozi!
 
Historia itamlinda ... hatujawahi kuwa na Naibu Waziri Mkuu except Agustino Lyatonga Mrema! (Na hii ni wakati wa serikali ya "ruksa" isiyo na madoa ya Kishkaji, Kimtandao wala wazee wa vijisenti!)
 
kwa mawazo yangu, mara nyingi viongozi wa namna hii (mf; Mrema) ndio wanaodhihakiwa 'wakishatupwa nje ya kapu',

je, sababu ni kuwa hawakujitajirisha wakiwa madarakani?

Katika viongozi wa Tanzania waliopata kuwatia jamba jamba Viongozi wenzao walipokuwa madarakani ni Marhum Sokoine, Seif Shariff Hamad enzi zake za uwaziri Kiongozi, na huyu Mzee wa Kiraracha.

'Mnyonge' mnyongeni lakini haki yake mpeni, viongozi watatu hao hawana utajiri wowote wa kujivunia, lakini walipigania kikweli kweli maadili ya uongozi!

...ni kweli kabisa ..mrema alikuwa muadilifu....ndio maana pamoja na tume ya warioba kumchunguza hawakumkuta na lolote....na alitufumbua macho kabla ya haya mapinduzi ya pili tunayoyashuhudia sasa ya kina slaa na zitto....ukweli ni kuwa hakua fisadi..na serikali ililijua hilo..ndio maana enzi zile bado akiwa na nguvu walipomfurusha kwenye nyumba ya serikali walijua alikuwa hana pakwenda....ni bora kumuenzi mtu akiwa hai!!

ingekuwa vema mrema akashauriwa aandike kitabu chake[memoirs]
 
kwa mawazo yangu, mara nyingi viongozi wa namna hii (mf; Mrema) ndio wanaodhihakiwa 'wakishatupwa nje ya kapu',

je, sababu ni kuwa hawakujitajirisha wakiwa madarakani?

Katika viongozi wa Tanzania waliopata kuwatia jamba jamba Viongozi wenzao walipokuwa madarakani ni Marhum Sokoine, Seif Shariff Hamad enzi zake za uwaziri Kiongozi, na huyu Mzee wa Kiraracha.

'Mnyonge' mnyongeni lakini haki yake mpeni, viongozi watatu hao hawana utajiri wowote wa kujivunia, lakini walipigania kikweli kweli maadili ya uongozi!


ukweli ni kuwa mafisadi wote nchi hii huwadhihaki sana waadilifu dizaini ya ..mwalimu.sokoine,mrema na seif....utawasikia ...seif hana hata nyumba kazi kulala star hotel dezoo..
 
Mrema anajuta kwa yale anayokumbuka siku za nyuma,anakumbuka lile gari la serikali vile alivyokuwa akiwekewa mafuta bure,mimi namshauri asife moyo ajipange tu, hiyo nafasi ya urais ataikwaa tu
 
Nafikiri tuanze utamaduni wa kuwaenzi viongozi wetu wa kweli wakiwa bado hai, huyu mtu nafikiri anastahili sifa kabisa maana wakati kale ka ufisadi kanaanza kuchipua wakti wa ruksa yeye alikuwa wa kwanza kukakemea, biashara ya madawa ya kulevya yeye alikuwa wa kwanza kula sahani moja na maboss na so vidagaa, hali unaweza kuiona alikuwa na nfasi ya kuwa fisadi lakini hakuitumia kwa kuwa alitaka kutumikia wananchi wake.
 
ukweli ni kuwa mafisadi wote nchi hii huwadhihaki sana waadilifu dizaini ya ..mwalimu.sokoine,mrema na seif....utawasikia ...seif hana hata nyumba kazi kulala star hotel dezoo..

...Ahsante mkuu PM, maana kelele hizi za 'mafisadi haooo, mafisadi haooo!', lakini ukijaangalia maisha duni wanayoishi walojaribu kupigania haki za wananchi, utasikia kebehi na kashfa, eti 'alijisahau huyoo!',...

inasikitisha lakini ndivyo tulivyo (?)
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom