TGIF: Je unaijua Misingi iliyoliunda Taifa letu?

Mzee Mwanakijiji, nimeipenda hii, ngoja niijibu kwa aliyoyapigania Nyerere ambayo yote yalikuwa chini ya kivuli cha utu wa mwanadamu bila kujali rangi, kabila, kipara, wala kibiyongo.
1. Umoja wa Tanzania, umoja wa africa na ikiwezekana kuwe na umoja dunia nzima
2. Na ili kuwe na umoja inabidi tuwe na Amani na utulivu. Hapa Tanzania hilo lililetwa na Azimio la Arusha - kuleta matumaini kwa wanyonge, na kuweza kuishi na mabepari kwa amani na utulivu
3. Kuondoa manyanyaso, kuondoa ukoloni wa zamani na mamboleo: Makaburi yetu bado yako kule kwa kina Muthalika
4. Kutofungamana na upande wowote wakati wa vita baridi: Hili lilitusaidia sana kuavoid what the guy called automatic conflicts, kwamba wewe ukishakuwa mjamaa, basi 'automatically' unakosana na Mmarekani. Kibiblia sisi tulikuwa 'vuguvugu' katika siasa za dunia, na tuliweza kuchota misaada kutoka Marekani, China, Cuba, Urusi, n.k
Wasalaam
 
Mwanakijiji,
Mwaga darasa hapa. Naona akina Topical ni kama ile meli inayoelea baharini haielewi inakoelekea lakini mradi tu wako baharini wanaona kuwa wanapiga hatua. Tanzania hatuna national ideals tena na ndio maana tunaona watawala wanajisifia safari zisizo na tija eti wakikaa nyumbani watu tutakufa njaa. Mwaga darasa hapa.
 
Mwanakijiji,
Mwaga darasa hapa. Naona akina Topical ni kama ile meli inayoelea baharini haielewi inakoelekea lakini mradi tu wako baharini wanaona kuwa wanapiga hatua. Tanzania hatuna national ideals tena na ndio maana tunaona watawala wanajisifia safari zisizo na tija eti wakikaa nyumbani watu tutakufa njaa. Mwaga darasa hapa.

Kweli Mwana Kijiji atoeshule hapa
 
Arafat sasa umegusagusa pembeni. Hivi kuna Mmarekani ambayeamepitia shule kidogo asiyeja declaration of independence? Kuna Mmarekani kweli asiyejua implication ya maneno &quot;all men are created equal and are endowed by their Creator with certain inalienable rights among them are life, liberty and the pursuit of happiness??? &quot;? Au kuwauliza waingereza juu ya umuhimu wa Magna carta? Watakosa majibu? Au kuuliza kwanini wafaransa wamekuwa very secular society?<br />
<br />
Mada hii kwa kweli inataka kuhoji hasa sisi ni nani? Nini kilitutofautisha sisi na nchi nyingine. Miaka hamsini tu tumeshasahau. Its a classic case of historical amnesia. Ni kama tunaona aibu kukumbuka.
 
Arafat sasa umegusagusa pembeni. Hivi kuna Mmarekani ambayeamepitia shule kidogo asiyeja declaration of independence? Kuna Mmarekani kweli asiyejua implication ya maneno &quot;all men are created equal and are endowed by their Creator with certain inalienable rights among them are life, liberty and the pursuit of happiness??? &quot;? Au kuwauliza waingereza juu ya umuhimu wa Magna carta? Watakosa majibu? Au kuuliza kwanini wafaransa wamekuwa very secular society?

Mada hii kwa kweli inataka kuhoji hasa sisi ni nani? Nini kilitutofautisha sisi na nchi nyingine. Miaka hamsini tu tumeshasahau. Its a classic case of historical amnesia. Ni kama tunaona aibu kukumbuka.

Mkuu nadhani we have a problem katika taifa letu kwa kutofahamu misingi ya utaifa wetu lakinni kwa Marekani and especially for the highlighted kumbuka ni vitabu vingi mno, documentaries na movies nyingi mno zimetungwa kuyaelezea hayo. Wagombea uongozi karibu wote wakati wa kampeni huwa wana- go around those words kila wakati, as such si kwa wamarekani tu hata scholars from outside the US wanayafahamu maneno hayo.

With us kikubwa nachokiona ni kupuuzia kila jambo, we don't have a realistic vision. Tumeipuuzia past yetu na that's why in just 50 years tayari kuna watu wameanza kupindisha historia ya taifa hili kwa nguvu kabisa. Ukichukua mawaziri wote na wabunge pia raisi ukawaweka kwenye ukumbi na kuwapa 30 minutes watoe jibu la swali lako usijeshangaa kwa nini tuko hapa tulipo!
 
Mkuu nadahani we have a problem katika taifa letu kwa kutofahamu misingi ya utaifa wetu lakinni kwa Marekani and especially for the highlighted kumbuka ni vitabu vingi mno, documentaries na movies nyingi mno zimetungwa kuyaelezea hayo. Wagombea uongozi karibu wote wakati wa kampeni huwa wana- fo around those words kila wakati, as such si kwa wamarekani tu hata scholars from outside the US wanayafahamu maneno hayo.

