Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,399
- 39,550
Kila taifa lina misingi yake. Misingi ambayo husimama kama maono ya aina ya taifa gani watu wanalitaka kujenga na wananchi wake hujitahidi kuifikia hiyo. Kwa mfano Wamarekani wanachukulia Tangazo la Uhuru na kauli za waasisi wao kuweza kuona misingi yao. Mambo kama Uhuru (liberty) na haki za mtu (individual rights) ni misingi ya Wamarekani.
Je Tanzania ina misingi gani? Je unaifahamu? Je unafahamu Kanuni Nne za mahusiano ya Tanzania? Je unajua ilimaanisha nini kusema wewe ni Mtanganyika au Mtanzania (baada ya Muungano)?
Je umewahi kujifunza misingi hiyo ukiwa shuleni au chuoni?
PICHA ZA IGUNGA
Picha za Igunga Mgongoro, Kata ya Igunga
Je Tanzania ina misingi gani? Je unaifahamu? Je unafahamu Kanuni Nne za mahusiano ya Tanzania? Je unajua ilimaanisha nini kusema wewe ni Mtanganyika au Mtanzania (baada ya Muungano)?
Je umewahi kujifunza misingi hiyo ukiwa shuleni au chuoni?
PICHA ZA IGUNGA




Picha za Igunga Mgongoro, Kata ya Igunga