With us kikubwa nachokiona ni kupuuzia kila jambo, we don't have a realistic vision. Tumeipuuzia past yetu na that's why in just 50 years tayari kuna watu wameanza kupindisha historia ya taifa hili kwa nguvu kabisa. Ukichukua mawaziri wote na wabunge pia raisi ukawaweka kwenye ukumbi na kuwapa 30 minutes watoe jibu la swali lako usijeshangaa kwa nini tuko hapa tulipo!
Na ndio maana tunasema nchi yetu imepoteza DIRA..Mwanakijiji hongera sana kuirudisha JF yenye kuzungumzia mambo muhimu na yenye kujenga. Tupe darasa!
 
jasusi,umenikumbusha nilivyokuwa naimba ahadi 10 za mwanaTANU! kichwani kwangu zinapita mada nyingi za siasa za wakati ule,lakini misingi hii anayoongelea mkjj hata archive haioni!
 
It is only right, therefore, that we should first remind ourselves what kind of Tanganyika we intend to build. What is the basic principle on which our young country is founded? - Nyerere, December 10, 1962 (siku ya Jamhuri)

Swali nililouliza hapo juu linatokana na swali hilo la Nyerere ambaye katika sehemu ya hotuba yake hiyo alijaribu kulijibu. Tarehe 14 Disemba, 1961 (exactly a year before) Nyerere alitoa hotuba yake ya kwanza New York akiwa Mkuu wa nchi ya Tanganyika huru. Kati ya hizo mbili alizungumzia Bungeni (akiwa Waziri Mkuu) juu ya kile alichokiita "national ethic"

Alisema something very interesting:

What we must continue to do all the time is to build an ethic of this nation, all the time to build an ethich of this nation, which makes the Head of State whoever he is to say "I have the power to do this under the Constitution, but I can not do it is Un-Tanganyikan" Or for the people of Tanganyika, if they had made a mistake and elected an insane individual as their Head of State, who has the power under the Constitution to do XYZ if he tried to do it, the people of Tanganyika would say "we won't have it from anybody, President or President squared, we won't have it".

Yote haya yanataka kutukumbuka sisi ni nani? Je tuna kitu gani ambacho tunaweza kusema ni misingi ya taifa letu. Vingi vimeshaguswa hapa na vingine kwa kugusa kwa pembeni kidogo lakini kuna vitu ambavyo naamini kila Mtanzania anahitaji kuvijua. Kwa sababu kutokujijua sisi ni nani kumetufanya tuwe wanyonge mbele ya watawala wetu.
 
Kwa nini watu hamjui jambo muhimu namna hii!!!!! Misingi yetu watanzania ipo kwenye nembo yetu ya taifa nayo ni UHURU na UMOJA.
 
Misingi ya taifa ilimezwa na misingi ya chama. Mojawapo za Failures za Nyerere hizo.
 
Mwanakijiji,
Ingefaa sana kama hiyo hotuba ya baba wa taifa utaiweka hapa. Yeye alikuwa na vision juu ya taifa wanalotaka kuunda, alikuwa na vision juu ya ethics za uongozi, alikuwa na vision juu ya Utanganyika. Labda ibandike hapa wote tuipitie tena na hata wale vijana ambao hawajawahi kuisikia wajue kuwa kweli tulikuwa na misingi ya utaifa wetu. Uhuru na Umoja vilikuwa ni kibwagizo tu.
 
At the time when we were still demanding our right to freedom we made this absolutely clear. The principle on which we stood and on which we stand today, is the principle of human rights. It is the dignity and well being of all our people which is the beginning and the end of all our efforts. For the freedom we demanded was not mere independence from colonialism; what we sought was personal freedom for all the people of Tanganyika; freedom for every individual, and the chance to make use of that freedom, in cooperation with his fellows - to provide for his own needs and theirs and so live a life of human dignity.

We determined to build a country in which all her citizens are equal; where there is no division into rulers and ruled, rich and poor, educated and illiterate, those in distress and those in idle comfort. We determined that in this country all wold be equal in dignity; all would have an equal right to respect, to the opportunity of acquiring a good education and the necessities of life; and all her citizens should have an equal opportunity of serving their country to the limit of their ability.
Nyerere, Presidential Inaugural Speech to Parliament December 10, 1962

Kipengele ambacho kitafuatia baada ya hapa.. kitatugusa wengi sana!! Kiongozi pekee aliyewahi kukisema wazi 50 years ago!!

Unaweza vipi kuadhimisha miaka 50 wakati hutaki kuangalia ulikoanzia.. !! malengo uliyofikia.

Wengi wamezungumzia "equality". Hili wazo kwa Mwalimu ni tofauti kwa kiasi kikubwa na "equality" jinsi ilivyogombewa na Wamarekani weusi kwa mfano. Labda niliweke kwa kifupi kidogo. Usawa mbele ya sheria (equality before the law) na usawa wa kiutu (equality in dignity) siyo kitu kimoja kile kile. Kwa mfano kuna watu wanatambua watu weusi kuwa ni sawa mbele ya sheria lakini hawaamini kuwa wana utu sawa!

utaona kuwa wazo la Tanganyika lilikuwa mbele sana. June 29, 1963 akiwa Nairobi Nyerere alizungumza na wanafunzi wa kilichokuwa Chuo cha Reli cha Shirika la Bandari na Reli la Afrika ya mashariki. Alisema kitu ambacho leo tunaweza kukisema kwa wasomi wetu alipozungumzia hii dhana ya usawa unaotokana na utu siyo ule wa kisheria tu:

When we say we want freedom to take our position as equal with other countries in the world, we must realize what this means. It means that our teachers, our doctors, our engineers, and our technicians, as well as our sweepers and labourers must aim at being as good as those found anywhere else. That is true equality. Anything else is sentiment

Hili wazo la usawa unaotokana na utu ni wazo zito sana. Wengine wanafikiria tuwe sawa kwa dini, rangi, uwezo n.k Hivyo vyote ndivyo anavyosema ni "sentimental" kwa kweli. Usawa wa kweli ni kuwa sisi sote tuna utu mmoja. Sasa ukianzia hapa - kwenye utu - tukio la Mwanjelwa, ajali za barabarani, tukio la meli, ufisadi na vingine vyote ni mashambulizi dhidi ya utu - attack on human dignity. Ukielewa hii dhana ya utu utaelewa kwanini kwa Nyerere tatizo la Watanzania lilikuwa ni kukabiliana na maadui wakubwa "watatu" - umaskini, magonjwa na ujinga. Kwa Mwalimu vitu hivyo vitatu vinamfanya mwanadamu asithaminishiwe utu wake ipasavyo.

Anasema hivi:
In one single year these tiny pests (mosquitoes) can kill more men, women, and children than could be done to death by human murders in a hundred years. In the same way the famine last year, if it had caught us unprepared could have killed many more of our people than ever died in battle during the Maji Maji rebellion.

Kwenye hotuba yake ya New York Nyerere anasema hivi:

The basis of our actions, internal and external, will be an attempt and honest attempt to honor the dignity of man. We believe that all mankind is one, that the physiological differences between us are unimportant in comparison with our common humanity. We believe that black skin or white, straight or curly hair, differences in the shape of our bodies, do not alter or even affect that each of us is part of the human species and has a part to play in the development of mankind.

Maneno haya ya Nyerere (ambayo nimeyaweka kwenye kibao kidogo hapa ndani yananikumbusha kila siku maneno ya mwanaharakati mwingine ambaye huwa najiuliza kama alimkopi Nyerere au na yeye alifikia hitimisho lake independently. Embu yasikilize maneno haya ambayo husomwa na kurudiwa na Wamarekani kila mwaka kuwakumbusha wao ni kina nani!

I have a dream that my four little children will one day live in a nation where they will not be judged by the color of their skin but by the content of their character
MLK Jr Katika "I have a Dream"

Je Watanzania tunasimamia vipi kupigania utu wa watu wetu? should we? au nani atatukumbusha kusimamia utu wa watu wetu wakinyanyaswa, wakidhalilishwa na kupata ubutu wa utawala wa kifisadi? Je ufisadi si adui mkubwa wa utu wa mtu? Isn't corruption the greatest enemy of the dignity of man?
 
Mkuu MM, kwa namna unavyojenga hoja zako nakuzipangilia, nashindwa kuelewa ningekuwa rais, ningekupa cheo gani! Labda kiti changu.

Hata hivyo hayo tuyaache, turudi kwenye hiyo dollar mia. Naamin ni yangu, kwani kama nilivyoeleza awali, nyuma ya kadi ya CCM mambo hayo ya misingi yameelezwa kama imani ya chama.
a) Binadamu wote ni sawa
b) Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa UTU wake.
c) Ujamaa na Kujitegemea ndio njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru.

Naomba hiyo dollar yangu uitume Somalia
 
Arafat sasa umegusagusa pembeni. Hivi kuna Mmarekani ambayeamepitia shule kidogo asiyeja declaration of independence? Kuna Mmarekani kweli asiyejua implication ya maneno &quot;all men are created equal and are endowed by their Creator with certain inalienable rights among them are life, liberty and the pursuit of happiness??? &quot;? Au kuwauliza waingereza juu ya umuhimu wa Magna carta? Watakosa majibu? Au kuuliza kwanini wafaransa wamekuwa very secular society?<br />
<br />
Mada hii kwa kweli inataka kuhoji hasa sisi ni nani? Nini kilitutofautisha sisi na nchi nyingine. Miaka hamsini tu tumeshasahau. Its a classic case of historical amnesia. Ni kama tunaona aibu kukumbuka.

Mi sijawai kuona mtihani ambao ushindi wake lazima mwanafunzi apate mia! (100%); mwanafunzi yeyote ambae ataongoza ndie mshindi anayepewa tuzo.

Nimeshindwa kuweka sawa mtiririko na hasa hili la self-reliance na unity!
 
Back
Top Bottom